Rais Samia ametufutia laana ya kichwa cha mwendawazimu kwenye michezo

Rais Samia ametufutia laana ya kichwa cha mwendawazimu kwenye michezo

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Timu zetu zilikuwa hazifanyi vizuri kwenye mashindano ya Kimataifa. Vilabu na timu za taifa zilikuwa zinafungwa na hata vinchi vidogo na vyenye vurugu kila siku kama Burundi na Rwanda. Hii ilimfanya Rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kuzifananisha timu zetu na kichwa cha mwendawazimu ambacho kila mtu anajifunzia kunyoa nywele (ukinyozi).

Awamu ya sita ya Rais Dr. Samia mambo yamegeuka kama vile mtu aliyetumwa kunya kuondosha yale maneno mabaya ya Mzee Mwinyi kwa timu zetu. Timu zetu sasa zinashinda, Yanga na Simba, timu ya taifa, timu za vijana na wanawake na walemavu kwenye awamu hii ya mama zote zinafanya vizuri. Ameondoa gundu.

Tumuombe tu aseme na wana CCM wenzake waone aibu kuvishikilia viwanja vyote vya mpira na kudai ni vyao wavirudishe serikalini na TFF ili vipangiwe bajeti na mikakati ya kuvikarabati na kuvitunza.
 
Timu zetu zilikuwa hazifanyi vizuri kwenye mashindano ya Kimataifa. Vilabu na timu za taifa zilikuwa zinafungwa na hata vinchi vidogo na vyenye vurugu kila siku kama Burundi na Rwanda. Hii ilimfanya Rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kuzifananisha timu zetu na kichwa Cha mwendawazimu ambacho kila mtu anajifunzia kunyoa nywele (ukinyozi).

Awamu ya sita ya Rais Dr. Samia mambo yamegeuka kama vile mtu aliyetumwa kunya kuondosha yale maneno mabaya ya Mzee Mwinyi kwa timu zetu. Timu zetu Sasa zinashinda, Yanga na Simba, timu ya taifa, timu za vijana na wanawake na walemavu kwenye awamu hii ya mama zote zinafanya vizuri. Ameondoa gundu.

Tumuombe TU aseme na wanaCCM wenzake waone aibu kuvishikilia viwanja vyote vya mpira na kudai ni vyao wavirudishe serikalini na TFF ili vipangiwe bajeti na mikakati ya kuvikarabati na kuvitunza.
Lower your expectations when it comes to Taifa stars

ALWAYS
 
Awekeze sasa kwenye academy za kueleweka ili tupate wanamichezo wazuri wa kwenda kuwakilisha nje ya nchi na manufaa ya taifa kwa ujumla
Ningekuwa kiongozi ningefanya jitihada za kutengeneza ajira kupitia michezo
 
Ni uwekezaji gani umefanyika tangu raisi aingie madarakani? Unadhani mpira wa miguu ni kitu cha kuamka asubuhi na kupata mafanikio?

Soccer inahitaji investment, sio porojo. Akianza kuwekeza kwa youth, matokeo ya uwekezaji huo tutayaona miaka kadhaa ijayo, otherwise ni hadithi zile zile tu.
 
Timu zetu zilikuwa hazifanyi vizuri kwenye mashindano ya Kimataifa. Vilabu na timu za taifa zilikuwa zinafungwa na hata vinchi vidogo na vyenye vurugu kila siku kama Burundi na Rwanda. Hii ilimfanya Rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kuzifananisha timu zetu na kichwa Cha mwendawazimu ambacho kila mtu anajifunzia kunyoa nywele (ukinyozi).

Awamu ya sita ya Rais Dr. Samia mambo yamegeuka kama vile mtu aliyetumwa kunya kuondosha yale maneno mabaya ya Mzee Mwinyi kwa timu zetu. Timu zetu Sasa zinashinda, Yanga na Simba, timu ya taifa, timu za vijana na wanawake na walemavu kwenye awamu hii ya mama zote zinafanya vizuri. Ameondoa gundu.

Tumuombe TU aseme na wanaCCM wenzake waone aibu kuvishikilia viwanja vyote vya mpira na kudai ni vyao wavirudishe serikalini na TFF ili vipangiwe bajeti na mikakati ya kuvikarabati na kuvitunza.
Labda usemi Yanga, to be more specific.
Timu ya taifa imeshiriki CHAN 2009, AFCON 2018
 
Mpuuzi kweli ww

Mo dewji tokea awekeze Simba kipindi Cha magufuli Simba inafanya vzr

Na upande wa yanga tokea gsm awekeze ndio wanafanya vzr

Post za kipimbavu zinakera sana
 
Timu zetu zilikuwa hazifanyi vizuri kwenye mashindano ya Kimataifa. Vilabu na timu za taifa zilikuwa zinafungwa na hata vinchi vidogo na vyenye vurugu kila siku kama Burundi na Rwanda. Hii ilimfanya Rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kuzifananisha timu zetu na kichwa cha mwendawazimu ambacho kila mtu anajifunzia kunyoa nywele (ukinyozi).

Awamu ya sita ya Rais Dr. Samia mambo yamegeuka kama vile mtu aliyetumwa kunya kuondosha yale maneno mabaya ya Mzee Mwinyi kwa timu zetu. Timu zetu sasa zinashinda, Yanga na Simba, timu ya taifa, timu za vijana na wanawake na walemavu kwenye awamu hii ya mama zote zinafanya vizuri. Ameondoa gundu.

Tumuombe tu aseme na wana CCM wenzake waone aibu kuvishikilia viwanja vyote vya mpira na kudai ni vyao wavirudishe serikalini na TFF ili vipangiwe bajeti na mikakati ya kuvikarabati na kuvitunza.
Nauunga mkono hoja
 
Timu zetu zilikuwa hazifanyi vizuri kwenye mashindano ya Kimataifa. Vilabu na timu za taifa zilikuwa zinafungwa na hata vinchi vidogo na vyenye vurugu kila siku kama Burundi na Rwanda. Hii ilimfanya Rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kuzifananisha timu zetu na kichwa cha mwendawazimu ambacho kila mtu anajifunzia kunyoa nywele (ukinyozi).

Awamu ya sita ya Rais Dr. Samia mambo yamegeuka kama vile mtu aliyetumwa kunya kuondosha yale maneno mabaya ya Mzee Mwinyi kwa timu zetu. Timu zetu sasa zinashinda, Yanga na Simba, timu ya taifa, timu za vijana na wanawake na walemavu kwenye awamu hii ya mama zote zinafanya vizuri. Ameondoa gundu.

Tumuombe tu aseme na wana CCM wenzake waone aibu kuvishikilia viwanja vyote vya mpira na kudai ni vyao wavirudishe serikalini na TFF ili vipangiwe bajeti na mikakati ya kuvikarabati na kuvitunza.
Tulienda kombe la Afrika kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1980 kwenye awamu ya ngapi?
 
Timu zetu zilikuwa hazifanyi vizuri kwenye mashindano ya Kimataifa. Vilabu na timu za taifa zilikuwa zinafungwa na hata vinchi vidogo na vyenye vurugu kila siku kama Burundi na Rwanda. Hii ilimfanya Rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kuzifananisha timu zetu na kichwa cha mwendawazimu ambacho kila mtu anajifunzia kunyoa nywele (ukinyozi).

Awamu ya sita ya Rais Dr. Samia mambo yamegeuka kama vile mtu aliyetumwa kunya kuondosha yale maneno mabaya ya Mzee Mwinyi kwa timu zetu. Timu zetu sasa zinashinda, Yanga na Simba, timu ya taifa, timu za vijana na wanawake na walemavu kwenye awamu hii ya mama zote zinafanya vizuri. Ameondoa gundu.

Tumuombe tu aseme na wana CCM wenzake waone aibu kuvishikilia viwanja vyote vya mpira na kudai ni vyao wavirudishe serikalini na TFF ili vipangiwe bajeti na mikakati ya kuvikarabati na kuvitunza.

Amecheza Namba ngapi?
 
Timu zetu zilikuwa hazifanyi vizuri kwenye mashindano ya Kimataifa. Vilabu na timu za taifa zilikuwa zinafungwa na hata vinchi vidogo na vyenye vurugu kila siku kama Burundi na Rwanda. Hii ilimfanya Rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kuzifananisha timu zetu na kichwa cha mwendawazimu ambacho kila mtu anajifunzia kunyoa nywele (ukinyozi).

Awamu ya sita ya Rais Dr. Samia mambo yamegeuka kama vile mtu aliyetumwa kunya kuondosha yale maneno mabaya ya Mzee Mwinyi kwa timu zetu. Timu zetu sasa zinashinda, Yanga na Simba, timu ya taifa, timu za vijana na wanawake na walemavu kwenye awamu hii ya mama zote zinafanya vizuri. Ameondoa gundu.

Tumuombe tu aseme na wana CCM wenzake waone aibu kuvishikilia viwanja vyote vya mpira na kudai ni vyao wavirudishe serikalini na TFF ili vipangiwe bajeti na mikakati ya kuvikarabati na kuvitunza.
Hilo la viwanja nakuunga mkono kwa asilimia mia na katiba mpya.
 
Ni uwekezaji gani umefanyika tangu raisi aingie madarakani? Unadhani mpira wa miguu ni kitu cha kuamka asubuhi na kupata mafanikio?

Soccer inahitaji investment, sio porojo. Akianza kuwekeza kwa youth, matokeo ya uwekezaji huo tutayaona miaka kadhaa ijayo, otherwise ni hadithi zile zile tu.
Sisi tz kama tutakuwa makini tunaweza kuvuna pesa nyingi kupitia michezo kama wanavyofanya Uingereza na nchi nyingine. Ligi yetu tayari inageuka kuwa ligi inayovutia Afrika na Sasa dunia nzima inatufuatilia. Mfano, Msonda kupewa zawadi kutoka Spain sio jambo la mchezo. Wachezaji wa kigeni na wawekezaji watalipa Kodi serikalini. Wajibu wa serikali ni kuhakikisha usalama wa wachezaji na wawekezaji kwa kukuza miundombinu na demokrasia nchini. Na TFF ihakikishe kuwa mpira unachezwa na kuchezeshwa kwa weledi.
 
Umeanza lini kushabikia mpira mkuu
Nilikuwepo, nipo na nitakuwepo. Kama ukiwa na uzoefu wa kuongoza na Mimi Ninao wa kuongozwa. Nilikuwepo tangu Mzee Nyerere hadi Sasa sijaona Simba na Yanga kwa wakati mmoja zikiingia robo final caf
 
Back
Top Bottom