Rais Samia anadai wakati tukio la kubomoka jengo Kariakoo linatokea alikuwa tayari safarini kule Brazil. Kaamua kutudanganya?

Rais Samia anadai wakati tukio la kubomoka jengo Kariakoo linatokea alikuwa tayari safarini kule Brazil. Kaamua kutudanganya?

Mawele

Senior Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
119
Reaction score
320

Nachojua Tukio la ajali Kariakoo wakati linatokea Rais Samia alikuwa bado nchini, kaondoka nchini baada ya ya tukio kuwa tayari na taarifa alikuwa nayo, ila akapanda ndege kwenda Brazil, leo anasema wakati tukio linatukia alikuwa tayari safarini kwa nini anadanganya umma?

Taarifa ya Ikulu ilichapishwa saa 5 na dakika 57 kuwa anaagana na viongozi uwanja wa Ndege kwa ajili ya safari, ajali ya Kariakoo imeanza kuripotiwa Majira ya ya saa 3 Soma hapa. Asubuhi hiyo ya tarehe 16 Novemba 2024 ambapo Samia aliondoka majira ya saa 5 hivyo alikuwa bado nchini na alikuwa na uwezo wa kubaki nchini ila hakuona kuwa kubaki nchini lilikuwa ni chaguo bora kuliko yeye kwenda kwenda mkutano wa watu Brazil.

1732109471254.png


Posti ya Ikulu ikionesha muda wa saa 5 Rais Samia alikuwa nchini.
1732110140018.png
Pia soma:Rais Samia atembelea eneo la ajali ya ghorofa Kariakoo, asema vifo vimefikia Watu 20
 
View attachment 3156969

Nachojua Tukio la ajali Kariakoo wakati linatokea Rais Samia alikuwa bado nzhini, kaondoka nchini baada ya ya tukio kuwa tayari na taarifa alikuwa nayo,ila akapanda ndege kwenda Brazil, leo anasema wakati tukio linatukia alikuwa tayari safarini kwa nini anadanganya umma?

Taarifa ya Ikulu ilichapishwa saa 5 na dakika 57 kuwa anaagana na viongozi uwanja wa Ndege kwa ajili ya safari, ajali ya Kariakoo imeanza kuripotiwa Majira ya ya saa 3 Soma hapa. Asubuhi hiyo ya tarehe 16 Novemba 2024 ambapo Samia aliondoka majira ya saa 5 hivyo alikuwa bado nchini na alikuwa na uwezo wa kubaki nchini ila hakuona kuwa kubaki nchini lilikuwa ni chaguo bora kuliko yeye kwenda kwenda mkutano wa watu Brazil.

View attachment 3156964
Posti ya Ikulu ikionesha muda wa saa 5 Rais Samia alikuwa nchini.
Sio muhimu sana, Mkubwa hakosei
 

Nachojua Tukio la ajali Kariakoo wakati linatokea Rais Samia alikuwa bado nzhini, kaondoka nchini baada ya ya tukio kuwa tayari na taarifa alikuwa nayo,ila akapanda ndege kwenda Brazil, leo anasema wakati tukio linatukia alikuwa tayari safarini kwa nini anadanganya umma?

Taarifa ya Ikulu ilichapishwa saa 5 na dakika 57 kuwa anaagana na viongozi uwanja wa Ndege kwa ajili ya safari, ajali ya Kariakoo imeanza kuripotiwa Majira ya ya saa 3 Soma hapa. Asubuhi hiyo ya tarehe 16 Novemba 2024 ambapo Samia aliondoka majira ya saa 5 hivyo alikuwa bado nchini na alikuwa na uwezo wa kubaki nchini ila hakuona kuwa kubaki nchini lilikuwa ni chaguo bora kuliko yeye kwenda kwenda mkutano wa watu Brazil.

View attachment 3156964
Posti ya Ikulu ikionesha muda wa saa 5 Rais Samia alikuwa nchini.
Wadanganyika tunazidi kudanganywa. Hii ni dharau ya hali ya juu sana
 
Kuwa tayar safarin ina maana ya maandaliz a Safar kukamilika .

Je Una uhakika gani kwamba muda post ya kuagana na viongozi ilipotelewa ndio muda huo huo tukio la kuagana lilifanyika?
Kuwa safarini maana yake yuko kwenye chombo cha usafiri, au tayari yuko ktk ardhi ya kigeni. Lakini usafiri aliotumia ni wa kwake, hata angepewa taarifa akiwa katikati ya safari, au hukohuko Brazil, angeweza kuamuru wamrudishe nyumbani.
 

Nachojua Tukio la ajali Kariakoo wakati linatokea Rais Samia alikuwa bado nchini, kaondoka nchini baada ya ya tukio kuwa tayari na taarifa alikuwa nayo, ila akapanda ndege kwenda Brazil, leo anasema wakati tukio linatukia alikuwa tayari safarini kwa nini anadanganya umma?

Taarifa ya Ikulu ilichapishwa saa 5 na dakika 57 kuwa anaagana na viongozi uwanja wa Ndege kwa ajili ya safari, ajali ya Kariakoo imeanza kuripotiwa Majira ya ya saa 3 Soma hapa. Asubuhi hiyo ya tarehe 16 Novemba 2024 ambapo Samia aliondoka majira ya saa 5 hivyo alikuwa bado nchini na alikuwa na uwezo wa kubaki nchini ila hakuona kuwa kubaki nchini lilikuwa ni chaguo bora kuliko yeye kwenda kwenda mkutano wa watu Brazil.

View attachment 3156964

Posti ya Ikulu ikionesha muda wa saa 5 Rais Samia alikuwa nchini.
View attachment 3156978
Pia soma:Rais Samia atembelea eneo la ajali ya ghorofa Kariakoo, asema vifo vimefikia Watu 20
Kudanganywa ilikuwa zamani. Leo hii sisi siyo wajinga kiasi hicho. Mama wakati ndege iliyokubeba ilipokuwa imepaa uliomyeshwa Kariakoo kupitia dirishani ( Presidential look) na jinsi umati wa watu ulivyokusanyika wakijitahidi kuwaokoa wahanga. Wapiga kura wako walikuwa wamekandamizwa na jengo. Sawa tudanganyeni tu. Mungu anajua 😞 😔 😟 🙁 😥 😿
 

Nachojua Tukio la ajali Kariakoo wakati linatokea Rais Samia alikuwa bado nchini, kaondoka nchini baada ya ya tukio kuwa tayari na taarifa alikuwa nayo, ila akapanda ndege kwenda Brazil, leo anasema wakati tukio linatukia alikuwa tayari safarini kwa nini anadanganya umma?

Taarifa ya Ikulu ilichapishwa saa 5 na dakika 57 kuwa anaagana na viongozi uwanja wa Ndege kwa ajili ya safari, ajali ya Kariakoo imeanza kuripotiwa Majira ya ya saa 3 Soma hapa. Asubuhi hiyo ya tarehe 16 Novemba 2024 ambapo Samia aliondoka majira ya saa 5 hivyo alikuwa bado nchini na alikuwa na uwezo wa kubaki nchini ila hakuona kuwa kubaki nchini lilikuwa ni chaguo bora kuliko yeye kwenda kwenda mkutano wa watu Brazil.

View attachment 3156964

Posti ya Ikulu ikionesha muda wa saa 5 Rais Samia alikuwa nchini.
View attachment 3156978
Pia soma:Rais Samia atembelea eneo la ajali ya ghorofa Kariakoo, asema vifo vimefikia Watu 20
Rais hasa fiti kama mimi na wewe

With international security details pamoja na other protocols - safari siyo tu rubani kuanza taxing

Mengine tuwe tunakaa na kujifunza
 
Kuwa safarini maana yake yuko kwenye chombo cha usafiri, au tayari yuko ktk ardhi ya kigeni. Lakini usafiri aliotumia ni wa kwake, hata angepewa taarifa akiwa katikati ya safari, au hukohuko Brazil, angeweza kuamuru wamrudishe nyumbani.
Na hata kama usingekuwa usafiri wa kwake mtu anayelipa tukio uzito angeahirisha na kugeuza nchini hata kama amefika huko.

Hakuona umuhimu ndio maana akaendelea na safari, ila angekuwa mtu wake wa karibu yumo humo kwenye jengo angerudi hata kwa mguu kama angekuwa kafika huko na ndege hazipo
 
Rais hasa fiti kama mimi na wewe

With international security details pamoja na other protocols - safari siyo tu rubani kuanza taxing

Mengine tuwe tunakaa na kujifunza
Mwanae angekuwepo humo ungejibu haya au angejibu hivyo? Hakuna kisichoahirishwa labda kilichopangwa na Mungu ila kupangwa na Mwanadamu kinaahirishwa inatemegea na kipi ni mhimu kwako kwa wakati huo. yeye kwake kwenda Brazil ilikuwa muhimu kuliko watanzania ndani ya kifusi
 

Nachojua Tukio la ajali Kariakoo wakati linatokea Rais Samia alikuwa bado nchini, kaondoka nchini baada ya ya tukio kuwa tayari na taarifa alikuwa nayo, ila akapanda ndege kwenda Brazil, leo anasema wakati tukio linatukia alikuwa tayari safarini kwa nini anadanganya umma?

Taarifa ya Ikulu ilichapishwa saa 5 na dakika 57 kuwa anaagana na viongozi uwanja wa Ndege kwa ajili ya safari, ajali ya Kariakoo imeanza kuripotiwa Majira ya ya saa 3 Soma hapa. Asubuhi hiyo ya tarehe 16 Novemba 2024 ambapo Samia aliondoka majira ya saa 5 hivyo alikuwa bado nchini na alikuwa na uwezo wa kubaki nchini ila hakuona kuwa kubaki nchini lilikuwa ni chaguo bora kuliko yeye kwenda kwenda mkutano wa watu Brazil.

View attachment 3156964

Posti ya Ikulu ikionesha muda wa saa 5 Rais Samia alikuwa nchini.
View attachment 3156978
Pia soma:Rais Samia atembelea eneo la ajali ya ghorofa Kariakoo, asema vifo vimefikia Watu 20
Ndege iliyombeba iliondoka muda gani?
 

Nachojua Tukio la ajali Kariakoo wakati linatokea Rais Samia alikuwa bado nchini, kaondoka nchini baada ya ya tukio kuwa tayari na taarifa alikuwa nayo, ila akapanda ndege kwenda Brazil, leo anasema wakati tukio linatukia alikuwa tayari safarini kwa nini anadanganya umma?

Taarifa ya Ikulu ilichapishwa saa 5 na dakika 57 kuwa anaagana na viongozi uwanja wa Ndege kwa ajili ya safari, ajali ya Kariakoo imeanza kuripotiwa Majira ya ya saa 3 Soma hapa. Asubuhi hiyo ya tarehe 16 Novemba 2024 ambapo Samia aliondoka majira ya saa 5 hivyo alikuwa bado nchini na alikuwa na uwezo wa kubaki nchini ila hakuona kuwa kubaki nchini lilikuwa ni chaguo bora kuliko yeye kwenda kwenda mkutano wa watu Brazil.

View attachment 3156964

Posti ya Ikulu ikionesha muda wa saa 5 Rais Samia alikuwa nchini.
View attachment 3156978
Pia soma:Rais Samia atembelea eneo la ajali ya ghorofa Kariakoo, asema vifo vimefikia Watu 20
Unadhani safari ya Rais ni kama anaenda kupanda daladala? Kuna protocol za kufuatwa kabla ya kiongozi kusafiri, kuahirisha safari ni kama kilichotokea ni National Emergency. Kuanguka kwa jengo kunasikitisha lakini si National Emergency.

Na Rais angeenda day one effort za uokoaji zinge slow down kwa sababu focus ingehama kutoka uokoaji kwenda mapokezi na ulinzi wa Rais
 
Back
Top Bottom