Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Hongera SANA DktRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Immaculate Sware Semesi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC).
Kabla ya uteuzi huu Dkt. Semesi alikuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Uhifadhi wa Bahari na Maeneo Tengefu na anachukua nafasi ya Dkt. Samuel Gwamaka Mafwenga ambaye amemaliza muda wake.
Uteuzi huu unaanza tarehe 05 Januari, 2024.
Zuhura Yunus
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
Huyu siyo Rais, ni mpitaji tuRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Immaculate Sware Semesi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC).
Kabla ya uteuzi huu Dkt. Semesi alikuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Uhifadhi wa Bahari na Maeneo Tengefu na anachukua nafasi ya Dkt. Samuel Gwamaka Mafwenga ambaye amemaliza muda wake.
Uteuzi huu unaanza tarehe 05 Januari, 2024.
Zuhura Yunus
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
Kikubwa ni mtanzania na ni msomi mbobevu,ana utaalam husika wa kuisaidia nchi. Pongezi kwakeAlikuwa CHADEMA akaunga mkono juhudi
Tanzania issue siyo utaalam issue ni sera mbovu, hapo juu kuna Rais, Makamu, PM, Sijui Naibu PM, Waziri, KM, Wabunge, RC na takataka zingine hazitaki utalaam zaidi ya wizi na ufisadi na maamuzi mabovu, ingekuwa yeye ndiyo final say utalaam wake ungefanya kazi.Kikubwa ni mtanzania na ni msomi mbobevu,ana utaalam husika wa kuisaidia nchi. Pongezi kwake
Unatakiwa ukalie chupa ndio utaelewa kuwa dunia ikojeHuyu siyo Rais, ni mpitaji tu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Immaculate Sware Semesi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC).
Kabla ya uteuzi huu Dkt. Semesi alikuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Uhifadhi wa Bahari na Maeneo Tengefu na anachukua nafasi ya Dkt. Samuel Gwamaka Mafwenga ambaye amemaliza muda wake.
Uteuzi huu unaanza tarehe 05 Januari, 2024.
Zuhura Yunus
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu