Rais Samia alikuwa na dhamira thabiti na maridhiano lakini intensive internal pressure ikamtoa kwenye Reli

Rais Samia alikuwa na dhamira thabiti na maridhiano lakini intensive internal pressure ikamtoa kwenye Reli

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
1. Kuna lawama zimekuwa zikielekezwa kwa Mbowe kukubali maridhiano.

Naamini Rais Samia alikuwa na conviction kubwa kuwa na maridhino, lakini wahafidhina (conservatives) ndani ya chama chake wakamzidi nguvu and being manamke aka succumb to internal pressure.

2. With time naye Samia madaraka yakawa matamu na ku develop internal, highly internalised presidential supremacy and she became supreme aggressive of power, ndiyo hali inayowapoteza watanzania/watanganyika wenzetu leo so as to consolidate power!

3. All human beings tunaingi kwenye ndoa na mapenzi makubwa, lakini baadaye ndoa zinavunjika. Huwezi kumlaumu mtoto kuwa kwanini ulijiingiza kwenye ndoa! Tuna tabia ya kuficha uhalisia wa ndani yetu tunapokuwa wageni kwenye jambo lolote.

With time uhalisia wa ndani ya mioyo yetu huja baadaye.
Likewise, Mbowe asingeliweza kukataa wito wa Samia kuwa njoo tuzungume tukoke kwenye mkwamo wa mtangulizi wangu! ASILAUMIWE MTU

4. WE LEARN THROUGH MISTAKES
 
1. Kuna lawama zimekuwa zikielekezwa kwa Mbowe kukubali maridhiano.
Mkuu Retired ,kwanza, thanks for this, threads kama hizi, ndizo za ile jf ilee, tuliojiunga nayo, jf ya the home of great mind watu, ma GT, wenye analytical minds wanao discuss ideas VS ya hii jf ya sasa ya ma simple minds na ma chawa waliotamalaki humu kazi yao ku discuss people, na ordinary minds wanao discuss events, thanks!

Tukija kwenye mada,ni kweli FM sio tuu analaumiwa kukubali muafaka, bali anatukanwa na TL kwa matukano ya reja reja, kama hivi
View: https://youtu.be/Qa59DIQs2yI?si=9Whiknznl-mMT3JJ, huyo anayeuliziwa kama ana akili kweli ni FM!,maridhiano ya nusu mkate anayaita ujinga ambayo ni sawa na kumtukana FM mjinga!。Niliwauliza Chadema wa humu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
Naamini Rais Samia alikuwa na conviction kubwa kuwa na maridhino, lakini wahafidhina (conservatives) ndani ya chama chake wakamzidi nguvu
very true
and being manamke aka succumb to internal pressure.
very true, this mean this is a weakness!, she is simply weak!, baada ya watu kama akina sisi kuligundua hili,yeye aliposhauri 2025 twende na mwanamke, tulimuunga mkono ila tukaweka na angalizo,Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! lakini kwa vile tumeisha anza kuona some early signs of weaknesses at 64 , what will it be like at 70 ile 2030?。 Sisi wengine wenu humu tume jaaliwa na kubarikiwa kuwa na talanta ya an eagle eye view,hili ni jicho linaloona very long distance,hivyo siku zote akiwa nyumbani she walks very short distances,tukiwa nae kule Dubai, kwenye Expo Dubai,kuna kitu nili observes,ila kuna vitu hata ukiona utaanzaje kumwambia madam you are too weak kwa the task ahead of you?!, the best way ni kumshauri tena kumshauri kistaarabu kabisa kwa kutumia lugha ya kiungwana kabisa kama HII
2. With time naye Samia madaraka yakawa matamu na ku develop internal, highly internalised presidential supremacy and she became supreme aggressive of power, ndiyo hali inayowapoteza watanzania/watanganyika wenzetu leo so as to consolidate power!
I too noted this,na nikajitolea kuendelea kumsaidia nikaeleza humu Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli!
3. All human beings tunaingi kwenye ndoa na mapenzi makubwa, lakini baadaye ndoa zinavunjika. Huwezi kumlaumu mtoto kuwa kwanini ulijiingiza kwenye ndoa! Tuna tabia ya kuficha uhalisia wa ndani yetu tunapokuwa wageni kwenye jambo lolote.
very true
With time uhalisia wa ndani ya mioyo yetu huja baadae.
Likewise, Mbowe asingeliweza kukataa wito wa Samia kuwa njoo tuzungume tuokoe kwenye mkwamo wa mtangulizi wangu! ASILAUMIWE MTU
Naunga mkono hoja FM asilaumiwe kabisa kwasababu yeye FM ni mtu wa shukrani,anakumbuka fadhila ,wakati akipitia magumu yale,akina sisi tulimshauri kitu Madam,Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?, na kweli baada ya ushauri huu, haikupita muda,Maza akafanya jambo na tukapongeza Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito! hata ungekuwa wewe ndie FM, baada ya kutendewa wema mkubwa kama huo, utakosaje shukrani?。
Baada tuu kuachiwa alikwenda ikulu kushukuru na kule akalia shida ya ukata,akasaidiwa ndio Chadema wakafanya kikao cha Baraza Kuu, wakasaidiwa fedha za ziara ya nje ya nchi。 Utashindwaje kumuamini mtu kama huyu?。
4. WE LEARN THROUGH MISTAKES
Hivyo FM alipojuta kumuaminia Rais Samia,tulimpooza na kumweleza, vitu vingine sio Samia,ni wahafidhina wa CCM!Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!
p
 
MWALIMU NYERERE ALIACHA MAADUI WAKUU.

1. UMASIKINI.
2. UJINGA
3. MARADHI.

Ila bahati .baya zaidi TAIDA LINATEKETEA NA.
Rushwa.
Machawa.
Utekaji
Ufisadi.
Mmomonyoko wa maadili.
Upumbavu nk

CCM INALIPELEKA TAIFA PABAYA MNO.
 
Kifupi Retired huu uzi ni kama unamchomoa Mbowe kwa madhaifu yake na kumpelekea lawama Rai Samia.

Kwa vile wewe ni pro Mbowe, ni rahisi pia kujua unamtetea.
Kwa uwezo wa Mbowe ilikuwa ni rahisi kwake kung’amua muenendo mzima wa hiyo mipango.
Pamoja na kuwa baadhi ya watu walipiga kelele kuwa hakuna maridhiano yatakayowezekana bado alishupaza shingo. Hata humu akina Salary Slip hawakuwaamini CCM na nia yao.
 
Hata Lissu aliunga mkono maridhiano, na alikuja kuyakataa baada ya kushuhudia danadana walizokuwa wakipigwa. Mbowe naye ni hivyohivyo alitoka hadharani na kukiri kwamba maridhiano yameshindikana. Sioni hoja yoyote ya maana ya kuwalaumu Chadema.
 
1. Kuna lawama zimekuwa zikielekezwa kwa Mbowe kukubali maridhiano.

Naamini Rais Samia alikuwa na conviction kubwa kuwa na maridhino, lakini wahafidhina (conservatives) ndani ya chama chake wakamzidi nguvu and being manamke aka succumb to internal pressure.

2. With time naye Samia madaraka yakawa matamu na ku develop internal, highly internalised presidential supremacy and she became supreme aggressive of power, ndiyo hali inayowapoteza watanzania/watanganyika wenzetu leo so as to consolidate power!

3. All human beings tunaingi kwenye ndoa na mapenzi makubwa, lakini baadaye ndoa zinavunjika. Huwezi kumlaumu mtoto kuwa kwanini ulijiingiza kwenye ndoa! Tuna tabia ya kuficha uhalisia wa ndani yetu tunapokuwa wageni kwenye jambo lolote.

With time uhalisia wa ndani ya mioyo yetu huja baadate.
Likewise, Mbowe asingeliweza kukataa wito wa Samia kuwa njoo tuzungume tukoke kwenye mkwamo wa mtangulizi wangu! ASILAUMIWE MTU

4. WE LEARN THROUGH MISTAKES
'Justifications and Excuses', always are part of weak leadership traits.

Sasa tufanyeje, kama watu wenyewe hawakuwa na stamina ya kusimamia waliyo kuwa wamepania kuyatimiza. Kama malengo yalikuwa ni muhimu sana kama walivyo yaona wakianza maridhiano hayo; kama viongozi walitakiwa kutumia sifa hizo za uongozi kuwashawishi hao ambao kwa nia zao ovu hawakuyataka maridhiano.

Lakini ukweli wenyewe tayari umekwisha jitokeza; kwamba hao wawili, kila mmoja wao siyo watu wa kuwategemea sana juu ya uaminifu wao. Kila mmoja wao sasa anajulikana kuwa na viini vya 'opportunism' ndani yake. Hakuna mwenye dhamira ya kweli juu ya anacho kisimamia; hasa inapokuja kwenye maslahi ya nchi na wananchi wake.
 
1. Mmiliki wa Jengo yupo wapi?
NANI NI MMILIKI WAJENGO.

2. Ramani za jengo ziko wapi??
Uokozi bila Ramani.

3. Ghorofa nne watu wanaokolewa siku nne na sio moja. TAIFA LIMEOZA.

4. Selikali ipo Radhi kununua Mabomu, magali ya Jeshi nk kuizuia CHADEMA na Inashindwa KUNUNUA VIFAA VYA UOKOAJI kwa Raia wake.

5. Niffer amejipeleka Kituoni, Yuko wapi mmliki wa Jengo.

6. Je ni nani aliyetoa vibali vya kujenga na kubomoa anakamatwa Niffer.
TANZANIA YANGU MASIKINI

ZIMA MOTO NA UOKOAJI NI SAWA NA HAKUNA KITU ZERO KABISA.
JESHI LIVUNJWE HARAKA

MAJENGO MENGI KARIAKOO YAMEOZA
 
this mean this is a weakness!, she is simply weak
This sums up all other shortfalls, glitches and problems currently being faced in this country.

Through that weakness kukaja na tatizo kubwa zaidi, inferiority complex. Kuna dhana kajijengea kuwa watu wanamuona dhaifu, hafai, hawezi (they all facts though) kupelekea kutaka kudhihirisha kinyume na dhana za watu, na hii ndio inayoleta madhara makubwa zaidi.

Kwa sasa tatizo linaanza kwa raisi kupelekea kuweka dosari katika uraisi wenyewe.
 
Lengo lako ni kumsafisha Mbowe na Maridhiano kwa kumtumia mpendwa wetu Rais Samia

Kimsingi aliyeharibu Maridhiano ni Mbowe kwa kutaka yawe ya Siri

Mbona Kikosi Kazi Cha Prof Mkandara na Zitto Kabwe Taarifa zilikuwa Wazi

Lisu na Lema mtawajua Zamu hii, huyo TAL nilikuwa naye NCCR mageuzi 😀😀
 
1. Kuna lawama zimekuwa zikielekezwa kwa Mbowe kukubali maridhiano.

Naamini Rais Samia alikuwa na conviction kubwa kuwa na maridhino, lakini wahafidhina (conservatives) ndani ya chama chake wakamzidi nguvu and being manamke aka succumb to internal pressure.

2. With time naye Samia madaraka yakawa matamu na ku develop internal, highly internalised presidential supremacy and she became supreme aggressive of power, ndiyo hali inayowapoteza watanzania/watanganyika wenzetu leo so as to consolidate power!

3. All human beings tunaingi kwenye ndoa na mapenzi makubwa, lakini baadaye ndoa zinavunjika. Huwezi kumlaumu mtoto kuwa kwanini ulijiingiza kwenye ndoa! Tuna tabia ya kuficha uhalisia wa ndani yetu tunapokuwa wageni kwenye jambo lolote.

With time uhalisia wa ndani ya mioyo yetu huja baadaye.
Likewise, Mbowe asingeliweza kukataa wito wa Samia kuwa njoo tuzungume tukoke kwenye mkwamo wa mtangulizi wangu! ASILAUMIWE MTU

4. WE LEARN THROUGH MISTAKES
Nadhani kosa la mbowe ni kutokulipeleka wazo hili kwenye chama liamuliwe na vikao

Vivyo hivyo kwa raisi samia

Nadhani mbowe alitanguliza ubinafsi
Hawajachewa wanaweza kaa pamoja wakaangalia wamejikwaa wapi ili watafute muafaka
 
Nadhani kosa la mbowe ni kutokulipeleka wazo hili kwenye chama liamuliwe na vikao

Vivyo hivyo kwa raisi samia

Nadhani mbowe alitanguliza ubinafsi
Hawajachewa wanaweza kaa pamoja wakaangalia wamejikwaa wapi ili watafute muafaka
CCM update zote zilikuwa zinashuka chini kupitia Komredi Kinana ila Chadema ndio ilikuwa Siri ya Mbowe na Mrema 😀
 
TAL kalianzisha ndani kwa.ndani hajataja mtu ila.chawa wanaweweseka. Mnyika anasemaje kwenye hili
 
1. Kuna lawama zimekuwa zikielekezwa kwa Mbowe kukubali maridhiano.

Naamini Rais Samia alikuwa na conviction kubwa kuwa na maridhino, lakini wahafidhina (conservatives) ndani ya chama chake wakamzidi nguvu and being manamke aka succumb to internal pressure.

2. With time naye Samia madaraka yakawa matamu na ku develop internal, highly internalised presidential supremacy and she became supreme aggressive of power, ndiyo hali inayowapoteza watanzania/watanganyika wenzetu leo so as to consolidate power!

3. All human beings tunaingi kwenye ndoa na mapenzi makubwa, lakini baadaye ndoa zinavunjika. Huwezi kumlaumu mtoto kuwa kwanini ulijiingiza kwenye ndoa! Tuna tabia ya kuficha uhalisia wa ndani yetu tunapokuwa wageni kwenye jambo lolote.

With time uhalisia wa ndani ya mioyo yetu huja baadaye.
Likewise, Mbowe asingeliweza kukataa wito wa Samia kuwa njoo tuzungume tukoke kwenye mkwamo wa mtangulizi wangu! ASILAUMIWE MTU

4. WE LEARN THROUGH MISTAKES
Tuache utani wa kukataa kukabiliana na ukweli wa makosa ya mwenyekiti..

Alikosea na anapaswa kukiri kuwa alikosea kisha wakae na kuona namna njema ya kwenda mbele...

Inakuwaje miaka 30+ ya Freeman Mbowe kwenye active politics asiwajue CCM kwamba ndio mababa wa ulaghai na uongo na ambao yeye binafsi wamemtesa na kumuumiza sana tu...??

Nadhani Freeman Mbowe ni kama Samson wa kwenye Biblia aliyeingizwa mkenge na mwanamke laghai Delila kiasi cha kuuza nguvu na urithi wake aliopewa na Mungu....

Freeman Mbowe ni Samson kwa Samia bila shaka🤪🤪🤪🤪..

Nachangia hoja kama ifuatavyo:

1. FM alipaswa kabla ya kuingia kwenye hicho kinachoitwa maridhiano, aki - consult chama chake kwanza kwa mashauriano na kuweka msingi wa makubaliano. Kwenye hili, bila shaka alitumia vibaya madaraka yake ya uenyekiti kuwaburuza wenzake na mwishoni akiwa ameshachelewa akaja kugundua alidanganyika na kudanganyika kwelikweli na uamuzi wake huo leo unamgharimu...

2. Pascal Mayalla anajaribu kumlaumu Tundu Lissu kwenye hili kwamba anamshambulia kireja reja mweyekiti wake juu ya uamuzi wake huo kwenda kujikomba kwa CCM na Rais Samia kwa ajili ya nusu mkate ambao nao hata haukupatikana. Labda kweli TL anam - scorn mwenyekiti kwa namna hiyo. Lakini kama watu wazima, ni rahisi kuweza kujua kuwa ndani ya CHADEMA kuna misunderstandings za kutosha especially kwa top leaders na ndani ya kamati kuu chombo kikuu cha kukiongoza na kukiweka sawa chama. Na inawezekana kutoelewana na kukubaliana kwao kunasababishwa na M/Kiti kutaka kuwaburuza na kutowasikiliza wenzake kwa maamuzi yake kama kile ya kilichoitwa "maridhiano ya kitaifa..."

3. Back to hayo yaitwayo "maridhiano ya kitaifa:"

Naweza kusema kwa hakika kabisa kuwa, hayo hayakuwa maridhiano ya kitaifa kwa sababu misingi na kanuni za maridhiano hazikufuatwa na hazikuwa wazi. Hayo yalikuwa ni mazungumzo tu kati ya Rais Samia/CCM na Freeman Mbowe/CHADEMA kwa ajili yao na manufaa yao binafsi na ndiyo maana yameshindikana na kufa kifo cha kawaida kwa sababu watu waliona kasoro hiyo mapema...

4. Ingekuwa kweli ni "National Reconciliation", basi kungeundwa chombo maalumu cha kitaifa (Tume ya Upatanishi na Maridhiano ya Kitaifa) kwa mujibu wa sheria kikiwa na hadidu rejea zilizo wazi kwa kila mtu kama ilivyowahi kufanyika kule Afrika ya Kusini miaka michache baada Apartheid regime kuanguka. Taifa hili si CCM na CHADEMA tu. Walioumizwa na utawala wa Hayati Rais John P. Magufuli (2015 - 2021) si CHADEMA peke yako bali ni karibu watu wote. Kwa hiyo hilo lilikuwa kosa na ulaghai namba moja ambalo Freeman Mbowe alipaswa kuliona mapema na kulikwepa...

5. Tume hiyo ilipaswa kuhusisha makundi yote ya watu; vyama vya siasa, wanasiasa, wafanyabishara, viongozi wa dini, wanasheria, wananchi wa kawaida, majaji nk ili kukutana, kusikiliza na kuamua kila kesi ya mwenye malalamiko ya kuumizwa na utawala wa Hayati Rais John P. Magufuli na tume hiyo kutoa way forward ili kuzuia makosa na ujinga huo kutojirudia tena. Sasa ndugu Retired, Freeman Mbowe alishindwa nini kujua mambo rahisi kama haya? Na unadhani hakutahadharishwa na wanaoujua mapema na yeye kudinda na kuzamisha kichwa chini kama mbuni..?

6. Kama kiongozi mkuu wa chama, hawezi kukwepa kubeba lawama kwa kukosa vision kwenye hili kiasi cha kuwaingiza wenzake na chama kwa ujumla kwenye shida na dhihaka za ma - CCM na leo yaliyofanyika kipindi cha mwendazake Magufuli ndo hayohayo yanafanyika tena ktk hali ya ubaya zaidi...

7. Na kwa Rais Samia Suluhu Hassan kama ambavyo wewe na Pascal Mayalla mnajaribu kumtetea na kuwarushia lawama wenzake CCM. Mimi nasema hapana, ni yeye na ni yeye tu ndiye mwenye kulaumiwa kwa mkwamo huu na kuturudisha kwenye uchafu na ubaya wa ki - Magufuli...

8. Ni wazi kuwa mmesahau nguvu na mamlaka ya u- Rais wa kifalme/kimalkia kikatiba aliyo nayo Rais wa Tanganyika, kwamba anaweza kuyatumia anyhow kwa "kadiri aonavyo inafaa" yeye na ndiyo maana akaanzisha mamlaka na cheo cha u - Naibu Waziri Mkuu wa Tanganyika ambayo hayapo kikatiba. Sasa tunaweza vipi kusema alizidiwa nguvu na wahifidhina huku akiwa na nguvu na mamlaka yote hayo ya kufanya lolote kikatiba bila kuzuiliwa na yeyote ndani ya serikali na ndani ya chama ? Kwenye hili ukweli ni kuwa hakuwa na nia na wala hajawahi kuwa na nia ya kuleta mabadiliko yoyote. Hizo 4Rs ni ulaghai wa kisiasa tu kumlegeza Freeman Mbowe lakini ukweli ni kuwa hazina impact wala maana yoyote hadi sasa. Yeye na wenzake serikalini/CCM waliamua hivyo kwa mapatano na ni giliba za kisiasa tu hizo na bahati mbaya kuwa Freeman Mbowe alikubali kuingizwa mkenge kwa dizaini ile...

9. Kwenye ishu ya "uanamke" wake a.k.a "womanship weaknesses" nakubaliana nanyi nyote Pascal Mayalla na wewe Retired. Kwenye hili msimamo wangu siku zote ni kuwa, naturally mwanamke yeyote hafai na hawezi kuwa kiongozi mkuu mzuri wa nchi na taifa hili la Tanganyika. Kwa huyu wetu ana sifa nyingine mbaya zaidi inayom - disqualify moja kwa moja, kwamba, si Mtanganyika ni Mzanzibari. Ni ujinga sana sisi Watanganyika kukubali tuwe na kiongozi mkuu wa nchi raia toka taifa na nchi nyingine..!

10. Pascal Mayalla tunajua wewe ni mwana CCM kindakindaki. Tunajua pia kuwa una inlfuence fulani ndani ya chama chako hicho japo 2020 "wajumbe noma" walikukatilia mbali huko Kawe kwa kukunyima kura ya uteuzi kugombea ubunge wa jimbo la Kawe na nafasi hiyo kupewa Askofu & Mch. Josephat Gwajima. It's sad kuwa, walikuibia hadi kura yako mwenyewe unless utuambie kuwa hukujipigia kura🤪

Sasa basi, tumia influence yako hiyo kuwaambia wenzake wasije wakamrudisha huyu mama 2025. Yalifanyika makosa mwaka 2015 kuteuliwa kuwa mgombea mwenza na tulitaka turekebishe mwaka 2021 baada ya "Jiwe" kufa kwa kutokumpa huu u - Rais wake alionao sasa, lakini Watanganyika tuliamua tuiheshimu katiba ingalau kwenye eneo hilo. Lakini sasa wakati wa kurekebisha makosa umepatikana....

Don't repeat this fatal mistake otherwise mtaleta chaos ambayo hakuna wa kuituliza isipokuwa Mungu mwenyewe huku ikiondoka na uhai wa CCM na baadhi yenu. Msije mkasema hatukuwaonya au kuwaambia mapema...!

Kila la kheri

CC: Pascal Mayalla, Lucas Mwashambwa, FaizaFoxy, Tlaatlaah, ChoiceVariable, Rabbon, Stuxnet Dr Akili Cute Wife Kalamu technically Mag3, JokaKuu
 
1. Kuna lawama zimekuwa zikielekezwa kwa Mbowe kukubali maridhiano.

Naamini Rais Samia alikuwa na conviction kubwa kuwa na maridhino, lakini wahafidhina (conservatives) ndani ya chama chake wakamzidi nguvu and being manamke aka succumb to internal pressure.

2. With time naye Samia madaraka yakawa matamu na ku develop internal, highly internalised presidential supremacy and she became supreme aggressive of power, ndiyo hali inayowapoteza watanzania/watanganyika wenzetu leo so as to consolidate power!

3. All human beings tunaingi kwenye ndoa na mapenzi makubwa, lakini baadaye ndoa zinavunjika. Huwezi kumlaumu mtoto kuwa kwanini ulijiingiza kwenye ndoa! Tuna tabia ya kuficha uhalisia wa ndani yetu tunapokuwa wageni kwenye jambo lolote.

With time uhalisia wa ndani ya mioyo yetu huja baadaye.
Likewise, Mbowe asingeliweza kukataa wito wa Samia kuwa njoo tuzungume tukoke kwenye mkwamo wa mtangulizi wangu! ASILAUMIWE MTU

4. WE LEARN THROUGH MISTAKES
Usihofu. "Namuagiza waziri mkuu hili nalo mkaliangalie"
 
2. With time naye Samia madaraka yakawa matamu na ku develop internal, highly internalised presidential supremacy and she became supreme aggressive of power, ndiyo hali inayowapoteza watanzania/watanganyika wenzetu leo so as to consolidate power!

Hii ndiyo sababu kubwa ya maridhiano kushindikana na kukwama kwa Katiba mpya.

Mama ABDUL hawezi kuachia kiti kimponyoke 2025 .... Na baada ya hapo anamkabidhi Hussein Mwinyi.
 
Back
Top Bottom