Rais Samia amedhamiria, Reforms ya kibabe kwenye Afya

Rais Samia amedhamiria, Reforms ya kibabe kwenye Afya

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
SOMA; Rais Samia fanya Maamuzi NHIF imeshindwa kufikia lengo.

Pia Soma: Rais Samia, bado nalia na NHIF dhidi ya Agenda iliyopenyezwa

Moja kati ya Teuzi bora kabisa kwa Watanzania ni kufanya reforms ya mageuzi ya NHIF na kumuondoa Ummy Wizara ya Afya pamoia na CEO wa NHIF, hii chain dah, nimemuogopa sana Samia, somehow, anawashauri sahihi, naanza kuamini.

Hii Wizara ni nyeti na haihitaji SIASA za kina Lucas Mwashambwa za standard 4 failures ,Afya ni serious business.. isiponigusa mm kwa uwezo wangu wa kifedha, utamkuga babu yako wa kule kizimkazi.

Sikuwahi kukubali uwezo wa Ummy kwa term zote alizofanya MoH. She is just a good orator.

Kama tupo serious Ummy na CEO wa NHIF pamoja na Mfamasia Mkuu wa Serikali na advocates wote wa kitita cha NHIF. Hii timu ichunguzwe na ifanyiwe special audit, kuna mengi behind the scene, kuna pollution imefanyika kwenye Afya.

I wonder sana huyu jamaa alipataje nafasi ya U CEO kwenye shirika kubwa kama lile lenye uhai wa watanzania.

Alifikaje hapo ? Very incapable

Private Hospitals have lots of investment kwenye Afya, na kuachana na huduma za NHIF, it is because of losses wanazopata, huyu CEO na waziri wao , walikuwa wanaenda kuwabembeleza kisiasa na kuficha uhalisia kwenye
public, but the truth hizo hospitals hawatak kabisa hiyo kitu NHIF’…… to
Them ni uhuni na shirika lilikuwa linasimamiwa na incapable

Zimepigwa siasa nyingi sana kuanzia kwa Ummy Hadi kwa CEO wa NHIF, na timu ya Wizara , siasa za udanganyifu na ulaghai kwa kumdeceive Rais Samia… but finally she has realized and seen the truth .

Universal health coverage chini ya Ummy, na CEO wa NHIF ni SCAM, review ifanyike na mapitio mengine.

NHIF has covered only 13% of the total population in the year ended 2022. It is such a shame !

Congratulations Rais Samia, inawezekana tutakuelewa along the way , ninaanza kupata imani na washauri wako.Hizi taasisi zinazodili na Afya za binadamu , wanafanya sana siasa kuliko uhalisia, kuwe na special audit kutokea ikulu…. Kuchunguza wanachokitangaza kina uhalisia gani.?

Kwa kuhitimisha, bado ninatatizwa na namna ya kupata ma-CEO , tunahitaji mchakato huru na competitive wa kupata hawa wakuu wa taasisi. je mliona mchakato wa kumpata CEO wa WHO AFRICA region ulivyoendeshwa? That is how it should be .

competition should be a default mechanism ya kupata wakuu wa taasisi. Dunia ipo mbali sana…

tuachane old ways of doing things

Megalodon, Otawwa, Canada
 
Subiri TENGUWA TEUWA itawafikia wotee ,mama anaendelea kuwa zoom tu ,
FB_IMG_1723224391740.jpg
ombil lako lafanyiwa kazi mkuu
 
Toto Bima hadi leo ni kizungumkuti
Lilikuwa ni kosa kubwa chini ya Ummy kuondoa Toto Afya. It is such a shame chini ya Waziri mwanamke anaenda kuondoa toto afya kwa logeai cha kusema inakula gharama za mfuko ;

Magari ya mashangingi , unnecessary hayali kodi zetu, Tanzania inaviongozi wapuuzi sana
 
SOMA; Rais Samia fanya Maamuzi NHIF imeshindwa kufikia lengo.

Pia Soma: Rais Samia, bado nalia na NHIF dhidi ya Agenda iliyopenyezwa

Moja kati ya Teuzi bora kabisa kwa Watanzania ni kufanya reforms ya mageuzi ya NHIF na kumuondoa Ummy Wizara ya Afya pamoia na CEO wa NHIF, hii chain dah, nimemuogopa sana Samia, somehow, anawashauri sahihi, naanza kuamini.

Hii Wizara ni nyeti na haihitaji SIASA za kina Lucas Mwashambwa za standard 4 failures ,Afya ni serious business.. isiponigusa mm kwa uwezo wangu wa kifedha, utamkuga babu yako wa kule kizimkazi.

Sikuwahi kukubali uwezo wa Ummy kwa term zote alizofanya MoH. She is just a good orator.

Kama tupo serious Ummy na CEO wa NHIF pamoja na Mfamasia Mkuu wa Serikali na advocates wote wa kitita cha NHIF. Hii timu ichunguzwe na ifanyiwe special audit, kuna mengi behind the scene, kuna pollution imefanyika kwenye Afya.

I wonder sana huyu jamaa alipataje nafasi ya U CEO kwenye shirika kubwa kama lile lenye uhai wa watanzania.

Alifikaje hapo ? Very incapable

Private Hospitals have lots of investment kwenye Afya, na kuachana na huduma za NHIF, it is because of losses wanazopata, huyu CEO na waziri wao , walikuwa wanaenda kuwabembeleza kisiasa na kuficha uhalisia kwenye
public, but the truth hizo hospitals hawatak kabisa hiyo kitu NHIF’…… to
Them ni uhuni na shirika lilikuwa linasimamiwa na incapable

Zimepigwa siasa nyingi sana kuanzia kwa Ummy Hadi kwa CEO wa NHIF, na timu ya Wizara , siasa za udanganyifu na ulaghai kwa kumdeceive Rais Samia… but finally she has realized and seen the truth .

Universal health coverage chini ya Ummy, na CEO wa NHIF ni SCAM, review ifanyike na mapitio mengine.

NHIF has covered only 13% of the total population in the year ended 2022. It is such a shame !

Congratulations Rais Samia, inawezekana tutakuelewa along the way , ninaanza kupata imani na washauri wako.Hizi taasisi zinazodili na Afya za binadamu , wanafanya sana siasa kuliko uhalisia, kuwe na special audit kutokea ikulu…. Kuchunguza wanachokitangaza kina uhalisia gani.?

Kwa kuhitimisha, bado ninatatizwa na namna ya kupata ma-CEO , tunahitaji mchakato huru na competitive wa kupata hawa wakuu wa taasisi. je mliona mchakato wa kumpata CEO wa WHO AFRICA region ulivyoendeshwa? That is how it should be .

competition should be a default mechanism ya kupata wakuu wa taasisi. Dunia ipo mbali sana…

tuachane old ways of doing things

Megalodon, Otawwa, Canada
Reform yoyote ile ya maana itaanzia kwenye upatikanaji wa Katiba Mpya iliyo nzuri.
 
SOMA; Rais Samia fanya Maamuzi NHIF imeshindwa kufikia lengo.

Pia Soma: Rais Samia, bado nalia na NHIF dhidi ya Agenda iliyopenyezwa

Moja kati ya Teuzi bora kabisa kwa Watanzania ni kufanya reforms ya mageuzi ya NHIF na kumuondoa Ummy Wizara ya Afya pamoia na CEO wa NHIF, hii chain dah, nimemuogopa sana Samia, somehow, anawashauri sahihi, naanza kuamini.

Hii Wizara ni nyeti na haihitaji SIASA za kina Lucas Mwashambwa za standard 4 failures ,Afya ni serious business.. isiponigusa mm kwa uwezo wangu wa kifedha, utamkuga babu yako wa kule kizimkazi.

Sikuwahi kukubali uwezo wa Ummy kwa term zote alizofanya MoH. She is just a good orator.

Kama tupo serious Ummy na CEO wa NHIF pamoja na Mfamasia Mkuu wa Serikali na advocates wote wa kitita cha NHIF. Hii timu ichunguzwe na ifanyiwe special audit, kuna mengi behind the scene, kuna pollution imefanyika kwenye Afya.

I wonder sana huyu jamaa alipataje nafasi ya U CEO kwenye shirika kubwa kama lile lenye uhai wa watanzania.

Alifikaje hapo ? Very incapable

Private Hospitals have lots of investment kwenye Afya, na kuachana na huduma za NHIF, it is because of losses wanazopata, huyu CEO na waziri wao , walikuwa wanaenda kuwabembeleza kisiasa na kuficha uhalisia kwenye
public, but the truth hizo hospitals hawatak kabisa hiyo kitu NHIF’…… to
Them ni uhuni na shirika lilikuwa linasimamiwa na incapable

Zimepigwa siasa nyingi sana kuanzia kwa Ummy Hadi kwa CEO wa NHIF, na timu ya Wizara , siasa za udanganyifu na ulaghai kwa kumdeceive Rais Samia… but finally she has realized and seen the truth .

Universal health coverage chini ya Ummy, na CEO wa NHIF ni SCAM, review ifanyike na mapitio mengine.

NHIF has covered only 13% of the total population in the year ended 2022. It is such a shame !

Congratulations Rais Samia, inawezekana tutakuelewa along the way , ninaanza kupata imani na washauri wako.Hizi taasisi zinazodili na Afya za binadamu , wanafanya sana siasa kuliko uhalisia, kuwe na special audit kutokea ikulu…. Kuchunguza wanachokitangaza kina uhalisia gani.?

Kwa kuhitimisha, bado ninatatizwa na namna ya kupata ma-CEO , tunahitaji mchakato huru na competitive wa kupata hawa wakuu wa taasisi. je mliona mchakato wa kumpata CEO wa WHO AFRICA region ulivyoendeshwa? That is how it should be .

competition should be a default mechanism ya kupata wakuu wa taasisi. Dunia ipo mbali sana…

tuachane old ways of doing things

Megalodon, Otawwa, Canada
Asipomtoa Mwigulu nchemba bado sitomuelewa.
Hawa akina mwigulu wanautaka urais na inaonesha hakuna mtu wa kumdhibiti kwenye hili
 
SOMA; Rais Samia fanya Maamuzi NHIF imeshindwa kufikia lengo.

Pia Soma: Rais Samia, bado nalia na NHIF dhidi ya Agenda iliyopenyezwa

Moja kati ya Teuzi bora kabisa kwa Watanzania ni kufanya reforms ya mageuzi ya NHIF na kumuondoa Ummy Wizara ya Afya pamoia na CEO wa NHIF, hii chain dah, nimemuogopa sana Samia, somehow, anawashauri sahihi, naanza kuamini.

Hii Wizara ni nyeti na haihitaji SIASA za kina Lucas Mwashambwa za standard 4 failures ,Afya ni serious business.. isiponigusa mm kwa uwezo wangu wa kifedha, utamkuga babu yako wa kule kizimkazi.

Sikuwahi kukubali uwezo wa Ummy kwa term zote alizofanya MoH. She is just a good orator.

Kama tupo serious Ummy na CEO wa NHIF pamoja na Mfamasia Mkuu wa Serikali na advocates wote wa kitita cha NHIF. Hii timu ichunguzwe na ifanyiwe special audit, kuna mengi behind the scene, kuna pollution imefanyika kwenye Afya.

I wonder sana huyu jamaa alipataje nafasi ya U CEO kwenye shirika kubwa kama lile lenye uhai wa watanzania.

Alifikaje hapo ? Very incapable

Private Hospitals have lots of investment kwenye Afya, na kuachana na huduma za NHIF, it is because of losses wanazopata, huyu CEO na waziri wao , walikuwa wanaenda kuwabembeleza kisiasa na kuficha uhalisia kwenye
public, but the truth hizo hospitals hawatak kabisa hiyo kitu NHIF’…… to
Them ni uhuni na shirika lilikuwa linasimamiwa na incapable

Zimepigwa siasa nyingi sana kuanzia kwa Ummy Hadi kwa CEO wa NHIF, na timu ya Wizara , siasa za udanganyifu na ulaghai kwa kumdeceive Rais Samia… but finally she has realized and seen the truth .

Universal health coverage chini ya Ummy, na CEO wa NHIF ni SCAM, review ifanyike na mapitio mengine.

NHIF has covered only 13% of the total population in the year ended 2022. It is such a shame !

Congratulations Rais Samia, inawezekana tutakuelewa along the way , ninaanza kupata imani na washauri wako.Hizi taasisi zinazodili na Afya za binadamu , wanafanya sana siasa kuliko uhalisia, kuwe na special audit kutokea ikulu…. Kuchunguza wanachokitangaza kina uhalisia gani.?

Kwa kuhitimisha, bado ninatatizwa na namna ya kupata ma-CEO , tunahitaji mchakato huru na competitive wa kupata hawa wakuu wa taasisi. je mliona mchakato wa kumpata CEO wa WHO AFRICA region ulivyoendeshwa? That is how it should be .

competition should be a default mechanism ya kupata wakuu wa taasisi. Dunia ipo mbali sana…

tuachane old ways of doing things

Megalodon, Otawwa, Canada
Tuache unafiki ila ummy mwalimu kaiharibu wizara ya afya
 
SOMA; Rais Samia fanya Maamuzi NHIF imeshindwa kufikia lengo.

Pia Soma: Rais Samia, bado nalia na NHIF dhidi ya Agenda iliyopenyezwa

Moja kati ya Teuzi bora kabisa kwa Watanzania ni kufanya reforms ya mageuzi ya NHIF na kumuondoa Ummy Wizara ya Afya pamoia na CEO wa NHIF, hii chain dah, nimemuogopa sana Samia, somehow, anawashauri sahihi, naanza kuamini.

Hii Wizara ni nyeti na haihitaji SIASA za kina Lucas Mwashambwa za standard 4 failures ,Afya ni serious business.. isiponigusa mm kwa uwezo wangu wa kifedha, utamkuga babu yako wa kule kizimkazi.

Sikuwahi kukubali uwezo wa Ummy kwa term zote alizofanya MoH. She is just a good orator.

Kama tupo serious Ummy na CEO wa NHIF pamoja na Mfamasia Mkuu wa Serikali na advocates wote wa kitita cha NHIF. Hii timu ichunguzwe na ifanyiwe special audit, kuna mengi behind the scene, kuna pollution imefanyika kwenye Afya.

I wonder sana huyu jamaa alipataje nafasi ya U CEO kwenye shirika kubwa kama lile lenye uhai wa watanzania.

Alifikaje hapo ? Very incapable

Private Hospitals have lots of investment kwenye Afya, na kuachana na huduma za NHIF, it is because of losses wanazopata, huyu CEO na waziri wao , walikuwa wanaenda kuwabembeleza kisiasa na kuficha uhalisia kwenye
public, but the truth hizo hospitals hawatak kabisa hiyo kitu NHIF’…… to
Them ni uhuni na shirika lilikuwa linasimamiwa na incapable

Zimepigwa siasa nyingi sana kuanzia kwa Ummy Hadi kwa CEO wa NHIF, na timu ya Wizara , siasa za udanganyifu na ulaghai kwa kumdeceive Rais Samia… but finally she has realized and seen the truth .

Universal health coverage chini ya Ummy, na CEO wa NHIF ni SCAM, review ifanyike na mapitio mengine.

NHIF has covered only 13% of the total population in the year ended 2022. It is such a shame !

Congratulations Rais Samia, inawezekana tutakuelewa along the way , ninaanza kupata imani na washauri wako.Hizi taasisi zinazodili na Afya za binadamu , wanafanya sana siasa kuliko uhalisia, kuwe na special audit kutokea ikulu…. Kuchunguza wanachokitangaza kina uhalisia gani.?

Kwa kuhitimisha, bado ninatatizwa na namna ya kupata ma-CEO , tunahitaji mchakato huru na competitive wa kupata hawa wakuu wa taasisi. je mliona mchakato wa kumpata CEO wa WHO AFRICA region ulivyoendeshwa? That is how it should be .

competition should be a default mechanism ya kupata wakuu wa taasisi. Dunia ipo mbali sana…

tuachane old ways of doing things

Megalodon, Otawwa, Canada
Jenista muhagama hapana, hii wizara inahitaji professional doctor kabisa, sio ku rotate mawazir wale wale, efficiency haito tokea
 
Back
Top Bottom