Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

Videos hufanyiwa editing na hao wapiga picha kabla ya kurushwa. Hapo ukiangalia vizuri utagundua kuna kitu kimerukwa.
 
Kiingereza kinampiga chenga mleta mada

Hajui tofauti kati ya contacted COVID na died of covid
Wewe ndiyo ungalie kiingereza chako bingwa. Siyo contacted covid, usahihi ni contracted covid. BTW ulishawahi kusikia wametangaza hata huko kuambukizwa kwake covid?
 
..mlinzi wake aliyemshauri atoke machimboni Chato aje kupiga misele Dsm.

..lile lilikuwa kosa kubwa sana na ndilo lilomgharimu Jpm maisha yake.
Ww huwezi kujua chochote ndugu yangu akili zako kwa kifupi level yake inaonekana ipo chini ndio maana unatumia, conclusion za kuambiwa. Hicho kifo chake kitakuja kuelezwa baadaye na viongozi watakaokuja saivi tulia tu.
 
..mlinzi wake aliyemshauri atoke machimboni Chato aje kupiga misele Dsm.

..lile lilikuwa kosa kubwa sana na ndilo lilomgharimu Jpm maisha yake.
Na hiyo ilikuwa mbinu ya deep state jengo jeupe mithiri ya meli ambalo ukijichanganya ukaenda ijumaa unaweza toka Jumatatu,,, pale wanaitana chief hawatajani majina … unapoenda pale aga Kabisa nyumbani maana na simu wanakabidhi mapokezi

Cc Pascal Mayalla
 
Ww huwezi kujua chochote ndugu yangu akili zako kwa kifupi level yake inaonekana ipo chini ndio maana unatumia, conclusion za kuambiwa. Hicho kifo chake kitakuja kuelezwa baadaye na viongozi watakaokuja saivi tulia tu.

..kwa sasa hivi Serikali inatakiwa IKANUSHE hiki tulichosikia ktk Filamu.

..Dr.Abbas, Gerson Msigwa, Zuhura Yunus, hawakutimiza wajibu wao ktk hili.

..haijalishi kama Jpm alikufa kwa covid au la, video ya namna hii haikutakiwa ionekane na hilo ni jukumu la hao watatu hapo juu.
 
He is a Chemistry... oooohh He was a Chemistry
Bongo bado sana rasi Simba anahitaji kuongeza madarasa
Vyote vina maana inategemea unatumia wapi, Mayufuli ni mtuhumiwa na alikuwa mtuhumiwa,

Einstein ni mwanasayansi pekee aliye….. Einstein alikuwa mwanasayansi pekee aliye….
 
Covid waliipata watu wengi tu kwa hiyo siyo ajabu kuwa naye aliipata.
Ila kuhusu kile kilichomuua, sisi tunakwenda na kile ambacho madaktari walisema kimemuua
 
Back
Top Bottom