Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Sukuma gang wanakomeshwa kwa kima cha chini cha mshahara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subirini mishahara bado haijatokaBaada ya kuzunguka huko na huku hatimaye wamejua ongezeko la mshahara, lawama zimeanza na wengine kuanza kumshambulia raisi. Hii haikubaliki hata kidogo.
Raisi aliweka wazi ongezeko la mshahara kwa 23.3% ni wale wa kima Cha chini, Ila kutokujua kusoma na kuelewa kwa watumishi kukafanya ionekane ni kwa watu wote.
Ni kama kuna watu walijiandaa kutoa lawama kwa raisi wetu ikiwa taarifa ilisema wazi kabisa kuwa ni kima cha chini. Hata hivyo tukirudi kwenye uhalisia kwa uchumi ulivyoyumba duniani na Tanzania tukiwemo, unawezaje kuhitaji ongezeko la 23.3%?? Kwa kazi gani hasa unazofanya?
Watumishi wengi ni walimu, zaidi ya nusu(300000+) na hawa ndio waliokuwa mstari wa mbele kupotosha ongezeko ili mwisho wa siku ionekane serikali iliongopa. Shida ni nini kwenye hii kada ya ualimu? Ufahamu mdogo?
Narudia tena acheni lawama kwa Raisi mara moja, na pia mshukuru hata kwa hiko kidogo mlichopata.
Ni vyema ukaacha kusikiliza habari za mtaani.Kwani ni Siri? Salary slip zipo tayari
Haki haiombwi,unayemtetea anafahamu uliyoyawasilisha hapa?Kuna nini leo mbona nyuzi za nyongeza ya mishahara zinapandishwa kwa kasi?Baada ya kuzunguka huko na huku hatimaye wamejua ongezeko la mshahara, lawama zimeanza na wengine kuanza kumshambulia raisi. Hii haikubaliki hata kidogo.
Raisi aliweka wazi ongezeko la mshahara kwa 23.3% ni wale wa kima Cha chini, Ila kutokujua kusoma na kuelewa kwa watumishi kukafanya ionekane ni kwa watu wote.
Ni kama kuna watu walijiandaa kutoa lawama kwa raisi wetu ikiwa taarifa ilisema wazi kabisa kuwa ni kima cha chini. Hata hivyo tukirudi kwenye uhalisia kwa uchumi ulivyoyumba duniani na Tanzania tukiwemo, unawezaje kuhitaji ongezeko la 23.3%?? Kwa kazi gani hasa unazofanya?
Watumishi wengi ni walimu, zaidi ya nusu(300000+) na hawa ndio waliokuwa mstari wa mbele kupotosha ongezeko ili mwisho wa siku ionekane serikali iliongopa. Shida ni nini kwenye hii kada ya ualimu? Ufahamu mdogo?
Narudia tena acheni lawama kwa Raisi mara moja, na pia mshukuru hata kwa hiko kidogo mlichopata.
Kwani nyongeza ya mshahara kwa 23.3% lengo lake lilikuwa kupunguza gap kati ya wale wa kima Cha chini na kima Cha juu Cha mshahara??Baada ya kuzunguka huko na huku hatimaye wamejua ongezeko la mshahara, lawama zimeanza na wengine kuanza kumshambulia raisi. Hii haikubaliki hata kidogo.
Raisi aliweka wazi ongezeko la mshahara kwa 23.3% ni wale wa kima Cha chini, Ila kutokujua kusoma na kuelewa kwa watumishi kukafanya ionekane ni kwa watu wote.
Ni kama kuna watu walijiandaa kutoa lawama kwa raisi wetu ikiwa taarifa ilisema wazi kabisa kuwa ni kima cha chini. Hata hivyo tukirudi kwenye uhalisia kwa uchumi ulivyoyumba duniani na Tanzania tukiwemo, unawezaje kuhitaji ongezeko la 23.3%?? Kwa kazi gani hasa unazofanya?
Watumishi wengi ni walimu, zaidi ya nusu(300000+) na hawa ndio waliokuwa mstari wa mbele kupotosha ongezeko ili mwisho wa siku ionekane serikali iliongopa. Shida ni nini kwenye hii kada ya ualimu? Ufahamu mdogo?
Narudia tena acheni lawama kwa Raisi mara moja, na pia mshukuru hata kwa hiko kidogo mlichopata.
Huna unalojua, salary slip inatanguliwa kabla pesa haijaingiaSubirini mishahara bado haijatoka
Salary slip zipo tayari, au unataka kusema mshahara wa kwenye salary slip ni tofauti na utakaoingia bank? Mshahara unakua posted mapema kwenye mfumo, then pesa iniangia bank baadaeNi vyema ukaacha kusikiliza habari za mtaani.
Utaaibika bure.
CHADEMA NI KANSA YA DAMUWote wapitiao mateso Kutoka Kwa "WAKOLONI WEUSI" tuungane pamoja kudai:
RASIMU alosimamia Judge Warioba irudi mezani mjadala uanzie hapo.
Mzee wetu arudishwe Kwa Tume AAPISHWE, mukandala arudi kufundisha.
Katiba mpya itawalazimisha viongozi kusema Kweli na kuacha ULAGHAI.
Kuhusu ONGEZEKO Hilo la 23% mlikuwa mnaabudu na kusifu kuwa Anaupiga mwingi'' na ONGEZEKO Hilo mlidai ni kubwa kuliko Nchi yoyote EAC.
CCM ni UGONJWA mbaya sana.
Bila shaka wewe ni Mwalimu, huo mshahara unaopewa unakutosha. Mwalimu hana kazi ya kufanya ya kulipwa mshahara mkubwa. Ukiona mshahara kidogo, acha kazi, hujalazimishwaWakati mama yako anakuzaa,K yake ilikuwa inanuka usaha ndio maana huna akili,nchi hii imepata Uhuru miaka mingi Sana,pia ina rasioimali nyingi kushinda population yake,iweje Hadi sasa mtumishi wa umma analipwa mshahara mdogo ambao haumtishi? Iweje baadhi ya wafanyakazi hawalupwi allowances,e.g walimu? Hivi, watumishi hawana haki ya kulalamika ndani ya nchi Yao iliyo huru? Hivi unajua watumishi ni wavumukivu Sana hasa walimu kwa Aina ya mshahara wanaopokea? Ingekuwa nchi zingine watumishi wangeingia barabarani na mabango,Ila uzalendi wa watumishi wa nchi hii,ndio unasabisha watu kuwatukana watumishi,hasa walimu.
Lengo kuwavuta wa kima Cha chini. Au ulitaka waendelee kubaki kwenye 300k??Kwani nyongeza ya mshahara kwa 23.3% lengo lake lilikuwa kupunguza gap kati ya wale wa kima Cha chini na kima Cha juu Cha mshahara??
Kansa kubwa sana, siku nikiwa Raisi hakuna rangi wataacha kuionaCHADEMA NI KANSA YA DAMU
Bahati mbaya mimi Sina Chama.CHADEMA NI KANSA YA DAMU
Payroll/salary slips? Wachambuzi wengine hawa😁Salary slip zipo tayari, au unataka kusema mshahara wa kwenye salary slip ni tofauti na utakaoingia bank? Mshahara unakua posted mapema kwenye mfumo, then pesa iniangia bank baadae
Nijibu swali langu Country wide "lengo la nyongeza Kwenye mishahara ni kupunguza gap au mishahara inaongezwa kwa sababu za gharama ya Maisha kupanda?Lengo kuwavuta wa kima Cha chini. Au ulitaka waendelee kubaki kwenye 300k??
Kuelekea kuandika KATIBA mpya, tunataka viongozi wa KISIASA mf Rais na Wabunge walipwe kiduchu Ili kuzuia wimbi la Wataalamu kukimbilia Vyeo vya kisiasa.Kwa hiyo Mwalimu shule ya msingi kasinge, unataka mshahara wako ulingane na Raisi
Unacho na una upande kabisa. Hakuna mtu akaichukia CHADEMA na asiwe na Chama na hakuna mtu aichukie CCM na asipende chama fulani.Bahati mbaya mm Sina Chama.
Ninawakilisha mawazo yakundi kubwa sana la wananchi wasio wanachama wa Vyama vya Siasa Walio zaidi ya 50 million.
inategemea na kazi gani anafanya, muda anaotumia katika hiyo kazi, mahali anapofanyia, aina ya teknolojia inayotumika na kazi hiyo inahitaji uwekezaji kiasi gani katika viwango vya elimu, na hatari ya kufanya hiyo kazi ni kwa kiasi gani. Suala siyo tu kulinganisha kiasi cha malipo anayopokea.Swali gani wewe?
Mtu anayepata 300000 kwa mwezi ni sawa na mtu anayepata 800000??
Salary slip zipo tayari, au unataka kusema mshahara wa kwenye salary slip ni tofauti na utakaoingia bank? Mshahara unakua posted mapema kwenye mfumo, then pesa iniangia bank baadae