Pre GE2025 Rais Samia amteue Katibu Mkuu John Mnyika awe Kamishina Tume Huru ya Uchaguzi. Ameonesha uwezo

Pre GE2025 Rais Samia amteue Katibu Mkuu John Mnyika awe Kamishina Tume Huru ya Uchaguzi. Ameonesha uwezo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hayo ni kwenye vyeo vya kisiasa vya kupigiwa kura sio vya kitaalamu kama ukamishina
Ukamishina una utaalamu gani? Mwal wa Sekondari anakuwa kamishina au Afisa wa Kodi anayeuliwa muhimu uwe chawa wa mama tu
 
Mnyika aachane na CDM seriously?

Sasa mnataka watu wote wa Opposition wapewe vyeo serikalini then muanze upya?
Ili akapotelee ccm ,kijana wa hovyo kabisa
Hii sera ukiaply katika maisha yako utakua mzee wa hovyo sana,mwenye kupambania na haki hanyong'onyezwi bali anapewa nguvu ili aendelee kupambania haki
 
Ili akapotelee ccm ,kijana wa hovyo kabisa
Hii sera ukiaply katika maisha yako utakua mzee wa hovyo sana,mwenye kupambania na haki hanyong'onyezwi bali anapewa nguvu ili aendelee kupambania haki
Ok
 
Historia imeandikwa, historia imevunjwa chini ya Mh John John Mnyika Katibu Mkuu wa Chadema.

Mnamo Tarehe 21 January 2025 kulifanyika uchaguzi Mkuu katika Chama Hicho. Uchaguzi huo ulijaa kashi kashi za kusigana kati ya miamba miwili katika chama kikuu cha upinzani Nchini Tanzania.

Awali ilionekana kutokana na moto mkali huenda uchaguzi huo usifanikiwe kwani dalili nzito zenye viashiria hatari vilianza kuonekana katika makundi mawili au matatu ya ushindani.

Upande mmoja ukiwa ni wa Anayemaliza Nafasi ya Mwenyekiti Taifa, Upane wa aliyekuwa Makamu mwenyekiti na Wengine wakiwa hawana Upande wowote.

Nchi na vyombo vya nchi vilisimama, vilikaa chonjo, vikalala tongo macho yaani Sleeping Eye Open. Wengine wakisema baada ya uchaguzi huo Chadema unajifia kifo cha mende iwe kashinda mwenyekiti au Makamu.

Upande wa serikali walijiandaa kweli kweli. Pongezi kwa wahusika.

Hata Hivyo JJ Mnyika akaonesha ukomavu, kipaji, uwezo, ujuzi na maarifa kama. Katibu Mkuu aliyekuwa Mwamba ktk uchaguzi huo. Akiwa ndiye Mtendaji Mkuu na msimamizi wa shughuli zote za Uchaguzi.

Nchi ilizizima, Nchi ilijaa hofu, asiwepo wakujua nini kitatokea hapo wakati na baada ya uchaguzi.

Hakika Historia imeandiwa!

Basi wakaalikwa Maustadhi, Mashekhe, Mapadre, Maaskofu na Mafadha. Mialiko ikavuka mipaka ya afrika mashariki, wakaja wageni kutoka Rwanda, Uganda, Kenya, kongo pia haikuachwa nyuma.

Mialiko.ya watu mashuhuri ikafanyika ikavuka Nchi na Mabara, Korea wakaja, Urusi wakawepo, Wachina pia😅

Mabalozi kila rafikinna muhisani akawiwa kuhudhuria, yayumkinika hata wale ambao wahakupewa Mwaliko basi waliomba wenyewe waje washuhudie. Walivutiwa na mchakato.

EU, United States, SADC, EAC, mabalaza yote ya haki na amani Tanzania yaliomba kuhudhuria na yakapewa nafasi.

Hili jambo sio la kawaida hata kidogo. Rudia kusoma tena.

Basi tuseme nini Juu ya Kiongozi Huyu JJ Mnyika? Kama mlikuwa hamjaona Kipaji chake, uwezo na umahiri wake basi umeonekana na tunajaribu kuwaonesha. Mnasubiri Nini?

Kwa Heshima Na Taadhima, Tunamuomba Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan amteua Kijana Huyu Akaitumikie Nchi. Ampe ukamishina katika Tume Huru Ya Taifa ya Uchaguzi, mamalaka anayo.

Maendeleo hayana Vyama.

Mungu Ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais Samia.
Hilo jina Tume huru tayari limeongeza uhuru wa kuchagua na ukweli, CCM haiwezi kuiba kura ila dola ndiyo inalazimisha.
 
Mnyika aachane na CDM seriously?

Sasa mnataka watu wote wa Opposition wapewe vyeo serikalini then muanze upya?
Mtoa post anajiburudisha tu. Kulikuwa na Uchaguzi gani wa kupigiwa mfano hapo zaidi ya kutukanana? Kwani nami hajui kuwa Mbowe kasusa ndio maana kwenye Kikao cha Kamati Kuu kilichokaa Bagamayo hakwenda? Ilikuwa coincidence?
 
Historia imeandikwa, historia imevunjwa chini ya Mh John John Mnyika Katibu Mkuu wa Chadema.

Mnamo Tarehe 21 January 2025 kulifanyika uchaguzi Mkuu katika Chama Hicho. Uchaguzi huo ulijaa kashi kashi za kusigana kati ya miamba miwili katika chama kikuu cha upinzani Nchini Tanzania.

Awali ilionekana kutokana na moto mkali huenda uchaguzi huo usifanikiwe kwani dalili nzito zenye viashiria hatari vilianza kuonekana katika makundi mawili au matatu ya ushindani.

Upande mmoja ukiwa ni wa Anayemaliza Nafasi ya Mwenyekiti Taifa, Upane wa aliyekuwa Makamu mwenyekiti na Wengine wakiwa hawana Upande wowote.

Nchi na vyombo vya nchi vilisimama, vilikaa chonjo, vikalala tongo macho yaani Sleeping Eye Open. Wengine wakisema baada ya uchaguzi huo Chadema unajifia kifo cha mende iwe kashinda mwenyekiti au Makamu.

Upande wa serikali walijiandaa kweli kweli. Pongezi kwa wahusika.

Hata Hivyo JJ Mnyika akaonesha ukomavu, kipaji, uwezo, ujuzi na maarifa kama. Katibu Mkuu aliyekuwa Mwamba ktk uchaguzi huo. Akiwa ndiye Mtendaji Mkuu na msimamizi wa shughuli zote za Uchaguzi.

Nchi ilizizima, Nchi ilijaa hofu, asiwepo wakujua nini kitatokea hapo wakati na baada ya uchaguzi.

Hakika Historia imeandiwa!

Basi wakaalikwa Maustadhi, Mashekhe, Mapadre, Maaskofu na Mafadha. Mialiko ikavuka mipaka ya afrika mashariki, wakaja wageni kutoka Rwanda, Uganda, Kenya, kongo pia haikuachwa nyuma.

Mialiko.ya watu mashuhuri ikafanyika ikavuka Nchi na Mabara, Korea wakaja, Urusi wakawepo, Wachina pia😅

Mabalozi kila rafikinna muhisani akawiwa kuhudhuria, yayumkinika hata wale ambao wahakupewa Mwaliko basi waliomba wenyewe waje washuhudie. Walivutiwa na mchakato.

EU, United States, SADC, EAC, mabalaza yote ya haki na amani Tanzania yaliomba kuhudhuria na yakapewa nafasi.

Hili jambo sio la kawaida hata kidogo. Rudia kusoma tena.

Basi tuseme nini Juu ya Kiongozi Huyu JJ Mnyika? Kama mlikuwa hamjaona Kipaji chake, uwezo na umahiri wake basi umeonekana na tunajaribu kuwaonesha. Mnasubiri Nini?

Kwa Heshima Na Taadhima, Tunamuomba Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan amteua Kijana Huyu Akaitumikie Nchi. Ampe ukamishina katika Tume Huru Ya Taifa ya Uchaguzi, mamalaka anayo.

Maendeleo hayana Vyama.

Mungu Ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais Samia.
Akiteuliwa tu huo "uwezo" utatokomea kusikojulikana chap sana. Utakuta kawa kama "jecha" tu😄
 
Naona Mnyika baada ya kuona Chadema hakina hela baada ya Mwamba nwenye Pesa Mbowe.Kuondoka anajipigia debe humu kutafuta ajira akale wapi

Elimu ya mnyika pia changamoto..Watu mkiambiwa msome muwe mnaelewa
.Ujanja janja bila elimu una mwisho wake
Dunia ya sasa haitegemei wasomi, bali inataka watu wabunifu. Huko serekalini ndio kunatakiwa wasomi maana hao hawako huru, hivyo huweza kufuata chochote wanachoagizwa bila kuhoji. Lakini wabunifu husimamia wanachoamini.
 
Mtoa post anajiburudisha tu. Kulikuwa na Uchaguzi gani wa kupigiwa mfano hapo zaidi ya kutukanana? Kwani nami hajui kuwa Mbowe kasusa ndio maana kwenye Kikao cha Kamati Kuu kilichokaa Bagamayo hakwenda? Ilikuwa coincidence?
Wafuasi wa Mbowe tulieni Uchaguzi umeshaisha
 
Mnyika aachane na CDM seriously?

Sasa mnataka watu wote wa Opposition wapewe vyeo serikalini then muanze upya?
Hii ni nchi ya wote wa CCM na ukinzani.Akiteuliwa hatakiwi kukataa agizo la amiri jeshi mkuu.Atafokewa sana kwa utovu wa adabu.
 
Back
Top Bottom