jairibu kufanya vibrant oversight ni nzuri zaid kuliko hii mipasho na mihemko ambayo haina maana yoyote....Wajinga na mashetani mpo wengi nchi hii. Anaipaisha kwa kuipiga mnada? Zombie kabisa wewe na jimama lako
maendeleo ni sasa kama sio sasa ni sasaivi,Baadae tutajilaumu kuwa na wanachi wenye mawazo mfu kama hawa.
Umemjibu vizuri sanajairibu kufanya vibrant oversight ni nzuri zaid kuliko hii mipasho na mihemko ambayo haina maana yoyote....
muhimu zaid ni kwamba Mama, Rais comrade Dr Samia Suluhu Hassan anafanya kazi nzuri sana kwa maslahi mapana ya waTanzania wote π
Dkt.
Daktari wa nini, mkuu?daktari π
Unaposema 'inaweza kua' maana yake hauna uhakika?inaweza kua daktari wa mambo mbalimbali mathalani uchumi, binadamu, miamba n.kπ
Wimbo gani tena, kiongozi?iangalie inavyobabaika kwa wakati huu, cheki ilivyopauka saivi, hakuna matumaini ya kunyanyuka tena, ndio basi tena imetoka hiyo π
Ni kiasi gani cha concession tumepata?Huo ndiyo ukweli. Ni nchi 3 tu ndiyo beneficiary wa South Korean Africa concession loans ikiwapo Ethiopia na Kenya.
The enemy of 'nchi hii' is hypocrisy!! By converting hypocrisy into honesty the "nchi hii" will be in the safe hands. Short of that we shall be dancing "makidamakida" all the time....nchi hii...
Nimeanza kumuelewaShida ya mtanzania ni njaa by Hashim Rungwe
mambo ni bam bam left, right and center, kitaifa na kimataifa...
Lazima kama nchi ipige hatua za kimaendeleo.
Na mama anainyoosha nchi vizur sana π
mjini biashara ni kama uyoga aise, hakika zimefunguka dah,πSijajua vizuri kunyoosha na kupindisha maana yake nini. Sisi tusiowekezq matumaini yetu kwa project za wananzengo wenzetu, tunaamini kuna dalili za kuwa kunakucha.
It will happen........