Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Chiluba alikuwa mtu wa ovyo sana.Kuna kisa nakikumbuka wakati Fredrick Chiluba alipomuweka Mzee Kaunda Jela Mzee Kaunda akafanya mgomo wa kula,Nyerere alipoona hivyo akaondoka mbiombio hadi Lusaka kwenda kumtoa mahabusu Rafiki yake😁
Amandla...