Rais Samia anachukua sifa ya kuwa Rais bora wa mudawote katika uwekezaji wa Afya

Jina la avatar yako na akili zako zinafanana.

Kweli JINGALAO.
 
Naona umecopy kijarida fulani hivi hujawahi kufika hospital, ungekuwa umewahi kufika hospitali usingeandika hivyo.
 
Sifa zoote kisa Mloganzila imetangaza huduma ya kuwaongezea makalio.
 
Hapa nikisema mitano tena ninakuwa nimesema kutokana na hoja sio uchawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…