GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa Jimbo la Peramiho, Mkoa wa Ruvuma linaloongozwa na Jenista Mhagama, amemsifu mbunge ambaye ni Waziri wa Afya kwa kazi anayoifanya ndani ya Serikali.
"Nalishukuru tumbo lililomleta Jenista Mhagama, mimi pamoja na kwamba ni Rais, lakini namwita kiraka changu. Nikiona mambo huku yameharibika nampeleka na niwahakikishie hakuwahi kukosea," amesema.
Mhagama amekuwa Waziri kwa kipindi kirefu akihudumu wa wizara mbalimbali ikiwamo ya Sera, Bunge na Uratibu na Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Soma Pia: Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake
Chanzo: mwananchi_official
Ummy aliinuliwa Ukumbini na kupewa Sifa Kem Kem na kujiona kamweka Mama Kiganjani ghafla tu akatumbuliwa!!!!
"Nalishukuru tumbo lililomleta Jenista Mhagama, mimi pamoja na kwamba ni Rais, lakini namwita kiraka changu. Nikiona mambo huku yameharibika nampeleka na niwahakikishie hakuwahi kukosea," amesema.
Mhagama amekuwa Waziri kwa kipindi kirefu akihudumu wa wizara mbalimbali ikiwamo ya Sera, Bunge na Uratibu na Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Soma Pia: Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake
Chanzo: mwananchi_official
Ummy aliinuliwa Ukumbini na kupewa Sifa Kem Kem na kujiona kamweka Mama Kiganjani ghafla tu akatumbuliwa!!!!