Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

Slaa haaminiki alinunuliwa kwa vipande 30 vya fedha na CCM akaisaliti chadema hana tofauti na yuda iskariot wa enzi za Yesu kristo.
Sir Elton John Robert mambo yako ya kupumuliwa kisogoni peleka hukohuko na kwa nini ufiche jina lako la kwanza Elton
 
Sir Elton John Robert mambo yako ya kupumuliwa kisogoni peleka hukohuko na kwa nini ufiche jina lako la kwanza Elton
 
Siku zote za maisha ya siasa zingatia!

Siasa haina adui au Rafiki wa kudumu. Adui yako wa leo kwenye siasa anaweza kuja kuwa rafiki mzuri sana na rafiki yako wa sasa katika siasa anaweza kuja kuwa adui mkuu sana, chukua hii utakuja kunishukuru [emoji3516][emoji3516]
 
Mwenyewe amefafanua CLUBHOUSE yaani karatasi ya mistari haina athari kwake hadhi za ubalozi ni more advanced
 
CCM ni ileile. Samia hatekelezi mambo yake bali anayoagizwa na CCM maana ndiyo imeunda serikali na kumuweka hapo. Samia hana ubavu wa kuivimbia CCM. Hata Mkapa aliwahi kumkemea Magufuli waziwazi tena matangazo yakiwa live kuwa serikali ni ya CCM na sio ya mtu so aache kusema serikali yangu.

Ukiangalia kwa makini unagundua kwamba wakati Samia anachukua kitu cha uraisi alizungumza mambo mengi kuwa atayabafilisha yaende tofauti na alivyokua anafanya Magufuli. Kumbe alisahau Magufuli alikua kioo tu cha kumulika yale yanayotakiwa kufanywa na CCM. Sasa Samia ameijua CCM halisi na amegundua alikua anajidanganya.

Magufuli alipodaiwa katiba mpya alisema yeye kwenye kampeni hakuahidi katiba, watu wakaona kama anayesema ni Magufuli wakasahau nguvu ya magufuli ni CCM iliyomuweka pale. Samia mwaka jana akakurupuka kuanza mchakato wa katiba, CCM wamemwita na kumpa za uso. Ukiuliza sasa hivi mchakato una hali gani hana jibu la maana.
Akaahidi kuleta maridhiano na wakosoaji wa serikali. Sasa Slaa karuka naye kwenye jambo moja tu tayari kavuliwa ubalozi. Waliopo karibu wanajua Samia alikua anaahidi abadi hewa. Hakuijua CCM halisi, mwakani subirini yale ya 2920 yatakavyoshamiri na Samia hatanyanyua hata neno moja kukemea.


CCM NI ILEILE, WANAOBADILIKA NI WATU
 
kizazi cha sasa kina uwezo mdogo sana wa kufikiri mambo.....

Dr slaa amekuwa wazi kwenye misimamo yake tangu enzi na enzi.... na ni mtu anaetetea maslahi ya taifa..
kuvuliwa hadhi ya ubalizi kwake hakuwezi kumyumbisha....
Wenye akili tumekuelewa mkuu
 
Wakimaliza wanahamia na kwako kuja kukuvua uanaume wako, maana una pigo za ki upinde wewe
Unasemaje? CCM haiwezi kubadilika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…