Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Kabla ya uteuzi huu Bwana Mziray alikuwa Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani (TASAF). Bwana Mziray alianza kukaimu nafasi ya Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF terehe 01/07/2023 baada ya kustaafu kwa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji, Ladislaus Joseph Mwamanga.