Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

Ni wenge tuu.hakuelewa alichoitikia.Anayemhoji naye ni mjanjamjanja hivi. wakati wa magufuli covid haikuwepo mpaka alipofariki ndiyo ikaingia kwa kasi bongo
Unachekesha kweli!!! Kwamba covid haikuwepo????!!!!
 
Wakati mzungu yupo katika "who contracted Covid", Rais Samia alikuwa bado anatafsiri maneno yaliyopita kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili, kwa hivyo anajibu "Yeah" kwenye habari ya "He was a Chemist" bado.

Ndiyo yale yale niliyoandika hapo juu kwamba saikolojia ya Watanzania wengi ukiwaongelea Kiingereza, hususan ukiwa mzungu, inakwenda kwenye kukubali mambo by default.

Haya mambo mengine Rais inabidi akae na wataalam wamfundishe kwamba maswali mengine inabidi kuchukua sekunde kadhaa kwanza kufikiri kabla ya kujibu.

Yani, ni bora uonekane uko slow kujibu kama Obama, halafu unajibu kitu chenye kueleweka, kuliko kujifanya unawez akujibu haraka haraka, halafu unajibu kituko.

Rais Samia anahitaji team ya wataalam wa mawasiliano wamfundishe mambo mengi sana.

Sifikiri kwamba alitaka kujibu Magufuli kafa kwa Covid. Ni ushamba tu wa mawasiliano, hususan katika Kiingereza.
Kama kulikuwa na tatizo hilo kwa nini hiyo sehemu haikuondolewa au haikuwa edited kabla ya kusambazwa? Mimi siamini kama eti hakuelewa alichoulizwa
 
Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli aliambukizwa Corona na yeye kujibu ndiyo.

Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.

NANUKUU:

Peter: In all honest your predecessor (Magufuli) was not a big friend of Vaccines and of the Science.

Samia: No he's a scientist.

Peter: Even worst!

Samia: He is a chemist… he was a chemist.

Peter: He was a chemist?

Samia: Yes

Peter: Who contracted COVID?

Samia: YEAH!

View attachment 2203911
Pengine hakumaanisha kuwa Rais JPM alikufa kwa covid19, ni presha tu ya mahojiano na maswali mbele ya kamera.

Ingawa JPM anaweza kweli akawa alikufa kwa Covid. Wasaidizi wake wawili wa karibu walikufa kwa ugonjwa huo, na yeye kufuatia sio suala la ajabu.
 
Kama kulikuwa na tatizo hilo kwa nini hiyo sehemu haikuondolewa au haikuwa edited kabla ya kusambazwa? Mimi siamini kama eti hakuelewa alichoulizwa

Tangu lini serikali yetu ina utaratibu wa kupitia vitu na kufanya marekebisho? Kuna kauli ngapi za viongozi zinatakiwa kufanyiwa marekebisho na hazifanyiwi?

Na unajuaje mkataba wa documentaries za Royal Tour kuhusu nani anafanya editing?

Hao wasaidizi wa rais ambao nao wana matatizo hayohayo aliyo nayo rais unajuaje kama waliona hili kama tatizo?

Kwa hivyo unasema SSH alielewa na kukubali kwamba Magufuli kafa baada ya kuambukizwa Covid-19? Implications ikiwa kwamba kafa kwa Covid-19?

Baada ya yeye mwenyewe Samia Sul8hu Hassan kusema kwamba Magufuli hajafa kwa Covid-19, bali kwa matatizo ya moyo?

How contradictory is that?

 
Sisi tunaojua ukweli kuwa mlimuua sasa mmekuwa mnaangaika kuficha ukweli ila sasa mnaanza kuweweseka kwa kauli mbili mbili ukweli utajulikana tu.kuhusu kovidi kila mtz aliugua hata sa100 na kikwete waliugua na kuugua covid ndiyo kinga yenyewe tuliyo opata watz. KUUGUA COVID SIYO KUFA KWA COVID JPM ALIKUWA MGONJWA HATA KABLA YA KUWA RAIS ILA SISI TUNAJUA ALIMALIZIWA KITANDANI ILI KUSINGIZIA UGONJWA
Kwa nini hamjawashtaki hao waliommaliza?
 
Ukweli ni kwamba tunaosikiliza mazungumzo ya rais huyu, utagundua jinsi alivyo hysterical anapokuwa na wazungu. Hapo huyo mzungu ndo anasema ... contracted COVID.. Yeye anaishia kusema YES hata kabla ya sentensi haijafika mwisho. Ni papala za furaha ya kuzungumza na mzungu. Kumbuka anapohojiwa na waafrika anakuwa mwamba mkorofi bila sababu; Ref. mahojiano yake na Kikeke wa BBC.
Una uelewa mdogo Sana, Rais anajua alichojibu na ametoa jibu fupi kwa sababu inaonekana hajataka kuongelea Hilo swali kiundani ,Kuna uwezekano behind the scene alimkataza huyo mzungu kuendelea na Hilo Jambo au alijibu kwa urefu ila ika editiwa ili kutoleta zengwe
 
..kwa sasa hivi Serikali inatakiwa IKANUSHE hiki tulichosikia ktk Filamu.

..Dr.Abbas, Gerson Msigwa, Zuhura Yunus, hawakutimiza wajibu wao ktk hili.

..haijalishi kama Jpm alikufa kwa covid au la, video ya namna hii haikutakiwa ionekane na hilo ni jukumu la hao watatu hapo juu.
Watu wengi waliokuwa karibu na Magu walichezewa michezo ya kifo bila wao kujua na mwisho wakammaliza na yeye kabisa kuna doktor mhimbili ana ulinzi wa usalama kamuulizeni alichofanya lkn siku moja kitanuka...
 
Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli aliambukizwa Corona na yeye kujibu ndiyo.

Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.

NANUKUU:

Peter: In all honest your predecessor (Magufuli) was not a big friend of Vaccines and of the Science.

Samia: No he's a scientist.

Peter: Even worst!

Samia: He is a chemist… he was a chemist.

Peter: He was a chemist?

Samia: Yes

Peter: Who contracted COVID?

Samia: YEAH!

View attachment 2203911
Move imeandaliwa kumdhihaki Magu hujui tu...
 
Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli aliambukizwa Corona na yeye kujibu ndiyo.

Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.

NANUKUU:

Peter: In all honest your predecessor (Magufuli) was not a big friend of Vaccines and of the Science.

Samia: No he's a scientist.

Peter: Even worst!

Samia: He is a chemist… he was a chemist.

Peter: He was a chemist?

Samia: Yes

Peter: Who contracted COVID?

Samia: YEAH!

View attachment 2203911
Ile ilikuwa haina ubishi ni covid au something of the kind ! Kutokana na underlying heath problems alizokuwanazo na jinsi alivyokuwa akijiexpose sometimes bila wasiwasi wowote ile ilikuwa ni great risk kwake !!
 
"....Who contracted COVID.....Yeah...." aisee technically fantassy interview by an investigative journalist

Kwa hiyo JPM hakupoteza maisha kwa 'defibrillation complications' ila kwa kuambukizwa na Uviko? Kwa mjibu wa mahojiano haya?

This interview has exposed a lot of coding issues that intellectuals have been enlightened to discern behind the scene, with the situation it is evident that all who were involved in one way or another to claim his life will be brought to book even if it takes half a century.
Kwani kila anayeambukizwa COVID anakufa?
 
Wewe ndio unatatizo na lugha ya king'eng'e huelewi chcochote hata kitu gani alikuwa anahojiwa nacho
Ku contract Covid ndio kufariki kwa Covid? Huko UVCCM English course hawatoagi kwani? Elimu ndogo alafu unajiita intelligence? What a joke
 
Petrol atakuwa agent wa CIA amekuja kwa njia ya kutengeza mambo hadi sasa kajua tunapoficha nyara za pembe za ndovu, chezea CIA isee.
 
W
Ww mwenyewe kinakupiga chenga. Sio contacted ni contracted. Wabongo wote kiingereza hamjui.
bora hata wewe umemwambia mimi nimeona sina hata haja ya kumwambia mtu mjinga anayejifanya mjuaji. Nipo zangu hapa kwa bibi UK naona jinsi wanavyojifanya wajuaji
 
Atakayeweza kuthibitisha kifo cha JPM ni mlinzi wake tu. So tulia kimya ww bado mdogo kwenye siasa.
Mlinzi ana Elimu ya utabibu? anayeweza kujua ni daktari wake ambaye Keshambrief Rais Samia sasa huyo mlinzi anajua nini??? Huyo mlinzi ni nobody the day Jpm anazikwa ndio habari yake imeishia hapo hata ikulu ni off limits kwake!!!
 
Katika Royal Tour documentary yule bwana Piere anamwambia mama kwamba marehemu Jiwe 'he contracted covid' naona mama akajibu Yes ...
 
Back
Top Bottom