Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Unachekesha kweli!!! Kwamba covid haikuwepo????!!!!Ni wenge tuu.hakuelewa alichoitikia.Anayemhoji naye ni mjanjamjanja hivi. wakati wa magufuli covid haikuwepo mpaka alipofariki ndiyo ikaingia kwa kasi bongo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sikiliza sekunde ya 19-20
It is when you became president
Sio then you became president
Em nikalale mie
Umetushughulisha buree
Kama kulikuwa na tatizo hilo kwa nini hiyo sehemu haikuondolewa au haikuwa edited kabla ya kusambazwa? Mimi siamini kama eti hakuelewa alichoulizwaWakati mzungu yupo katika "who contracted Covid", Rais Samia alikuwa bado anatafsiri maneno yaliyopita kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili, kwa hivyo anajibu "Yeah" kwenye habari ya "He was a Chemist" bado.
Ndiyo yale yale niliyoandika hapo juu kwamba saikolojia ya Watanzania wengi ukiwaongelea Kiingereza, hususan ukiwa mzungu, inakwenda kwenye kukubali mambo by default.
Haya mambo mengine Rais inabidi akae na wataalam wamfundishe kwamba maswali mengine inabidi kuchukua sekunde kadhaa kwanza kufikiri kabla ya kujibu.
Yani, ni bora uonekane uko slow kujibu kama Obama, halafu unajibu kitu chenye kueleweka, kuliko kujifanya unawez akujibu haraka haraka, halafu unajibu kituko.
Rais Samia anahitaji team ya wataalam wa mawasiliano wamfundishe mambo mengi sana.
Sifikiri kwamba alitaka kujibu Magufuli kafa kwa Covid. Ni ushamba tu wa mawasiliano, hususan katika Kiingereza.
Pengine hakumaanisha kuwa Rais JPM alikufa kwa covid19, ni presha tu ya mahojiano na maswali mbele ya kamera.Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli aliambukizwa Corona na yeye kujibu ndiyo.
Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
NANUKUU:
Peter: In all honest your predecessor (Magufuli) was not a big friend of Vaccines and of the Science.
Samia: No he's a scientist.
Peter: Even worst!
Samia: He is a chemist… he was a chemist.
Peter: He was a chemist?
Samia: Yes
Peter: Who contracted COVID?
Samia: YEAH!
View attachment 2203911
Kama kulikuwa na tatizo hilo kwa nini hiyo sehemu haikuondolewa au haikuwa edited kabla ya kusambazwa? Mimi siamini kama eti hakuelewa alichoulizwa
Kwa nini hamjawashtaki hao waliommaliza?Sisi tunaojua ukweli kuwa mlimuua sasa mmekuwa mnaangaika kuficha ukweli ila sasa mnaanza kuweweseka kwa kauli mbili mbili ukweli utajulikana tu.kuhusu kovidi kila mtz aliugua hata sa100 na kikwete waliugua na kuugua covid ndiyo kinga yenyewe tuliyo opata watz. KUUGUA COVID SIYO KUFA KWA COVID JPM ALIKUWA MGONJWA HATA KABLA YA KUWA RAIS ILA SISI TUNAJUA ALIMALIZIWA KITANDANI ILI KUSINGIZIA UGONJWA
Unaye huyo mpaka 2030 labda Mungu aamue yakeTuna Rais zuzu sana.
Sijui lini hii nchi itapata Rais mwenye akili timamu.
Una uelewa mdogo Sana, Rais anajua alichojibu na ametoa jibu fupi kwa sababu inaonekana hajataka kuongelea Hilo swali kiundani ,Kuna uwezekano behind the scene alimkataza huyo mzungu kuendelea na Hilo Jambo au alijibu kwa urefu ila ika editiwa ili kutoleta zengweUkweli ni kwamba tunaosikiliza mazungumzo ya rais huyu, utagundua jinsi alivyo hysterical anapokuwa na wazungu. Hapo huyo mzungu ndo anasema ... contracted COVID.. Yeye anaishia kusema YES hata kabla ya sentensi haijafika mwisho. Ni papala za furaha ya kuzungumza na mzungu. Kumbuka anapohojiwa na waafrika anakuwa mwamba mkorofi bila sababu; Ref. mahojiano yake na Kikeke wa BBC.
Watu wengi waliokuwa karibu na Magu walichezewa michezo ya kifo bila wao kujua na mwisho wakammaliza na yeye kabisa kuna doktor mhimbili ana ulinzi wa usalama kamuulizeni alichofanya lkn siku moja kitanuka.....kwa sasa hivi Serikali inatakiwa IKANUSHE hiki tulichosikia ktk Filamu.
..Dr.Abbas, Gerson Msigwa, Zuhura Yunus, hawakutimiza wajibu wao ktk hili.
..haijalishi kama Jpm alikufa kwa covid au la, video ya namna hii haikutakiwa ionekane na hilo ni jukumu la hao watatu hapo juu.
Move imeandaliwa kumdhihaki Magu hujui tu...Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli aliambukizwa Corona na yeye kujibu ndiyo.
Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
NANUKUU:
Peter: In all honest your predecessor (Magufuli) was not a big friend of Vaccines and of the Science.
Samia: No he's a scientist.
Peter: Even worst!
Samia: He is a chemist… he was a chemist.
Peter: He was a chemist?
Samia: Yes
Peter: Who contracted COVID?
Samia: YEAH!
View attachment 2203911
Ile ilikuwa haina ubishi ni covid au something of the kind ! Kutokana na underlying heath problems alizokuwanazo na jinsi alivyokuwa akijiexpose sometimes bila wasiwasi wowote ile ilikuwa ni great risk kwake !!Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli aliambukizwa Corona na yeye kujibu ndiyo.
Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
NANUKUU:
Peter: In all honest your predecessor (Magufuli) was not a big friend of Vaccines and of the Science.
Samia: No he's a scientist.
Peter: Even worst!
Samia: He is a chemist… he was a chemist.
Peter: He was a chemist?
Samia: Yes
Peter: Who contracted COVID?
Samia: YEAH!
View attachment 2203911
Kwani kila anayeambukizwa COVID anakufa?"....Who contracted COVID.....Yeah...." aisee technically fantassy interview by an investigative journalist
Kwa hiyo JPM hakupoteza maisha kwa 'defibrillation complications' ila kwa kuambukizwa na Uviko? Kwa mjibu wa mahojiano haya?
This interview has exposed a lot of coding issues that intellectuals have been enlightened to discern behind the scene, with the situation it is evident that all who were involved in one way or another to claim his life will be brought to book even if it takes half a century.
Mapumba kujibusti?.Cha msingi kafa, wakisema maradhi yote yaliyombeba itahitaji mafaili matano kuyaorodhesha, bado mamchwa yaliyomnasa miaka karibu 20 iliyopita, akawa anatumia mapumba kujibusti
Eeehhh, yale tunayosaidiwa na wafadhili kupambana na julianaMapumba kujibusti?.
Wewe ndio unatatizo na lugha ya king'eng'e huelewi chcochote hata kitu gani alikuwa anahojiwa nachoKwani Wapi amesema JPM alikufa kwa Covid 19? Au lugha ndio tatizo?
Ku contract Covid ndio kufariki kwa Covid? Huko UVCCM English course hawatoagi kwani? Elimu ndogo alafu unajiita intelligence? What a jokeWewe ndio unatatizo na lugha ya king'eng'e huelewi chcochote hata kitu gani alikuwa anahojiwa nacho
bora hata wewe umemwambia mimi nimeona sina hata haja ya kumwambia mtu mjinga anayejifanya mjuaji. Nipo zangu hapa kwa bibi UK naona jinsi wanavyojifanya wajuajiW
Ww mwenyewe kinakupiga chenga. Sio contacted ni contracted. Wabongo wote kiingereza hamjui.
Mlinzi ana Elimu ya utabibu? anayeweza kujua ni daktari wake ambaye Keshambrief Rais Samia sasa huyo mlinzi anajua nini??? Huyo mlinzi ni nobody the day Jpm anazikwa ndio habari yake imeishia hapo hata ikulu ni off limits kwake!!!Atakayeweza kuthibitisha kifo cha JPM ni mlinzi wake tu. So tulia kimya ww bado mdogo kwenye siasa.