Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka ni muigizaji huyo. Alisha act mpaka Royal Tour.Mh alikuwa aanamanisha ukiangalia video
Ila huyu mama anajiamini, shupavu nampendaga bure
Kupata hivi vichekezo unabonyeza ngapi?Hii nchi vichekesho vimezidi sasa.
Tuma neno CCM kwenda no. *150*521977#Kupata hivi vichekezo unabonyeza ngapi?
Aah, hivyo Tena jamani, yaani ni maigizo labda !Scripted onyo hilo. Walishajadiliana walipokuwa wanakula vipopoo vya futari kuwa nitakupiga biti, usishtuke mkwe.
Hahahhhqha nacheka sanaqaa ....jamaa alipotolewa maliasili wakamnuniaa mama yao zaidi mwezi hawakuongea kila sikuakipiga simu kusalimia wakujuuu walikuwa wanalia tuu nankusononekaaa....hili la leo ni igizonpiaaa mama hageuzi kwa WANU Akinuniwa tu ananyweaaaRais Samia Suluhu Hassan amemuonya Waziri wa Tamisemi, Mohamed Mchengerwa na kumwambia kama hatawachukulia hatua viongozi wa chini yake wanaoshindwa kusimamia mapato ya serikali, atawachukulia hatua viongozi hao pamoja na waziri huyo.
View attachment 3266657
Kwani TAMISEMI na maliasili wapi patamu?!Hahahhhqha nacheka sanaqaa ....jamaa alipotolewa maliasili wakamnuniaa mama yao zaidi mwezi hawakuongea kila sikuakipiga simu kusalimia wakujuuu walikuwa wanalia tuu nankusononekaaa....hili la leo ni igizonpiaaa mama hageuzi kwa WANU Akinuniwa tu ananyweaaa