Pre GE2025 Rais Samia amechafuka kipindi cha majaribio. Je, tumpe tena mitano au asipewe fomu?

Pre GE2025 Rais Samia amechafuka kipindi cha majaribio. Je, tumpe tena mitano au asipewe fomu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Miaka ya majaribio madini na bahari mapori vyote vimeuzwa kwasasa Tanzania ina deni la trion 91 hii maana yake NI kwamba kwa watanzania milion 60 Kila mtanzania anadaiwa tsh 1,500,000/= kwanza hapo ulipo hiyo pesa unayo?

Kwangu Mimi naona chawa wapunguze mihemko mama ana Kila sababu ya kutogombea 2025 alishakula mema ya nchi kama NI nchi ameitumikia vya kutosha NI Bora aachie ngazi maana naona meli inazidi kuzama kama vile haina nahodha.

Tuhuma alizopewa waziri wa kilimo serikali imeshindwa kuzikanusha kwa fact hivi kweli kampuni ya Simu ya itel ndiyo yakupewa tenda ya kuagiza sukari nje?

Mama tulichobaini NI kwamba ubadhilifu unaofanywa na watendaji wako Una baraka zako kwani hatuoni hatua zozote unazochukua Zaidi ya kuwahamishahamisha hii nchi kweli imekuwa ya kuhamishahamisha watendaji wa bovu na wabadhilifu kweli mama kweli hapana tunasema hapana wewe hizo pikipiki zako Rudisha Tu Sisi kwenye chama tumechoka haya maigizo.
Usiwe na wasiwasi,Paskal alishatabiri kuwa CCM hawatamsimamisha mwaka 2025.
Akishasema yeye huwa hakuna mashaka.
 
Usiwe na wasiwasi,Paskal alishatabiri kuwa CCM hawatamsimamisha mwaka 2025.
Akishasema yeye huwa hakuna mashaka.
Na yeye mwenyewe alishasema hagombei
 

Attachments

  • 5744975-8bcb85f1807b40dfe9b1bdf5a6eabbb0.jpg
    5744975-8bcb85f1807b40dfe9b1bdf5a6eabbb0.jpg
    8 KB · Views: 3
Miaka ya majaribio madini na bahari mapori vyote vimeuzwa kwasasa Tanzania ina deni la trion 91 hii maana yake NI kwamba kwa watanzania milion 60 Kila mtanzania anadaiwa tsh 1,500,000/= kwanza hapo ulipo hiyo pesa unayo?

Kwangu Mimi naona chawa wapunguze mihemko mama ana Kila sababu ya kutogombea 2025 alishakula mema ya nchi kama NI nchi ameitumikia vya kutosha NI Bora aachie ngazi maana naona meli inazidi kuzama kama vile haina nahodha.

Tuhuma alizopewa waziri wa kilimo serikali imeshindwa kuzikanusha kwa fact hivi kweli kampuni ya Simu ya itel ndiyo yakupewa tenda ya kuagiza sukari nje?

Mama tulichobaini NI kwamba ubadhilifu unaofanywa na watendaji wako Una baraka zako kwani hatuoni hatua zozote unazochukua Zaidi ya kuwahamishahamisha hii nchi kweli imekuwa ya kuhamishahamisha watendaji wa bovu na wabadhilifu kweli mama kweli hapana tunasema hapana wewe hizo pikipiki zako Rudisha Tu Sisi kwenye chama tumechoka haya maigizo.
Unataka Lucas Mwashambwa abubujikwe na machozi ya huzuni
 
Ccm hata akili za kawaida tu hawataki kutumia.

Kwenye muungano wa jambo lolote, yule alietoa hela nyingi ndio hua boss ama huchagua boss.

Mfano, Simba Mo ndio ana hisa nyingi ndie anachagua mwenyekiti.

Ni common sense tu kwenye business kwamba mwenye hisa nyingi ndio anachagua boss.

Ajabu CCM wanalazimisha Samia kua rais wetu kutoka Zanzibar, nchi ina watu 1m huku Tanganyika tukiwa zaidi ya 65m. Mtu kutoka taifa dogo kama Zanzibar aje kutupangia maisha yetu sisi watu 65m?

Hata wakati wa muungano wa Kisovieti, rais alikua anatoka Urusi, hakuwahi kutoka Ukraine, Georgia wala Belarusi wala wapi.

CCM wanachotaka Samia awe Rais kwa namna yoyote ile, auze kila kitu akimaliza urais arudi kwao Zanzibar.
 
Miaka ya majaribio madini na bahari mapori vyote vimeuzwa kwasasa Tanzania ina deni la trion 91 hii maana yake NI kwamba kwa watanzania milion 60 Kila mtanzania anadaiwa tsh 1,500,000/= kwanza hapo ulipo hiyo pesa unayo?

Kwangu Mimi naona chawa wapunguze mihemko mama ana Kila sababu ya kutogombea 2025 alishakula mema ya nchi kama NI nchi ameitumikia vya kutosha NI Bora aachie ngazi maana naona meli inazidi kuzama kama vile haina nahodha.

Tuhuma alizopewa waziri wa kilimo serikali imeshindwa kuzikanusha kwa fact hivi kweli kampuni ya Simu ya itel ndiyo yakupewa tenda ya kuagiza sukari nje?

Mama tulichobaini NI kwamba ubadhilifu unaofanywa na watendaji wako Una baraka zako kwani hatuoni hatua zozote unazochukua Zaidi ya kuwahamishahamisha hii nchi kweli imekuwa ya kuhamishahamisha watendaji wa bovu na wabadhilifu kweli mama kweli hapana tunasema hapana wewe hizo pikipiki zako Rudisha Tu Sisi kwenye chama tumechoka haya maigizo.
Sawa ni maoni yako. Ngoja tusikilize na ya wengine.
 
..Maza hana mvuto.

..Maza hana uwezo.

..Maza hana hoja.

Huyu mama, kati ya mambo ya hovyo kabisa ambayo yeye na genge lake la Wazanzibari wamefanya dhidi ya Taifa hili ni kupora rasilimali za watanganyika, bandari, hifadhi za misitu na mbuga za wanyama, na kisha kuziuza kwa waarabu. Wamezifanya rasilimali asili za nchi kuwa mali zao binafsi ambazo wanaweza kuzifanya namna waitakayo.

Fikiria bandari ambayo Taifa limewekeza zaidi ya dola bilioni 11, anapewa mwarabu eti atawekeza dola nusu bilioni, halafu anakuwa na mamlaka makubwa juu ya kila kitu zaidi ya aliyewekeza dola bilioni 11.

Kama wao ni wataalam wa uendeshaji, kwa nini tusiwaajiri kwa kuwapa contract ya uendeshaji tu, huku sisi tukiwa na mamlaka ya mwisho? Kama mara ya mwisho tumewekeza dola bilioni 1, na kama marekebisho ya kuifanya bandari iwe na tija ni dola nusu bilioni, tunashindwaje kuipata hiyo oesa, halafu hawa waarabu tukawafanya kuwa vibarua wetu wa uendeshaji?
 
Huyu mama, kati ya mambo ya hovyo kabisa ambayo yeye na genge lake la Wazanzibari wamefanya dhidi ya Taifa hili ni kupora rasilimali za watanganyika, bandari, hifadhi za misitu na mbuga za wanyama, na kisha kuziuza kwa waarabu. Wamezifanya rasilimali asili za nchi kuwa mali zao binafsi ambazo wanaweza kuzifanya namna waitakayo.

Fikiria bandari ambayo Taifa limewekeza zaidi ya dola bilioni 11, anapewa mwarabu eti atawekeza dola nusu bilioni, halafu anakuwa na mamlaka makubwa juu ya kila kitu zaidi ya aliyewekeza dola bilioni 11.

Kama wao ni wataalam wa uendeshaji, kwa nini tusiwaajiri kwa kuwapa contract ya uendeshaji tu, huku sisi tukiwa na mamlaka ya mwisho? Kama mara ya mwisho tumewekeza dola bilioni 1, na kama marekebisho ya kuifanya bandari iwe na tija ni dola nusu bilioni, tunashindwaje kuipata hiyo oesa, halafu hawa waarabu tukawafanya kuwa vibarua wetu wa uendeshaji?
ILa ccm!!!!!
Basi tu!
 

Miaka ya majaribio madini na bahari mapori vyote vimeuzwa kwasasa Tanzania ina deni la trilioni 91 hii maana yake ni kwamba kwa Watanzania milion 60 kila mmoja anadaiwa Tsh 1,500,000/=. Kwanza hapo ulipo hiyo pesa unayo?

Kwangu mimi naona chawa wapunguze mihemko mama ana kila sababu ya kutogombea 2025, alishakula mema ya nchi. Ni kama nchi ameitumikia vya kutosha, ni bora aachie ngazi maana naona meli inazidi kuzama kama vile haina nahodha.

Tuhuma alizopewa Waziri wa Kilimo serikali imeshindwa kuzikanusha kwa fact hivi kweli kampuni ya Simu ya ITEL ndiyo yakupewa tenda ya kuagiza sukari nje?

Mama tulichobaini ni kwamba ubadhilifu unaofanywa na watendaji wako una baraka zako kwani hatuoni hatua zozote unazochukua zaidi ya kuwahamishahamisha hii nchi kweli imekuwa ya kuhamishahamisha watendaji wa bovu na wabadhilifu kweli.

Mama kweli hapana tunasema hapana, wewe hizo pikipiki zako rudisha tu sisi kwenye chama tumechoka haya maigizo.

====

Pia soma

Thread 'Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia' Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Unalipaje fomu mtu wa hovyo kiasi hicho
 
Utampaje Tena mtu kiziwi? Kiziwi ni hatari Kwa uchumi wa taifa maana atakuwa anauza hovyo Mali za Nchi Kwa sababu hawezi kusikia kinachozungumzwa
 
Ndugu zangu marafiki na umma kwa ujumla nyie wenyewe mmeona miaka mitatu ya mama bandari kubwa zote tayari zimeshapewa angali tuliweka pesa zetu kwa ajiri ya kuziboreshs, misitu bahari na madini ndiyo usiseme kabisa , deni la taifa trion 91 na watanzania tupo milion 60 hapo ulipo Una deni unalipa la milion 1 na laki tano ,ukiona unalalamika bei ya sukari mafta kupanda bei n.k. ujue unakamuliwa wewe! Jiulize pesa nyingi alizokopa zimefanya kazi gani! Kumbukeni kuna trion 1.3 tuliweka pale bandari ya daresalaam kwa ajiri ya upanuzi na uboreshaji lakini baada ya makolo huo tayari bandari ikaondoka kwa kigezo cha ubinafisishaji je mnajuwa trion 1.3 zimefanya nini jibu NI hapana ! Kaeni tumuombe mungu hii mitatu yake ya katiba imetosha kama NI balaa tumeona na bado tunaendelea kuona
 
Kwani kwenye kupeana Fomu huwa unaulizwa ?

Sidhani kama matakwa yako yana any significance unless wewe ni mmoja kati ya selected few, which I serious doubt you are....
 
Etiii kyura kisiwiii khaa tulishauri 2025 ampishe mwingine hatoshiiiii
 
Huyu mama, kati ya mambo ya hovyo kabisa ambayo yeye na genge lake la Wazanzibari wamefanya dhidi ya Taifa hili ni kupora rasilimali za watanganyika, bandari, hifadhi za misitu na mbuga za wanyama, na kisha kuziuza kwa waarabu. Wamezifanya rasilimali asili za nchi kuwa mali zao binafsi ambazo wanaweza kuzifanya namna waitakayo.

Fikiria bandari ambayo Taifa limewekeza zaidi ya dola bilioni 11, anapewa mwarabu eti atawekeza dola nusu bilioni, halafu anakuwa na mamlaka makubwa juu ya kila kitu zaidi ya aliyewekeza dola bilioni 11.

Kama wao ni wataalam wa uendeshaji, kwa nini tusiwaajiri kwa kuwapa contract ya uendeshaji tu, huku sisi tukiwa na mamlaka ya mwisho? Kama mara ya mwisho tumewekeza dola bilioni 1, na kama marekebisho ya kuifanya bandari iwe na tija ni dola nusu bilioni, tunashindwaje kuipata hiyo oesa, halafu hawa waarabu tukawafanya kuwa vibarua wetu wa uendeshaji?

..hiyo nusu bilioni ni kwa kipindi kirefu kisichojulikana, na hakuna guarantee kuwa watatimiza ahadi hiyo.
 
..hiyo nusu bilioni ni kwa kipindi kirefu kisichojulikana, na hakuna guarantee kuwa watatimiza ahadi hiyo.

Ni kweli, wala hatuwezi kujua kama kweli kawekeza kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom