Rais Samia amejitoa na kujitolea Maisha yake kwa ajili ya kuleta Tabasamu na Matumaini katika mioyo ya Watanzania

We jamaa unachokifanya ni kuforce perception yako kwa jamii, hata mi simpingi Mama na ninaona mazuri anayofanya ila uwasilishaji wako umekaa kinjaa sijui niseme kishamba mpaka inakera, hata kama ingekuwa mi ndo unanisifia jibu ambalo ningekupa ni "balance shobo" mwisho wa siku utaonekana unatoa sifa kinafki acha kuforce uteuzi
 
Nchi masikini ndio zinazoongoza kwa kusifu viongozi wake, wale wenye akili timam wanawakosoa viongozi wao bila uoga...
Siyo kosa Wala jinai kumpongeza kiongozi anapofanya vizuri katika utekelezaji wa majukumu yake
 
Sijasema natafuta uteuzi Mimi,kazi yangu Ni kuusema ukweli
 
Sasa ndugu yangu unafikiri uchawa utakusaidia kukutoa kwenye haya maisha fanya kazi kwa bidii na muombe Mungu
 
Umeweka nomber ya simu ya nini unatafuta uteuzi nenda kasome uchawa haulipi?
 
Wewe ni mnyiha mjinga na mpumbavu katika wanyiha wote waliopo duniani.
 
Wewe ni mnyiha mjinga na mpumbavu katika wanyiha wote waliopo duniani.
Acha mawazo ya kikabila hapa,pia Hoja hujibiwa kwa hoja na siyo matusi,inatakiwa ulete hoja za kuthibitisha madai yako juu ya ikisemacho.
 
Baada ya kusikia anapitaga jf? Samia sio Magufuri, weka hadi email hakuna atakaye kutafuta
 
Hivi kijana una familia kabisa na wewe mke watoto kabisa na wewe na wanakuita baba? Sio rahis
 
Hahahaha we mwanangu hata usifieje
Hutoboi nakwambia
Umekaa kifala sana
Pozi zako inaonesha kabisa akili kuna mahala inashida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…