Pre GE2025 Rais Samia amteue Katibu Mkuu John Mnyika awe Kamishina Tume Huru ya Uchaguzi. Ameonesha uwezo

Pre GE2025 Rais Samia amteue Katibu Mkuu John Mnyika awe Kamishina Tume Huru ya Uchaguzi. Ameonesha uwezo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Historia imeandikwa, historia imevunjwa chini ya Mh John John Mnyika Katibu Mkuu wa Chadema.

Mnamo Tarehe 21 January 2025 kulifanyika uchaguzi Mkuu katika Chama Hicho. Uchaguzi huo ulijaa kashi kashi za kusigana kati ya miamba miwili katika chama kikuu cha upinzani Nchini Tanzania.

Awali ilionekana kutokana na moto mkali huenda uchaguzi huo usifanikiwe kwani dalili nzito zenye viashiria hatari vilianza kuonekana katika makundi mawili au matatu ya ushindani.

Upande mmoja ukiwa ni wa Anayemaliza Nafasi ya Mwenyekiti Taifa, Upane wa aliyekuwa Makamu mwenyekiti na Wengine wakiwa hawana Upande wowote.

Nchi na vyombo vya nchi vilisimama, vilikaa chonjo, vikalala tongo macho yaani Sleeping Eye Open. Wengine wakisema baada ya uchaguzi huo Chadema unajifia kifo cha mende iwe kashinda mwenyekiti au Makamu.

Upande wa serikali walijiandaa kweli kweli. Pongezi kwa wahusika.

Hata Hivyo JJ Mnyika akaonesha ukomavu, kipaji, uwezo, ujuzi na maarifa kama. Katibu Mkuu aliyekuwa Mwamba ktk uchaguzi huo. Akiwa ndiye Mtendaji Mkuu na msimamizi wa shughuli zote za Uchaguzi.

Nchi ilizizima, Nchi ilijaa hofu, asiwepo wakujua nini kitatokea hapo wakati na baada ya uchaguzi.

Hakika Historia imeandiwa!

Basi wakaalikwa Maustadhi, Mashekhe, Mapadre, Maaskofu na Mafadha. Mialiko ikavuka mipaka ya afrika mashariki, wakaja wageni kutoka Rwanda, Uganda, Kenya, kongo pia haikuachwa nyuma.

Mialiko.ya watu mashuhuri ikafanyika ikavuka Nchi na Mabara, Korea wakaja, Urusi wakawepo, Wachina pia😅

Mabalozi kila rafikinna muhisani akawiwa kuhudhuria, yayumkinika hata wale ambao wahakupewa Mwaliko basi waliomba wenyewe waje washuhudie. Walivutiwa na mchakato.

EU, United States, SADC, EAC, mabalaza yote ya haki na amani Tanzania yaliomba kuhudhuria na yakapewa nafasi.

Hili jambo sio la kawaida hata kidogo. Rudia kusoma tena.

Basi tuseme nini Juu ya Kiongozi Huyu JJ Mnyika? Kama mlikuwa hamjaona Kipaji chake, uwezo na umahiri wake basi umeonekana na tunajaribu kuwaonesha. Mnasubiri Nini?

Kwa Heshima Na Taadhima, Tunamuomba Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan amteua Kijana Huyu Akaitumikie Nchi. Ampe ukamishina katika Tume Huru Ya Taifa ya Uchaguzi, mamalaka anayo.

Maendeleo hayana Vyama.

Mungu Ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais Samia.
 
Hapana anaenda kusimamia Haki ktk Taifa.

Yusufu alikuwa myahudi aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu Serikali ya Farao
Ila mkuu CDM na viongoz wake ni muda wa kuacha tamaa za vitu vidogo vidogo...

La COVID halijaisha bado, na waunga juhudi wote wanampango kabambe wa kuendelea ku enjoy utawala wa CCM...

Ndio tumpeleke huko na JJ pia?

Wapo watanzania wengi tu wenye sifa na wanaweza kufanya hivyo...

Pale CDM mazingira yali msapoti sana ... Uchaguzi wa nchi nzima katika mazingira ya sasa na katiba yetu ni ngumu kuwa neutral
 
Historia imeandikwa, historia imevunjwa chini ya Mh John John Mnyika Katibu Mkuu wa Chadema.

Mnamo Tarehe 21 January 2025 kulifanyika uchaguzi Mkuu katika Chama Hicho. Uchaguzi huo ulijaa kashi kashi za kusigana kati ya miamba miwili katika chama kikuu cha upinzani Nchini Tanzania.

Awali ilionekana kutokana na moto mkali huenda uchaguzi huo usifanikiwe kwani dalili nzito zenye viashiria hatari vilianza kuonekana katika makundi mawili au matatu ya ushindani.

Upande mmoja ukiwa ni wa Anayemaliza Nafasi ya Mwenyekiti Taifa, Upane wa aliyekuwa Makamu mwenyekiti na Wengine wakiwa hawana Upande wowote.

Nchi na vyombo vya nchi vilisimama, vilikaa chonjo, vikalala tongo macho yaani Sleeping Eye Open. Wengine wakisema baada ya uchaguzi huo Chadema unajifia kifo cha mende iwe kashinda mwenyekiti au Makamu.

Upande wa serikali walijiandaa kweli kweli. Pongezi kwa wahusika.

Hata Hivyo JJ Mnyika akaonesha ukomavu, kipaji, uwezo, ujuzi na maarifa kama. Katibu Mkuu aliyekuwa Mwamba ktk uchaguzi huo. Akiwa ndiye Mtendaji Mkuu na msimamizi wa shughuli zote za Uchaguzi.

Nchi ilizizima, Nchi ilijaa hofu, asiwepo wakujua nini kitatokea hapo wakati na baada ya uchaguzi.

Hakika Historia imeandiwa!

Basi wakaalikwa Maustadhi, Mashekhe, Mapadre, Maaskofu na Mafadha. Mialiko ikavuka mipaka ya afrika mashariki, wakaja wageni kutoka Rwanda, Uganda, Kenya, kongo pia haikuachwa nyuma.

Mialiko.ya watu mashuhuri ikafanyika ikavuka Nchi na Mabara, Korea wakaja, Urusi wakawepo, Wachina pia😅

Mabalozi kila rafikinna muhisani akawiwa kuhudhuria, yayumkinika hata wale ambao wahakupewa Mwaliko basi waliomba wenyewe waje washuhudie. Walivutiwa na mchakato.

EU, United States, SADC, EAC, mabalaza yote ya haki na amani Tanzania yaliomba kuhudhuria na yakapewa nafasi.

Hili jambo sio la kawaida hata kidogo. Rudia kusoma tena.

Basi tuseme nini Juu ya Kiongozi Huyu JJ Mnyika? Kama mlikuwa hamjaona Kipaji chake, uwezo na umahiri wake basi umeonekana na tunajaribu kuwaonesha. Mnasubiri Nini?

Kwa Heshima Na Taadhima, Tunamuomba Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan amteua Kijana Huyu Akaitumikie Nchi. Ampe ukamishina katika Tume Huru Ya Taifa ya Uchaguzi, mamalaka anayo.

Maendeleo hayana Vyama.

Mungu Ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais Samia.

Kwa Katiba hii iliyopo hapa Tanzania, hata kama akiteuliwa John Mnyika kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC) bado utendaji kazi wake utakuwa Kama ule wa Jecha kule Zanzibar. Hakutakuwa na mabadiliko yoyote yale.
The Root cause of the problems in Tanzania is the presence of Bad Constitution of the country.

Injini ya gari ni mbovu Sana na haifai tena kwa kufanya safari, hata ukibadilisha Madereva mara milioni wala haitaweza kusaidia katika kubadilisha kitu chochote kile.

Suluhisho pekee lililobaki ni Kuunda gari jipya kabisa.
 
Ila mkuu CDM na viongoz wake ni muda wa kuacha tamaa za vitu vidogo vidogo...

La COVID halijaisha bado, na waunga juhudi wote wanampango kabambe wa kuendelea ku enjoy utawala wa CCM...

Ndio tumpeleke huko na JJ pia?

Wapo watanzania wengi tu wenye sifa na wanaweza kufanya hivyo...

Pale CDM mazingira yali msapoti sana ... Uchaguzi wa nchi nzima katika mazingira ya sasa na katiba yetu ni ngumu kuwa neutral
Ukamishina sio chama cha ccm
 
Kwa Katiba hii iliyopo hapa Tanzania, hata akiteuliwa John Mnyika kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC) bado utendaji kazi wake utakuwa Kama ule wa Jecha kule Zanzibar. Hakutakuwa na mabadiliko yoyote yale.
Hahaha.....kwa nini? Nia na uwezo ndio muhimu.

Jecha hakuwa huru na pia hakuwa na nia ya kuleta mabadiliko
 
Historia imeandikwa, historia imevunjwa chini ya Mh John John Mnyika Katibu Mkuu wa Chadema.

Mnamo Tarehe 21 January 2025 kulifanyika uchaguzi Mkuu katika Chama Hicho. Uchaguzi huo ulijaa kashi kashi za kusigana kati ya miamba miwili katika chama kikuu cha upinzani Nchini Tanzania.

Awali ilionekana kutokana na moto mkali huenda uchaguzi huo usifanikiwe kwani dalili nzito zenye viashiria hatari vilianza kuonekana katika makundi mawili au matatu ya ushindani.

Upande mmoja ukiwa ni wa Anayemaliza Nafasi ya Mwenyekiti Taifa, Upane wa aliyekuwa Makamu mwenyekiti na Wengine wakiwa hawana Upande wowote.

Nchi na vyombo vya nchi vilisimama, vilikaa chonjo, vikalala tongo macho yaani Sleeping Eye Open. Wengine wakisema baada ya uchaguzi huo Chadema unajifia kifo cha mende iwe kashinda mwenyekiti au Makamu.

Upande wa serikali walijiandaa kweli kweli. Pongezi kwa wahusika.

Hata Hivyo JJ Mnyika akaonesha ukomavu, kipaji, uwezo, ujuzi na maarifa kama. Katibu Mkuu aliyekuwa Mwamba ktk uchaguzi huo. Akiwa ndiye Mtendaji Mkuu na msimamizi wa shughuli zote za Uchaguzi.

Nchi ilizizima, Nchi ilijaa hofu, asiwepo wakujua nini kitatokea hapo wakati na baada ya uchaguzi.

Hakika Historia imeandiwa!

Basi wakaalikwa Maustadhi, Mashekhe, Mapadre, Maaskofu na Mafadha. Mialiko ikavuka mipaka ya afrika mashariki, wakaja wageni kutoka Rwanda, Uganda, Kenya, kongo pia haikuachwa nyuma.

Mialiko.ya watu mashuhuri ikafanyika ikavuka Nchi na Mabara, Korea wakaja, Urusi wakawepo, Wachina pia😅

Mabalozi kila rafikinna muhisani akawiwa kuhudhuria, yayumkinika hata wale ambao wahakupewa Mwaliko basi waliomba wenyewe waje washuhudie. Walivutiwa na mchakato.

EU, United States, SADC, EAC, mabalaza yote ya haki na amani Tanzania yaliomba kuhudhuria na yakapewa nafasi.

Hili jambo sio la kawaida hata kidogo. Rudia kusoma tena.

Basi tuseme nini Juu ya Kiongozi Huyu JJ Mnyika? Kama mlikuwa hamjaona Kipaji chake, uwezo na umahiri wake basi umeonekana na tunajaribu kuwaonesha. Mnasubiri Nini?

Kwa Heshima Na Taadhima, Tunamuomba Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan amteua Kijana Huyu Akaitumikie Nchi. Ampe ukamishina katika Tume Huru Ya Taifa ya Uchaguzi, mamalaka anayo.

Maendeleo hayana Vyama.

Mungu Ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais Samia.
Siamini tuna watu hovyo kwenye Tume ya Uchaguzi na maeneo mbalimbali ya maamuzi kwa sababu tumekosa watu wenye uwezo na dhamira njema ndani ya nchi, bali wanaowateua wamejaa dhamira chafu, hivyo hawawezi kuwateua watu wenye dhamira njema na uwezo. Wanawateua wanaoamini kuwa wanaweza kusimamia vizuri dhamira zao mbaya.

Uwezo na dhamira njema ya John Mnyika ni dhahiri, lakini yeye kuweza kuingia mwenye vyombo vya maamuzi vya nchi ni lazima kwanza nchi iongozwe na watu wenye dhamira njema. Wakiingia hao, watawatafuta watu wenye dhamira njema wenzao, na hapo John Mnyika haqezi kukosekana. Lakini kwa hawa wa sasa ambao hawataki hata Tume Huru ya uchaguzi, hawawezi kumwingiza Mnyika huko.
 
Mabadiliko yoyote yale katika nchi hii lazima yataanzia na Mabadiliko ya Katiba ya nchi.

Kama hakutakuwa na mabadiliko ya Katiba ya nchi Basi hakutakuwa na mabadiliko yoyote yale yanayoweza kufanyika.
Moja ya dalili za mabadiliko ni mahitaji ya watu kama kina Mnyika
 
Siamini tuna watu hovyo kwenye Tume ya Uchaguzi na maeneo mbalimbali ya maamuzi kwa sababu tumekosa watu wenye uwezo na dhamira njema ndani ya nchi, bali wanaowateua wamejaa dhamira chafu, hivyo hawawezi kuwateua watu wenye dhamira njema na uwezo. Wanawateua wanaoamini kuwa wanaweza kusimamia vizuri dhamira zao mbaya.

Uwezo na dhamira njema ya John Mnyika ni dhahiri, lakini yeye kuweza kuingia mwenye vyombo vya maamuzi vya nchi ni lazima kwanza nchi iongozwe na watu wenye dhamira njema. Wakiingia hao, watawatafuta watu wenye dhamira njema wenzao, na hapo John Mnyika haqezi kukosekana. Lakini kwa hawa wa sasa ambao hawataki hata Tume Huru ya uchaguzi, hawawezi kumwingiza Mnyika huko.
Hoja ya yako ni " Dhamira njema' sio uwezo
 
Naona Mnyika baada ya kuona Chadema hakina hela baada ya Mwamba nwenye Pesa Mbowe.Kuondoka anajipigia debe humu kutafuta ajira akale wapi

Elimu ya mnyika pia changamoto..Watu mkiambiwa msome muwe mnaelewa
.Ujanja janja bila elimu una mwisho wake
 
Naona Mnyika baada ya kuona Chadema hakina hela baada ya Mwamba nwenye Pesa Mbowe.Kuondoka anajipigia debe humu kutafuta ajira akale wapi

Elimu ya mnyika pia changamoto..Watu mkiambiwa msome muwe mnaelewa
.Ujanja janja bila elimu una mwisho wake
Hivi Paul Makonda ana elimu gani iliyomfanya ateuliwe kushika nyadhifa ya Ukuu wa Mkoa aliyonayo hivi sasa?
 
Naona Mnyika baada ya kuona Chadema hakina hela baada ya Mwamba nwenye Pesa Mbowe.Kuondoka anajipigia debe humu kutafuta ajira akale wapi

Elimu ya mnyika pia changamoto..Watu mkiambiwa msome muwe mnaelewa
.Ujanja janja bila elimu una mwisho wake
Hahahaa.....Mnyika ajipigie debe?
 
Back
Top Bottom