Rais Samia anaiwakilisha Tanzania na kuipasha nchi vizuri sana Kimataifa

Rais Samia anaiwakilisha Tanzania na kuipasha nchi vizuri sana Kimataifa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni dhahiri Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT, anaifungua nchi kitaifa na kimataifa.

Hivi sasa, Taifa lina pumzi freshi tena mpya ya kitofauti kabisa, fursa za kila aina zimefunguka kitaifa na kimataifa kwa mipango na mikakati ya Rais huyu kipenzi cha dunia nzima. Mazingira mazuri ya na tulivu sana ya kufanya siasa, biashara, kilimo, uwekezaji, utalii, ufugaji n.k

Amani na ulinzi wa mipaka ya nchi, wawaekezaji, watu na mali zao ni wa uhakika na wa kupigiwa mfano...

maraisi na wafalme duniani wanatamani kua na uhusiano na Tanzania. Na hivi sasa rais Dr. Samia Suluhu Hassan, amekua na mialiko mingi mno ya kimataifa, na ratiba yake imekua ya kazi nyingi sana kwa maslahi mapana ya Tanzania na wananchi wake wote.

Mungu Ibariki Tanzania
 
As a member of public health department we apologize to all JF members that, The person who wrote this rubbish Tlaatlaah is one of our patient who escaped from our institution of mental health.

We assure you that we will do whatever it takes to get him back to the institution.
 
Ni dhahiri Dr.Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT, anaifungua nchi kitaifa na kimataifa....

Hivi sasa, Taifa lina pumzi freshi tena mpya ya kitofauti kabisa, fursa za kila aina zimefunguka kitaifa na kimataifa kwa mipango na mikakati ya Rais huyu kipenzi cha dunia nzima. Mazingira mazuri ya na tulivu sana ya kufanya siasa, biashara, kilimo, uwekezaji, utalii, ufugaji n.k

Amani na ulinzi wa mipaka ya nchi, wawaekezaji, watu na mali zao ni wa uhakika na wa kupigiwa mfano...

maraisi na wafalme duniani wanatamani kua na uhusiano na Tanzania. Na hivi sasa rais Dr. Samia Suluhu Hassan, amekua na mialiko mingi mno ya kimataifa, na ratiba yake imekua ya kazi nyingi sana kwa maslahi mapana ya Tanzania na wananchi wake wote...

Mungu Ibariki Tanzania
Na bado kudadeki mtafanya uchawa mpka mgeuke kuwa chawa halisia,,,,na 2025 kitaeleweka
 
As a member of public health department we apologize to all JF members that, The person who wrote this rubbish Tlaatlaah is one of our patient who escaped from our institution of mental health.

We assure you that we will do whatever it takes to get him back to the institution.
😂😂😂😂
 
Hivi kama nchi sasa hivi identity yetu ni ipi ?

Kuna kipindi tulikuwa tunajulikana kama watetea haki, Pan Africanist na wadau wenye kuamini self reliance na kutokupelekeshwa na kina IMF (yaani masikini Jeuri)..., Sasa hivi kwa kweli sijui tupo category ipi....
 
Na bado kudadeki mtafanya uchawa mpka mgeuke kuwa chawa halisia,,,,na 2025 kitaeleweka
kwakweli vyoyote itakavyokua au kusema,

nadhani Mama anakusudia kuipaisha Tanzania iwe juu sana kijamii, kisiasa na kijamii kitaifa na kimataifa:pedroP:
 
Hivi kama nchi sasa hivi identity yetu ni ipi ?

Kuna kipindi tulikuwa tunajulikana kama watetea haki, Pan Africanist na wadau wenye kuamini self reliance na kutokupelekeshwa na kina IMF (yaani masikini Jeuri)..., Sasa hivi kwa kweli sijui tupo category ipi....
bado ni kisiwa cha Amani, mfano bora na kinara wa kuheshimu haki, demokrasia, amani na utulivi duniani:whatBlink:
 
Kumbe JF ukimtoa Lucas Mwashambwa Kuna msemaji wa Serikali na hamsemi 🙌
muhimu zaidi ni kwamba,
mambo ya maendeleo ya Tanzania kitaifa na kimataifa yanafanyika hadharani, and this is just for the record tu :DisGonBGud:
 
Ni dhahiri Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT, anaifungua nchi kitaifa na kimataifa.

Hivi sasa, Taifa lina pumzi freshi tena mpya ya kitofauti kabisa, fursa za kila aina zimefunguka kitaifa na kimataifa kwa mipango na mikakati ya Rais huyu kipenzi cha dunia nzima. Mazingira mazuri ya na tulivu sana ya kufanya siasa, biashara, kilimo, uwekezaji, utalii, ufugaji n.k

Amani na ulinzi wa mipaka ya nchi, wawaekezaji, watu na mali zao ni wa uhakika na wa kupigiwa mfano...

maraisi na wafalme duniani wanatamani kua na uhusiano na Tanzania. Na hivi sasa rais Dr. Samia Suluhu Hassan, amekua na mialiko mingi mno ya kimataifa, na ratiba yake imekua ya kazi nyingi sana kwa maslahi mapana ya Tanzania na wananchi wake wote.

Mungu Ibariki Tanzania
Anatuchimbia kaburi na mamikopo kila kukicha huku huduma mbovu
 
Anatuchimbia kaburi na mamikopo kila kukicha huku huduma mbovu
inchi gani haina mikopo duniani?

unapiga hatua za kimaendeleo kama nchi bila mikopo hata kama una kila kitu?

maoni na mtazamo si kitu mbaya, ila ni lazima kukopa ili kuendelea :DisGonBGud:
 
Back
Top Bottom