Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
ASAP..As a member of public health department we apologize to all JF members that, The person who wrote this rubbish Tlaatlaah is one of our patient who escaped from our institution of mental health.
We assure you that we will do whatever it takes to get him back to the institution.
Inamaana ulikua humwelewi JPM!?.Ni dhahiri Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT, anaifungua nchi kitaifa na kimataifa.
Hivi sasa, Taifa lina pumzi freshi tena mpya ya kitofauti kabisa, fursa za kila aina zimefunguka kitaifa na kimataifa kwa mipango na mikakati ya Rais huyu kipenzi cha dunia nzima. Mazingira mazuri ya na tulivu sana ya kufanya siasa, biashara, kilimo, uwekezaji, utalii, ufugaji n.k
Amani na ulinzi wa mipaka ya nchi, wawaekezaji, watu na mali zao ni wa uhakika na wa kupigiwa mfano...
maraisi na wafalme duniani wanatamani kua na uhusiano na Tanzania. Na hivi sasa rais Dr. Samia Suluhu Hassan, amekua na mialiko mingi mno ya kimataifa, na ratiba yake imekua ya kazi nyingi sana kwa maslahi mapana ya Tanzania na wananchi wake wote.
Mungu Ibariki Tanzania
Kazi nzuri sana Mama SamiaNi dhahiri Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT, anaifungua nchi kitaifa na kimataifa.
Hivi sasa, Taifa lina pumzi freshi tena mpya ya kitofauti kabisa, fursa za kila aina zimefunguka kitaifa na kimataifa kwa mipango na mikakati ya Rais huyu kipenzi cha dunia nzima. Mazingira mazuri ya na tulivu sana ya kufanya siasa, biashara, kilimo, uwekezaji, utalii, ufugaji n.k
Amani na ulinzi wa mipaka ya nchi, wawaekezaji, watu na mali zao ni wa uhakika na wa kupigiwa mfano...
maraisi na wafalme duniani wanatamani kua na uhusiano na Tanzania. Na hivi sasa rais Dr. Samia Suluhu Hassan, amekua na mialiko mingi mno ya kimataifa, na ratiba yake imekua ya kazi nyingi sana kwa maslahi mapana ya Tanzania na wananchi wake wote.
Mungu Ibariki Tanzania
Hahaha...As a member of public health department we apologize to all JF members that, The person who wrote this rubbish Tlaatlaah is one of our patient who escaped from our institution of mental health.
We assure you that we will do whatever it takes to get him back to the institution.
Mikopo muitumie vizuri tuinchi gani haina mikopo duniani?
unapiga hatua za kimaendeleo kama nchi bila mikopo hata kama una kila kitu?
maoni na mtazamo si kitu mbaya, ila ni lazima kukopa ili kuendelea
Please, tumechoka na mabango yenu. Barabara zote zimejaa mabango na humu tena.Ni dhahiri Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT, anaifungua nchi kitaifa na kimataifa.
Hivi sasa, Taifa lina pumzi freshi tena mpya ya kitofauti kabisa, fursa za kila aina zimefunguka kitaifa na kimataifa kwa mipango na mikakati ya Rais huyu kipenzi cha dunia nzima...
Ndio yeye na Lucas mwashambwa hawa ni wagonjwa wetu wa Akili.Hahaha...
Duh, Kumbe Tlaatlaah ni mtoro huko halafu anasumbua humu!!!
Ni dhahiri Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT, anaifungua nchi kitaifa na kimataifa.
Hivi sasa, Taifa lina pumzi freshi tena mpya ya kitofauti kabisa, fursa za kila aina zimefunguka kitaifa na kimataifa kwa mipango na mikakati ya Rais huyu kipenzi cha dunia nzima. Mazingira mazuri ya na tulivu sana ya kufanya siasa, biashara, kilimo, uwekezaji, utalii, ufugaji n.k
Amani na ulinzi wa mipaka ya nchi, wawaekezaji, watu na mali zao ni wa uhakika na wa kupigiwa mfano...
maraisi na wafalme duniani wanatamani kua na uhusiano na Tanzania. Na hivi sasa rais Dr. Samia Suluhu Hassan, amekua na mialiko mingi mno ya kimataifa, na ratiba yake imekua ya kazi nyingi sana kwa maslahi mapana ya Tanzania na wananchi wake wote.
Mungu Ibariki Tanzania
Ni kweli Marais na Wafalme wanatamani kuwa na uhusiano na Tanzania Kwa sababu na wao wanatamani kujimegea vipande vya Tanganyika kama ilivyofanyika Kwa Waarabu na Sasa wakoreaNi dhahiri Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT, anaifungua nchi kitaifa na kimataifa.
Hivi sasa, Taifa lina pumzi freshi tena mpya ya kitofauti kabisa, fursa za kila aina zimefunguka kitaifa na kimataifa kwa mipango na mikakati ya Rais huyu kipenzi cha dunia nzima. Mazingira mazuri ya na tulivu sana ya kufanya siasa, biashara, kilimo, uwekezaji, utalii, ufugaji n.k
Amani na ulinzi wa mipaka ya nchi, wawaekezaji, watu na mali zao ni wa uhakika na wa kupigiwa mfano...
maraisi na wafalme duniani wanatamani kua na uhusiano na Tanzania. Na hivi sasa rais Dr. Samia Suluhu Hassan, amekua na mialiko mingi mno ya kimataifa, na ratiba yake imekua ya kazi nyingi sana kwa maslahi mapana ya Tanzania na wananchi wake wote.
Mungu Ibariki Tanzania
Ndio yeye na Lucas mwashambwa hawa ni wagonjwa wetu wa Akili.
That's why kila muda wana andika ujinga ujinga tu.
Chawa mpya kaziniNi dhahiri Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT, anaifungua nchi kitaifa na kimataifa.
Hivi sasa, Taifa lina pumzi freshi tena mpya ya kitofauti kabisa, fursa za kila aina zimefunguka kitaifa na kimataifa kwa mipango na mikakati ya Rais huyu kipenzi cha dunia nzima. Mazingira mazuri ya na tulivu sana ya kufanya siasa, biashara, kilimo, uwekezaji, utalii, ufugaji n.k
Amani na ulinzi wa mipaka ya nchi, wawaekezaji, watu na mali zao ni wa uhakika na wa kupigiwa mfano...
maraisi na wafalme duniani wanatamani kua na uhusiano na Tanzania. Na hivi sasa rais Dr. Samia Suluhu Hassan, amekua na mialiko mingi mno ya kimataifa, na ratiba yake imekua ya kazi nyingi sana kwa maslahi mapana ya Tanzania na wananchi wake wote.
Mungu Ibariki Tanzania
Imetunzwa kwa matumizi ya Siku za usoni.Ni dhahiri Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa JMT, anaifungua nchi kitaifa na kimataifa.
Hivi sasa, Taifa lina pumzi freshi tena mpya ya kitofauti kabisa, fursa za kila aina zimefunguka kitaifa na kimataifa kwa mipango na mikakati ya Rais huyu kipenzi cha dunia nzima. Mazingira mazuri ya na tulivu sana ya kufanya siasa, biashara, kilimo, uwekezaji, utalii, ufugaji n.k
Amani na ulinzi wa mipaka ya nchi, wawaekezaji, watu na mali zao ni wa uhakika na wa kupigiwa mfano...
maraisi na wafalme duniani wanatamani kua na uhusiano na Tanzania. Na hivi sasa rais Dr. Samia Suluhu Hassan, amekua na mialiko mingi mno ya kimataifa, na ratiba yake imekua ya kazi nyingi sana kwa maslahi mapana ya Tanzania na wananchi wake wote.
Mungu Ibariki Tanzania