Rais Samia amedhamiria, Reforms ya kibabe kwenye Afya

Universal health care imekuwa mwiba, sio bongo tu hata huko kwa matajiri, huduma za afya kwa jamii zinaumiza watu vichwa.

Kuna makundi muhimu ya kuangalia, TOTO AFYA ni lazima, huwezi kusema unasimamia afya ya jamii huku afya ya mtoto haina guarantee.

FREE/FAIR HEALTHCARE kwa wazee, ni kundi muhimu sana, watu walishafanya kazi, wamechoka, wanahitaji serikali yao iwajali. Huwezi kuwa-overlook wazee.

Serikali itoe ruzuku kwa ajili ya makundi yote, afya iwe kipaumbele, packages ziwe affordable hasa kwa wenye ajira zisizo rasmi.

Health facilities zilipwe kwa wakati, private health facility inachukua mikopo, imewekeza, wewe hutaki kulipa kwa wakati, wao wajiendeshe vipi.
 
Jenista muhagama hapana, hii wizara inahitaji professional doctor kabisa, sio ku rotate mawazir wale wale, efficiency haito tokea
Doctor wa Nini? Kuna upasuaji? Kuna kusafisha vidonda? Kuna matibabu? , hao watu ndio sifuri kabisa kwenye Administrative. Tulishawahi kuwa nao and are the most failures kwenye wizara hiyo

The positon is pure administrative , it does not need anything like a doctor or nurse or other cadre. It needs a critical thinker with records kwenye policy and economics background , with strong management skills .

Ni sahih kabisa bado Jenister sio better replacement ya Ummy, there is no difference Kati ya ummmy na Jenista…. Ni walewale but Ummy kuna namna alijiwekea miraja wizarani; hafai just as asivofaa Jenista


Jenista muhagama hapana, hii wizara inahitaji professional doctor kabisa, sio ku rotate mawazir wale wale, efficiency haito tokea
 
Yes , lakini kukiwa na wait sahihi kwenye positions , things zinakuwa sawa. Tatizo kubwa la Africa ni tupo kisiasa hata kwenye mambo ya msingi
 
You didnt understand why doctor, we need someone ambae amekaa kwenye sector ya afya for a while, it admistrative but also very technical na nyeti. Jenista ni overal regular wazir but not efficient, hizi wizara nyeti hazihitaji regular wazir they need wazir mwenye knowledge atleast na wizara husika if not uzoefu. Matokeo ya kupeleka mawaziri regular result hakuna mabadiliko kwenye wizara husika, ata rithi matatizo aliyo yakuta na atayaacha
 
Wizara ya Afya kuna cadre tofauti, why necessary awe doctor ?

Anafanya prescribing, surgery ?

The position haihitaji hao, kama ni suala la technical , chini ya waziri kuna kurugenzi ya tiba kutakuwa na hao watu technically , kuna watu maabara watamsaidia technically , kuna nursing department, watamsaidia technically…: kuna hao watu wa madawa..:: watamsaidia technically

Waziri ana mambo mengi ya administrative, akiwa technical itasaidia
Nini?

The position needs a candidate with strong management skills with track records in economics , and social responsibility. The position is all about management and leadership…. That is all

We had a technical Minister , Dorothy, the worst Minister kwenye hiyo wizara , she had what it called micromanagement instead of being a leader to show the way

There is nothing technical ambacho minister atatakiwa kufanya, and ni kwamba hao watu huwa hawakumbukigi chochote….: a good doctor’or
Nurse ni yule aliye Hospital…, that is technical
 
Dorothy sucked kwenye hiyo wizara that i agree, i mean sio lazima awe doctor, kada ya afya ni pana na ina watu wengi.

Suala la kusema waziri atafanya adminstrative issues only that wrong, awe na uelewa of how hiyo wizara ina function. Yes anaweza kuwa na technical team nzuri chini yake but if haelewi why or ana treat hiyo position kama alipo toka hatutopata changes zozote

We need new faces ,not only new faces but with knowledge ya wizara hii. Hizi wizara nyeti hazihitaji career politicians
 
Wewe bana u meleta andiko refu lisilo na maana yoyote

Unaweza kutuambia nhif ni kwa Nini iligirisika??

Unaweza kutuambia ripoti ya cag juu ya uchafu wa nhif kwa Nini raisi alikaa kimya??

Alafu anatokea mpumbavu mmoja anasifia eti "reform"

Yaani watu wanaiba raisi anawaangalia mpaka wanaiharobu nhif ili baadaye rais aje afanye reform mpate kumsifia

Sidhani kama aliyeandika huu upuuzi ana akili timamu
 
kama si kwa nafasi aliyopendekezwa kule WHO Afrika,Faustine Ndugulile angefaa sana hapa,
Naye kimeo tu.
Alivyopewa Wizara ya mawasiliano ndiyo ikawa mwanzo wa kupanda kwa mabando, mi sina hamu naye kabisa.
 
Universal health coverage chini ya Ummy, na CEO wa NHIF ni SCAM, review ifanyike na mapitio mengine.

NHIF has covered only 13% of the total population in the year ended 2022. It is such a shame
Ummy pahala pake ni Lupango.
Na asiyemuelewa Rais Samia anachojaribu kufanya ili kulikomboa Taifa hili la Tanzania ni Mjinga. Viongozi wa Tanzania walizoea kuishi kimazoea, na ndio maana huko nyuma ukishachaguliwa kuwa waziri huondoki mpaka vipindi viwili viishe. Hili ni lazima lirekebishwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…