Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yeye mwenyewe ni mshirika mkuuAsisahau, amuombe mgeni msaada wa kupambana na wezi kwenye serikali yake, maana ameshaonesha hajui la kufanya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye mwenyewe ni mshirika mkuuAsisahau, amuombe mgeni msaada wa kupambana na wezi kwenye serikali yake, maana ameshaonesha hajui la kufanya.
Kwa kweli rangi zinatia aibu! Ama ndiyo kiki yenyewe ya kuomba mikopo yenye masharti nafuu?izo kuta za Ikulu hata kupiga rangi akuna,kazi ni wizi tu.
Huo uliobandika ni uwongo.Ziara ya VP Kamala Tanzania ni kuonesha Uungwaji Mkono wa Serikali ya Biden Kwa Rais Samia na Tanzania Kwa Ajili ya hatua za kidemokrasia na Kulinda Haki za binadamu ambazo zimechukukiwa na Rais Samia kinyume na Mtangulizi wake JP Magufuli.
Umesoma hiyo taarifa ya The African News au umekurupuka tuu?Huo uliobandika ni uwongo.
Ziara ya Kamara ni kufuatilia ahadi aliyoitoa Rais J.Biden baada ya kukutanza na wakuu wa Nchi za Kiafrika Washington.
Ahadi hiyo ni pamoja na kuongeza Biashara na
Uwekezaji unaofanywa na Marekani katika Bara la Afrika. Ziara ya Kamara imelenga katika kujaribu kuhamasisha Wafanya biashara wa kimarekani kuungana na wafanya biashara wa Kiafrika kuongeza mbinu na ubunifu katika nyanja za kisanii Afrika kama moja yapo ya ajenda zingine.
Suala la Magufuli halihusiani na Ziara zak
Wacha ugaidi na Uwongo
Nimesoma nimeiona yameongelewa ya msingi karibu yote, sikuona hata kipengele kimoja kinachozungumzia mambo ya kishenzi /ushoga.Kwa mpalange no!
Mwambie kamala kuwa tanzania hatutaki mwanaume kupelekwa kwa mparange.
Ni wapotoshaji kama wewe tu. Ni wewe peke yako ambaye analeta hayo makala za upotofu.(Dis-Information)humu jamvini.Umesoma hiyo taarifa ya The African News au umekurupuka tuu?
Ni wapotoshaji kama wewe tu. Ni wewe peke yako ambaye analeta hayo makala za upotofu.(Dis-Information)humu jamvini.
Ukuta wa Ikulu ya Marekani.😂izo kuta za Ikulu hata kupiga rangi akuna,kazi ni wizi tu.
Yule rafiki yake JPM anaweza Bwashee!Mambo ni Mengi na Muda ni mchache ambapo hata wangepewa hiyo fursa Waandishi wa Tanzania hawajuagi kuuliza maswali
Sasa tukajenge taifa
Ramadan kareem!
Hvi kama msaada uwa aturudishi au ?Kwa harakaharaka, nimeona pesa za misaada alizozimwaga Kamala hazifiki hata nusu ya pesa zilizopigwa kwenye kutengeneza ndege ya mizigo iliyosemwa na CAG!
Umetuahidi humu kwamba hutaitetea na kuisifia Serikali kwa sababu ya report ya CAG. Kuacha Uchawa na Ukiroboto siyo kazi rahisi ujue[emoji41][emoji846]Ukuta wa Ikulu ya Marekani.[emoji23]
Funguka zaidi Mkuu hapo kwa issue kuisha,kwamba Makyembe kazi yake imepuuzwa?Mama Samia ka handle issue ya Kamala very diligently! Kukataa maswali na majibu ni bonge la akili na sasa kwa akili zangu fupi naweza ku connect dot ule mkwara wa Jasusi Mwakyembe na kutaja zile taasisi! Issue imeisha sasa! Akili mingi sana, congratulations Madam President Samia Suluhu Hassan [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Jarida la The African News linaripoti kwamba,Ziara ya VP Kamala Tanzania ni kuonesha Uungwaji Mkono wa Serikali ya Biden Kwa Rais Samia na Tanzania Kwa Ajili ya hatua za kidemokrasia na Kulinda Haki za binadamu ambazo zimechukukiwa na Rais Samia kinyume na Mtangulizi wake JP Magufuli.