Ana digrii toka chuo kikuu cha ushirika MoshiHivi Paul Makonda ana elimu gani iliyomfanya ateuliwe kushika nyadhifa ya Ukuu wa Mkoa aliyonayo hivi sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana digrii toka chuo kikuu cha ushirika MoshiHivi Paul Makonda ana elimu gani iliyomfanya ateuliwe kushika nyadhifa ya Ukuu wa Mkoa aliyonayo hivi sasa?
Elimu ndogo kikwazoDuuh, but why?
Si anajua kusoma na kuandika?Elimu ndogo kikwazo
Hayo ni kwenye vyeo vya kisiasa vya kupigiwa kura sio vya kitaalamu kama ukamishinaSi anajua kusoma na kuandika?
Ukamishina una utaalamu gani? Mwal wa Sekondari anakuwa kamishina au Afisa wa Kodi anayeuliwa muhimu uwe chawa wa mama tuHayo ni kwenye vyeo vya kisiasa vya kupigiwa kura sio vya kitaalamu kama ukamishina
Duuh, but why?
FAida itakuwa kuwatendea haki wananchi na sio ChamaUchaguzi ukiwa wa haki ccm hawatoboi
Ili akapotelee ccm ,kijana wa hovyo kabisaMnyika aachane na CDM seriously?
Sasa mnataka watu wote wa Opposition wapewe vyeo serikalini then muanze upya?
OkIli akapotelee ccm ,kijana wa hovyo kabisa
Hii sera ukiaply katika maisha yako utakua mzee wa hovyo sana,mwenye kupambania na haki hanyong'onyezwi bali anapewa nguvu ili aendelee kupambania haki
Hilo jina Tume huru tayari limeongeza uhuru wa kuchagua na ukweli, CCM haiwezi kuiba kura ila dola ndiyo inalazimisha.Historia imeandikwa, historia imevunjwa chini ya Mh John John Mnyika Katibu Mkuu wa Chadema.
Mnamo Tarehe 21 January 2025 kulifanyika uchaguzi Mkuu katika Chama Hicho. Uchaguzi huo ulijaa kashi kashi za kusigana kati ya miamba miwili katika chama kikuu cha upinzani Nchini Tanzania.
Awali ilionekana kutokana na moto mkali huenda uchaguzi huo usifanikiwe kwani dalili nzito zenye viashiria hatari vilianza kuonekana katika makundi mawili au matatu ya ushindani.
Upande mmoja ukiwa ni wa Anayemaliza Nafasi ya Mwenyekiti Taifa, Upane wa aliyekuwa Makamu mwenyekiti na Wengine wakiwa hawana Upande wowote.
Nchi na vyombo vya nchi vilisimama, vilikaa chonjo, vikalala tongo macho yaani Sleeping Eye Open. Wengine wakisema baada ya uchaguzi huo Chadema unajifia kifo cha mende iwe kashinda mwenyekiti au Makamu.
Upande wa serikali walijiandaa kweli kweli. Pongezi kwa wahusika.
Hata Hivyo JJ Mnyika akaonesha ukomavu, kipaji, uwezo, ujuzi na maarifa kama. Katibu Mkuu aliyekuwa Mwamba ktk uchaguzi huo. Akiwa ndiye Mtendaji Mkuu na msimamizi wa shughuli zote za Uchaguzi.
Nchi ilizizima, Nchi ilijaa hofu, asiwepo wakujua nini kitatokea hapo wakati na baada ya uchaguzi.
Hakika Historia imeandiwa!
Basi wakaalikwa Maustadhi, Mashekhe, Mapadre, Maaskofu na Mafadha. Mialiko ikavuka mipaka ya afrika mashariki, wakaja wageni kutoka Rwanda, Uganda, Kenya, kongo pia haikuachwa nyuma.
Mialiko.ya watu mashuhuri ikafanyika ikavuka Nchi na Mabara, Korea wakaja, Urusi wakawepo, Wachina pia😅
Mabalozi kila rafikinna muhisani akawiwa kuhudhuria, yayumkinika hata wale ambao wahakupewa Mwaliko basi waliomba wenyewe waje washuhudie. Walivutiwa na mchakato.
EU, United States, SADC, EAC, mabalaza yote ya haki na amani Tanzania yaliomba kuhudhuria na yakapewa nafasi.
Hili jambo sio la kawaida hata kidogo. Rudia kusoma tena.
Basi tuseme nini Juu ya Kiongozi Huyu JJ Mnyika? Kama mlikuwa hamjaona Kipaji chake, uwezo na umahiri wake basi umeonekana na tunajaribu kuwaonesha. Mnasubiri Nini?
Kwa Heshima Na Taadhima, Tunamuomba Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan amteua Kijana Huyu Akaitumikie Nchi. Ampe ukamishina katika Tume Huru Ya Taifa ya Uchaguzi, mamalaka anayo.
Maendeleo hayana Vyama.
Mungu Ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais Samia.
Ni kweli ccm si lolote si chochote. AminaHilo jina Tume huru tayari limeongeza uhuru wa kuchagua na ukweli, CCM haiwezi kuiba kura ila dola ndiyo inalazimisha.
Mtoa post anajiburudisha tu. Kulikuwa na Uchaguzi gani wa kupigiwa mfano hapo zaidi ya kutukanana? Kwani nami hajui kuwa Mbowe kasusa ndio maana kwenye Kikao cha Kamati Kuu kilichokaa Bagamayo hakwenda? Ilikuwa coincidence?Mnyika aachane na CDM seriously?
Sasa mnataka watu wote wa Opposition wapewe vyeo serikalini then muanze upya?
Kiamini chama chako hakiibi kura, wanaoiba ni watumishi wa serikali kisha huzidondoshea CCM.Ni kweli ccm si lolote si chochote. Amina
Akiteuliwa tu huo "uwezo" utatokomea kusikojulikana chap sana. Utakuta kawa kama "jecha" tu😄Historia imeandikwa, historia imevunjwa chini ya Mh John John Mnyika Katibu Mkuu wa Chadema.
Mnamo Tarehe 21 January 2025 kulifanyika uchaguzi Mkuu katika Chama Hicho. Uchaguzi huo ulijaa kashi kashi za kusigana kati ya miamba miwili katika chama kikuu cha upinzani Nchini Tanzania.
Awali ilionekana kutokana na moto mkali huenda uchaguzi huo usifanikiwe kwani dalili nzito zenye viashiria hatari vilianza kuonekana katika makundi mawili au matatu ya ushindani.
Upande mmoja ukiwa ni wa Anayemaliza Nafasi ya Mwenyekiti Taifa, Upane wa aliyekuwa Makamu mwenyekiti na Wengine wakiwa hawana Upande wowote.
Nchi na vyombo vya nchi vilisimama, vilikaa chonjo, vikalala tongo macho yaani Sleeping Eye Open. Wengine wakisema baada ya uchaguzi huo Chadema unajifia kifo cha mende iwe kashinda mwenyekiti au Makamu.
Upande wa serikali walijiandaa kweli kweli. Pongezi kwa wahusika.
Hata Hivyo JJ Mnyika akaonesha ukomavu, kipaji, uwezo, ujuzi na maarifa kama. Katibu Mkuu aliyekuwa Mwamba ktk uchaguzi huo. Akiwa ndiye Mtendaji Mkuu na msimamizi wa shughuli zote za Uchaguzi.
Nchi ilizizima, Nchi ilijaa hofu, asiwepo wakujua nini kitatokea hapo wakati na baada ya uchaguzi.
Hakika Historia imeandiwa!
Basi wakaalikwa Maustadhi, Mashekhe, Mapadre, Maaskofu na Mafadha. Mialiko ikavuka mipaka ya afrika mashariki, wakaja wageni kutoka Rwanda, Uganda, Kenya, kongo pia haikuachwa nyuma.
Mialiko.ya watu mashuhuri ikafanyika ikavuka Nchi na Mabara, Korea wakaja, Urusi wakawepo, Wachina pia😅
Mabalozi kila rafikinna muhisani akawiwa kuhudhuria, yayumkinika hata wale ambao wahakupewa Mwaliko basi waliomba wenyewe waje washuhudie. Walivutiwa na mchakato.
EU, United States, SADC, EAC, mabalaza yote ya haki na amani Tanzania yaliomba kuhudhuria na yakapewa nafasi.
Hili jambo sio la kawaida hata kidogo. Rudia kusoma tena.
Basi tuseme nini Juu ya Kiongozi Huyu JJ Mnyika? Kama mlikuwa hamjaona Kipaji chake, uwezo na umahiri wake basi umeonekana na tunajaribu kuwaonesha. Mnasubiri Nini?
Kwa Heshima Na Taadhima, Tunamuomba Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan amteua Kijana Huyu Akaitumikie Nchi. Ampe ukamishina katika Tume Huru Ya Taifa ya Uchaguzi, mamalaka anayo.
Maendeleo hayana Vyama.
Mungu Ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais Samia.
Hahaha......Tume ya Uchaguzi jna makamishina Saba kama wajumbe. Yeye atakuwa mmoja wao.Akiteuliwa tu huo "uwezo" utatokomea kusikojulikana chap sana. Utakuta kawa kama "jecha" tu😄
Dunia ya sasa haitegemei wasomi, bali inataka watu wabunifu. Huko serekalini ndio kunatakiwa wasomi maana hao hawako huru, hivyo huweza kufuata chochote wanachoagizwa bila kuhoji. Lakini wabunifu husimamia wanachoamini.Naona Mnyika baada ya kuona Chadema hakina hela baada ya Mwamba nwenye Pesa Mbowe.Kuondoka anajipigia debe humu kutafuta ajira akale wapi
Elimu ya mnyika pia changamoto..Watu mkiambiwa msome muwe mnaelewa
.Ujanja janja bila elimu una mwisho wake
Wafuasi wa Mbowe tulieni Uchaguzi umeshaishaMtoa post anajiburudisha tu. Kulikuwa na Uchaguzi gani wa kupigiwa mfano hapo zaidi ya kutukanana? Kwani nami hajui kuwa Mbowe kasusa ndio maana kwenye Kikao cha Kamati Kuu kilichokaa Bagamayo hakwenda? Ilikuwa coincidence?
Hii ni nchi ya wote wa CCM na ukinzani.Akiteuliwa hatakiwi kukataa agizo la amiri jeshi mkuu.Atafokewa sana kwa utovu wa adabu.Mnyika aachane na CDM seriously?
Sasa mnataka watu wote wa Opposition wapewe vyeo serikalini then muanze upya?
SahihiHii ni nchi ya wote wa CCM na ukinzani.Akiteuliwa hatakiwi kukataa agizo la amiri jeshi mkuu.Atafokewa sana kwa utovu wa adabu.
Hakika, nimerudia kusoma. Historia imeandikwa.Hili jambo sio la kawaida hata kidogo. Rudia kusoma tena.