White party
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 1,035
- 1,169
Hawakua walimu au hawakusoma? Haya wewe msomi ulisomea wapi sasa?!! Watu wengine bwana!!Hawakuwa walimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakua walimu au hawakusoma? Haya wewe msomi ulisomea wapi sasa?!! Watu wengine bwana!!Hawakuwa walimu
Unateseka ukiwa wap Sasa?Unaposema shida ni walimu kuwa na uelewa mdogo wewe ulifundishwa na Nani ili uwe na uelewa mkubwa? Hivi kauli "Serikali imeridhia ongezeko la mishahara kuwa 23.3% kwa watumishi ikiwemo kima Cha chini kunahitaji PHD kujua maana yake? Acha dharau ndg, kuwa mwalimu usidhani ndo watu hawana uelewa wa mambo ndo maana Mwl aliitoa nchi hii chini ya ukoloni, ni kada ipi nyingine ilidhubutu kuzungumzia uhuru wa nchi tofauti na kulamba miguu ya wazungu?
Siyo kweli, ila mama anaupiga fyongo!!Mama anaupiga mwingi
Kwa taarifa yako hao walimu unaowaita ni wa Grade 1, kwa wastani mishahara yao ni kidogo sana ukilinganisha na wale unaowaita Popote kambi!!Kuna madaraja mawili ya walimu
- Grade 1, hawa ni wale waliopo shule za English medium (feza, IST, Shabani Robert n.k) na za seminary
- Popote kambi, Hawa Sasa ni wale wenzangu na Mimi waliopo shule za serikali ambao ndio wengi wamewehuka humu JF
Watoto wangu wanafundishwa na waliopo kwenye hilo kundi la kwanza
Utakuwa na laana wewe siyo bure! Pole sana na unastahili kusamehewa bure!! Nampa pole anayetazamia busara kutoka kwako maana atasubiri sana!!Nina akili nyingi sana. Niliyokueleza ni kweli mtupu na unajua. Kila walimu mkitokeza kichwa nitakua nachapa
Huna unachojua wewe ticha wa mwendokasiKwa taarifa yako hao walimu unaowaita ni wa Grade 1, kwa wastani mishahara yao ni kidogo sana ukilinganisha na wale unaowaita Popote kambi!!
Kwa taarifa yako pia huko serikalini walimu ndio wenye mishahara mikubwa ukilinganisha na watumishi wengine wa serikali wanaolingana sifa (digrii kwa digrii, diploma kwa diploma, cheti kwa cheti). Walimu wanazidiwa mishahara na kada chache sana yaani madaktari, wafamasia, watafiti, na mainjinia!! Waliobaki wanapigwa gepu na walimu lakini ndio wamejazana humu wakiwabeza walimu!!
Kusoma kuelewa kukesha mbwembwe, hatimaye ukweli umeujua na umejua nilikua sahihiwatumishi wasiwe na wasiwasi hela ipo nyingi watapata, trion 1 na bilion mia tano tisini ukigawa kwa idadi ya watumishi wa umma laki sita unapata kwa wastani Kila mtumishi anapata ongezeko la laki mbili