Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Inavyoonekana Samia ni muumini wa ma chawa jambo ambalo ki uhalisia wanamdanganya kuliko kumweleza ukweli.
Kwa yanayoendelea Nchini, ni wazi wapo wapuuzi wanamdanganya apuuze.
Rais Samia anajiharibia mwenyewe kwa kujitakia.
Kwa yanayoendelea Nchini, ni wazi wapo wapuuzi wanamdanganya apuuze.
Rais Samia anajiharibia mwenyewe kwa kujitakia.