Pre GE2025 Rais Samia amteue Katibu Mkuu John Mnyika awe Kamishina Tume Huru ya Uchaguzi. Ameonesha uwezo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuwa neutral siyo vigumu, wapo watu wengi sana wanaweza kusimamia uchaguzi na kesho yake saa 4 matokeo yote ywe yameshajulikana.
 
Usilinganishe uchaguzi wa matusi na uchaguzi mkuu
 
Yaani alambishwe asali, au anunuliwe?
 
 

Attachments

  • IMG-20250208-WA0635(2).jpg
    209.9 KB · Views: 1
Ukiwa mwenye akili na unayetumia akili vizuri viongozi wa CCM HAWAWEZI KUKUKABIDHI RUNGU.
Tena ambavyo sasa hivi CCM woooote ni mateka wa chura na wamefichwa kizimukazini hata KUKOMBOLEWA WANAOGOPAAAAAAAAAAA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…