Rais Samia alikuwa sahihi kuhusu mahitaji ya Kabisa Mpya

Rais Samia alikuwa sahihi kuhusu mahitaji ya Kabisa Mpya

Burure

Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
42
Reaction score
96
Ukiangalia mambo ya kisiasa yanayoendelea hapa nchini nafikiri utakubaliana na Rais Samia kuwa waTanganyika hawahitaji KATIBA MPYA

Wanachotaka ni kuwepo kwa Uhakika wa chakula uwepo wa ajira pamoja na gharama za maisha kuwa chini...

Wengi wao wanaotaka katiba mpya ni wale waliopo kwenye siasa maana wao ndiyo watakuwa wanufaika wakubwa wa hiyo katiba na sio mTanganyika aliyepo kijijini maana hajua hata maana halisi ya Katiba

Mwisho Zanzibar wana Katiba yao na sijawahi sikia wanaipigia kelele hata siku moja hivi ni kwanini?
 
Ukiangalia mambo ya kisiasa yanayoendelea hapa nchini nafikiri utakubaliana na Rais Samia kuwa waTanganyika hawahitaji KATIBA MPYA

Wanachotaka ni kuwepo kwa Uhakika wa chakula uwepo wa ajira pamoja na gharama za maisha kuwa chini...

Wengi wao wanaotaka katiba mpya ni wale waliopo kwenye siasa maana wao ndiyo watakuwa wanufaika wakubwa wa hiyo katiba na sio mTanganyika aliyepo kijijini maana hajua hata maana halisi ya Katiba

Mwisho Zanzibar wana Katiba yao na sijawahi sikia wanaipigia kelele hata siku moja hivi ni kwanini?
wakiwa wao hawapigi kelele haimaanishi nasisi tusipige kelele!, kila mtu atapiga tu kelele pale atakapofikiwa!
 
Siku likija li dicteta limoja likateua wajukuu, vitukuu na ndugu zake wote kila sehemu na watoto wake na wajomba shangazi likateka nchi likawatawala milele Kama Uganda ndio mtajua umuhimu wa katiba

Hakuna nchi inaweza kuendelea bila uwajibikaji na uwajibikaji unatokana na katiba na Sheria
 
Ukiangalia mambo ya kisiasa yanayoendelea hapa nchini nafikiri utakubaliana na Rais Samia kuwa waTanganyika hawahitaji KATIBA MPYA

Wanachotaka ni kuwepo kwa Uhakika wa chakula uwepo wa ajira pamoja na gharama za maisha kuwa chini...

Wengi wao wanaotaka katiba mpya ni wale waliopo kwenye siasa maana wao ndiyo watakuwa wanufaika wakubwa wa hiyo katiba na sio mTanganyika aliyepo kijijini maana hajua hata maana halisi ya Katiba

Mwisho Zanzibar wana Katiba yao na sijawahi sikia wanaipigia kelele hata siku moja hivi ni kwanini?
Hili bandiko ni very low IQ lingekuwa ni Jarida ningesema linangefaa kuchambiwa usiku wa Mwaka mpya tukishalewa.
 
Ndiyo, na hapa nimetoka kuvuna mihogo, na ndani mchele kibao, niandamane ili iweje? Ndio faida ya architecture kuwa mali ya umma
 
Kati ya watu wote hapa Tanzania umeona utuletee nukuu ya Samia? Samia huyu huyu aliyerisiti mara 3 ili kupata cheti cha form 4??

Na unasema wazanzibari huwa hawaipigii kelele hii katiba? Kauli za "Zanzibar imevaa koti la muungano linalobana", na ile ya "Zanzibar inataka mamlaka kamili" unadhani zinasabanishwa na nini?
 
Ukiangalia mambo ya kisiasa yanayoendelea hapa nchini nafikiri utakubaliana na Rais Samia kuwa waTanganyika hawahitaji KATIBA MPYA

Wanachotaka ni kuwepo kwa Uhakika wa chakula uwepo wa ajira pamoja na gharama za maisha kuwa chini...

Wengi wao wanaotaka katiba mpya ni wale waliopo kwenye siasa maana wao ndiyo watakuwa wanufaika wakubwa wa hiyo katiba na sio mTanganyika aliyepo kijijini maana hajua hata maana halisi ya Katiba

Mwisho Zanzibar wana Katiba yao na sijawahi sikia wanaipigia kelele hata siku moja hivi ni kwanini?
Katiba mpya ndiyo hitaji letu la msingi. Katiba haitoki kwa Mungu na wala haitegemei mvua.

Mungu atatulisha na kutuvisha ila hawezi kutupa katiba. Tundu Lissu ndiyo baba yetu wa katiba mpya, mtake msitake CCM Mtaisoma namba
 
Wewe binadamu wewe. Katiba ndiyo Engine ya nchi kama ilivyo kwenye gari umuhimu wake. Bila katiba, kila Raisi atajiamulia chochote, lolote na hamna la kumfanya.

Fikiria hapa kuna Katiba ya hivyohivyo viongozi wanajifanyia watakalo na hawaguswi. Je kukiwa hakuna kabisa, umewaza kutakuwa na hali gani. Ni muhimu, jifunze leo na uwe balozi huko kutoa Elimu ya Katiba.
 
Wewe binadamu wewe. Katiba ndiyo Engine ya nchi kama ilivyo kwenye gari umuhimu wake. Bila katiba, kila Raisi atajiamulia chochote, lolote na hamna la kumfanya.

Fikiria hapa kuna Katiba ya hivyohivyo viongozi wanajifanyia watakalo na hawaguswi. Je kukiwa hakuna kabisa, umewaza kutakuwa na hali gani. Ni muhimu, jifunze leo na uwe balozi huko kutoa Elimu ya Katiba.
naunga mkono hoja bosi wangu
 
Back
Top Bottom