Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 590
- 807
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka amesema ndani ya siku 558 tangu Rais Samia Suluhu Hassan aapishwe kuwa Rais wa Tanzania, amefanikiwa kuimarisha na kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini.
#CCMImara
#KaziIendelee
#CCMImara
#KaziIendelee