Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Shhhhhhhh, usimstue !Inavyoonekana Samia ni muumini wa ma chawa jambo ambalo ki uhalisia wanamdanganya kuliko kumweleza ukweli.
Kwa yanayoendelea Nchini, ni wazi wapo wapuuzi wanamdanganya apuuze.
Rais Samia anajiharibia mwenyewe kwa kujitakia.
Yanayoendelea Nchini ni haya hapa ππInavyoonekana Samia ni muumini wa ma chawa jambo ambalo ki uhalisia wanamdanganya kuliko kumweleza ukweli.
Kwa yanayoendelea Nchini, ni wazi wapo wapuuzi wanamdanganya apuuze.
Rais Samia anajiharibia mwenyewe kwa kujitakia.
Hao washauri siyo kwamba hawajui kuwa ushauri wao unamharibia Samia. Wanaojua, lkn wanafanya hivyo kwa sababu ya kutaka "mambo yaharibike sana" ili Samia asigombee 2025Inavyoonekana Samia ni muumini wa ma chawa jambo ambalo ki uhalisia wanamdanganya kuliko kumweleza ukweli.
Kwa yanayoendelea Nchini, ni wazi wapo wapuuzi wanamdanganya apuuze.
Rais Samia anajiharibia mwenyewe kwa kujitakia.
Kama nia yao ni hiyo Mungu awabariki sana na majina yao yataandikwa mbinguni.Hao washauri siyo kwamba hawajui kuwa ushauri wao unamharibia Samia. Wanaojua, lkn wanafanya hivyo kwa sababu ya kutaka "mambo yaharibike sana" ili Samia asigombee 2025
2024-2025 miradi walioanzisha wkt wa kampeni za 2010/2015 yote watagusa au kumalizia then wajekuomba kura ikiisha mtasubiria tena atakaekuja 2030 Hio ndio cycle ya siasa AfricaYanayoendelea Nchini ni haya hapa ππ
View: https://twitter.com/twendenamama/status/1825516331375927614?t=m5mqRBoihugHjAmzJUz4rg&s=19
My Take: Kama huku ndio kujiharibia basi aongeze juhudi maana anajiharibua Kwa faidia ya Watanzania
View: https://twitter.com/twendenamama/status/1825855277519753537?t=2kT6LmRn6GuDRdSGVVj0WA&s=19
2025 Kuna Ilani Mpya inaandikwa ,hiyo ya kusubiria wewe umeitoa wapi? πππ2024-2025 miradi walioanzisha wkt wa kampeni za 2010/2015 yote watagusa au kumalizia then wajekuomba kura ikiisha mtasubiria tena atakaekuja 2030 Hio ndio cycle ya siasa Africa
Ni juhudi za kanisa, ila wasichojua ni kwamba kanisa haliendi bila ccm, kwahiyo watakaopoteza sana ni kanisa wala si wengine,Hakuna raisi aliwahi kizarauliwa kama huyu .