Rais Samia amejitoa na kujitolea Maisha yake kama Sadaka kwa ajili ya kuwatumikia watanzania

Nashauri tuwe makini na kiasi na maneno na kauli zetu, kauli nyingine huumba!.
Sadaka ni kitu kinachotolewa kwa Mungu tuu pekee na sio kwa binadamu!, na ukiishamtolea Mungu sadaka, Mungu huipokea sadaka yake.
P
Ushauri mzuri. Hata yule alilitumia mara kadhaa hilo neno la kujitoa sadaka. Na akawa sadaka.
 
Wewe mshamba bado unabwabwaja tu hata ka ukurugenzi hupati?? ok Huyu mama ameitoa Tanganyika sadaka kwa waarabu ! siyo yeye katutoa sadaka huyu!! Elewa hivyo uthibitisho kibao leta fyoko upewe!
 
Ushauri mzuri. Hata yule alilitumia mara kadhaa hilo neno la kujitoa sadaka. Na akawa sadaka.
It's true kuna watu wanajikomba kwa kusifu mpaka kupitiliza, wanapomtoa binadamu sadaka, na kumkabidhi Mungu sadaka yake, hawajui kuwa sadaka ni kwa Mungu tuu, hivyo Mungu akiitwaa sadaka yake, watakuja humu wamebubujikwa machozi kumlilia Mungu, kwanini ameitwaa sadaka yake.

Ukisifu na kupitiliza unakuwa ni kama unamuabudia! Wa kuabudiwa, kutukuzwa na kusujudiwa ni Mungu pekee!
P
 
Kosa ni la Baba yako aliyekojoa ndani ukazaliwa wewe,angejua kama atazaa kocho kama wewe hakika angekojoa nje
 
We unamtaka mh Rais wetu awe sadaka?
Kuwa sadaka mwenyewe
Acheni kusifu kuzidiaha
 
Nashauri tuwe makini na kiasi na maneno na kauli zetu, kauli nyingine huumba!.
Sadaka ni kitu kinachotolewa kwa Mungu tuu pekee na sio kwa binadamu!, na ukiishamtolea Mungu sadaka, Mungu huipokea sadaka yake.
P
Chawa wengi sana,kadri siku zinavyozidi kwenda watu wanakuwa Human praiser,uwezo wa kufikiri unashuka kwa kasi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…