Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww mwenyewe kinakupiga chenga. Sio contacted ni contracted. Wabongo wote kiingereza hamjui.Kiingereza kinampiga chenga mleta mada
Hajui tofauti kati ya contacted COVID na died of covid
Cha msingi alikufa baada ya kunaswa na Corona!Kiingereza kinampiga chenga mleta mada
Hajui tofauti kati ya contacted COVID na died of covid
Wewe ndiyo ungalie kiingereza chako bingwa. Siyo contacted covid, usahihi ni contracted covid. BTW ulishawahi kusikia wametangaza hata huko kuambukizwa kwake covid?Kiingereza kinampiga chenga mleta mada
Hajui tofauti kati ya contacted COVID na died of covid
Atakayeweza kuthibitisha kifo cha JPM ni mlinzi wake tu. So tulia kimya ww bado mdogo kwenye siasa...wale waliokuwa wakimbishia Tundu Lissu kuhusu kilichomuua Jpm sasa wakamuombe radhi.
Unashusha hadhi kwa kumtaja dikteta mfu Magufuli!Mleta uzi kama kinge kinakupiga chenga acha kudandia dandia mambo mod toa huu uzi unashusha hazi JF
Atakayeweza kuthibitisha kifo cha JPM ni mlinzi wake tu. So tulia kimya ww bado mdogo kwenye siasa.
Ww huwezi kujua chochote ndugu yangu akili zako kwa kifupi level yake inaonekana ipo chini ndio maana unatumia, conclusion za kuambiwa. Hicho kifo chake kitakuja kuelezwa baadaye na viongozi watakaokuja saivi tulia tu...mlinzi wake aliyemshauri atoke machimboni Chato aje kupiga misele Dsm.
..lile lilikuwa kosa kubwa sana na ndilo lilomgharimu Jpm maisha yake.
Wapi Mbona sijasikiaHiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli alikufa kwa Corona na yeye kujibu ndiyo.Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
View attachment 2203911
Mlinzi au Daktari? Mlinzi analinda mwili kwa nje, hawezi kujua huko ndani kuna nini!!!Atakayeweza kuthibitisha kifo cha JPM ni mlinzi wake tu. So tulia kimya ww bado mdogo kwenye siasa.
Na hiyo ilikuwa mbinu ya deep state jengo jeupe mithiri ya meli ambalo ukijichanganya ukaenda ijumaa unaweza toka Jumatatu,,, pale wanaitana chief hawatajani majina … unapoenda pale aga Kabisa nyumbani maana na simu wanakabidhi mapokezi..mlinzi wake aliyemshauri atoke machimboni Chato aje kupiga misele Dsm.
..lile lilikuwa kosa kubwa sana na ndilo lilomgharimu Jpm maisha yake.
Siyo mlinzi bhana, daktariAtakayeweza kuthibitisha kifo cha JPM ni mlinzi wake tu.
Ww huwezi kujua chochote ndugu yangu akili zako kwa kifupi level yake inaonekana ipo chini ndio maana unatumia, conclusion za kuambiwa. Hicho kifo chake kitakuja kuelezwa baadaye na viongozi watakaokuja saivi tulia tu.
Mlinzi, daktari hawezi ongeaSiyo mlinzi bhana, daktari
Vyote vina maana inategemea unatumia wapi, Mayufuli ni mtuhumiwa na alikuwa mtuhumiwa,He is a Chemistry... oooohh He was a Chemistry
Bongo bado sana rasi Simba anahitaji kuongeza madarasa