Rais Samia anaiwakilisha Tanzania na kuipasha nchi vizuri sana Kimataifa

Rais Samia anaiwakilisha Tanzania na kuipasha nchi vizuri sana Kimataifa

Wajinga na mashetani mpo wengi nchi hii. Anaipaisha kwa kuipiga mnada? Zombie kabisa wewe na jimama lako
jairibu kufanya vibrant oversight ni nzuri zaid kuliko hii mipasho na mihemko ambayo haina maana yoyote....

muhimu zaid ni kwamba Mama, Rais comrade Dr Samia Suluhu Hassan anafanya kazi nzuri sana kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒
 
Baadae tutajilaumu kuwa na wanachi wenye mawazo mfu kama hawa.
maendeleo ni sasa kama sio sasa ni sasaivi,

hopeless mindset karne hii ni mzigo mzito wa kitumwa, unachosha akili na moyo wako bure tu na mambo yanasongeshwa na Dr.Samia 🐒
 
jairibu kufanya vibrant oversight ni nzuri zaid kuliko hii mipasho na mihemko ambayo haina maana yoyote....

muhimu zaid ni kwamba Mama, Rais comrade Dr Samia Suluhu Hassan anafanya kazi nzuri sana kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒
Umemjibu vizuri sana
 
Kumbe kuenda nje kutafuta mikopo ndio kufungua nchi nilikuwa sijui
 
Chini ya huyu mamaa kuna kagenge kadogo ka wahuni ndo kanafaidika na keki ya taifa huku chawa wao wakipuliza mavuvuzela!
 
...nchi hii...
The enemy of 'nchi hii' is hypocrisy!! By converting hypocrisy into honesty the "nchi hii" will be in the safe hands. Short of that we shall be dancing "makidamakida" all the time.
 
mambo ni bam bam left, right and center, kitaifa na kimataifa...

Lazima kama nchi ipige hatua za kimaendeleo.

Na mama anainyoosha nchi vizur sana 🐒

Sijajua vizuri kunyoosha na kupindisha maana yake nini. Sisi tusiowekezq matumaini yetu kwa project za wananzengo wenzetu, tunaamini kuna dalili za kuwa kunakucha.
It will happen........
 
Sijajua vizuri kunyoosha na kupindisha maana yake nini. Sisi tusiowekezq matumaini yetu kwa project za wananzengo wenzetu, tunaamini kuna dalili za kuwa kunakucha.
It will happen........
mjini biashara ni kama uyoga aise, hakika zimefunguka dah,🐒
 
Back
Top Bottom