Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

labda kwasababu sijui kiEnglish, lakini hakuna mahala niliposikia wanasema Mwamba alikufa kwa Covid....
 
... mdogo mdogo MATAGA & Co; wataelewa tu. Ubishi mwingi akili punje ya haradali. Kauli rasmi kutoka kwa Rais na Amri Jeshi Mkuu vyombo vya ulinzi na usalama ambaye taarifa zote za taifa hili ziko mikononi mwake! Nani anapinga kauli ya Amiri Jeshi Mkuu?
Utawezaje kumsifu mtu mpuuzi ambaye mwaka jana tu, aliwaambia wa-TZ kwamba sababu ya kifo ni moyo? Anakuwa mbele ya mzungu anajikuta ameropoka. "YES!" Nadhani ni kuropoka bila kujua maana ya swali aliloulizwa.
 
..kilitakiwa kihakikiwe ile kisitoke public, na huo ni wajibu wa Dr.Abbas, Msigwa, na Zuhura Yunus.

..suala la Jpm kuambukizwa Covid lilitakiwa libakie kuwa SIRI ya wakubwa huko serikalini.
Unajuaje kuwa hakikuhakikiwa? Suala la kutunza siri ni suala la wenye siri huko serikalini.
 
Utawezaje kumsifu mtu mpuuzi ambaye mwaka jana tu, aliwaambia wa-TZ kwamba sababu ya kifo ni moyo? Anakuwa mbele ya mzungu anajikuta ameropoka. "YES!" Nadhani ni kuropoka bila kujua maana ya swali aliloulizwa.
... Rais hakosei Mkuu; mwenyewe aliwahi kulihakikishia taifa kwamba rais hakosei; kauli mpya ina-override ile ya awali huo ndio utaratibu.
 
... Rais hakosei Mkuu; mwenyewe aliwahi kulihakikishia taifa kwamba rais hakosei; kauli mpya ina-override ile ya awali huo ndio utaratibu.
Ukweli ni kwamba tunaosikiliza mazungumzo ya rais huyu, utagundua jinsi alivyo hysterical anapokuwa na wazungu. Hapo huyo mzungu ndo anasema ... contracted COVID.. Yeye anaishia kusema YES hata kabla ya sentensi haijafika mwisho. Ni papala za furaha ya kuzungumza na mzungu. Kumbuka anapohojiwa na waafrika anakuwa mwamba mkorofi bila sababu; Ref. mahojiano yake na Kikeke wa BBC.
 
Ukweli ni kwamba tunaosikiliza mazungumzo ya rais huyu, utagundua jinsi alivyo hysterical anapokuwa na wazungu. Hapo huyo mzungu ndo anasema ... contracted COVID.. Yeye anaishia kusema YES hata kabla ya sentensi haijafika mwisho. Ni papala za furaha ya kuzungumza na mzungu. Kumbuka anapohojiwa na waafrika anakuwa mwamba mkorofi bila sababu; Ref. mahojiano yake na Kikeke wa BBC.
... anyway, kwa mjadala unaondelea kuhusiana na suala hili let's hope wasemaji rasmi wa serikali watafafanua au kuweka mambo sawa Mh. alimaanisha nini.
 
Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli alikufa kwa Corona na yeye kujibu ndiyo.Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
View attachment 2203911
I listened to this clip more than once.
This is what i heard :
"Your predecessor was a complete different president than you are. You know, honestly he is not a big fan of vaccine, he is not a big fan of the science..."
Then mama SH replied.. "No, he is a scientist, remember...he is a chemist...he was a chemist"
Him "...who contracted covid!"
Mama SH: Yeah...

Therefore, if the word 'contract' means decrease in number or range, then it means that covid was decreased and not incresead in number. He wasn't contacted covid but he contracted.

Tusaidiane jamani, lugha hizi zinachanganya. Kama nimeelewa tofauti mnisahihishe.
 
Nimesikia neno Contrasted means aliyepingana/pinga corona. Mkemia/mwanasayansi aliyepingana na corona.
 
Samia amekiri kwamba Magufuli alipata korona.

Sijasikia akisema alifariki kwa sababu ya korona.

Hata hivyo swala la kwamba Magufuli aliwahi kupata korona hili ndio linawekwa wazi na Rais Samia kwa kwa jamii ya watanzania.

Kabla ya hapo hakuna mahali ambapo liliwekwa wazi.

Hii Royal Tour naweza kusema imebeba mambo mengi mno kuliko tunavyofikiri.

1. Ziara ya Rais marekani kwenye kiwanda cha kutengeneza viwatilifu. Kampuni ya Johnson.

2. Wawakilishi wa kampuni ya Johnson walikutana naye hapa Tanzania kabla yakwenda marekani.

3. Samia alivyoingia madarakani alisisitiza mno maswala ya kuchanja, barakoa na kutangaza uwepo wa korona.

4. Documentary ya Royal Tour inabeba maelezo kuhusiana na uwepo wa korona pamoja na umuhimu wa kuchanja. Hapo nashindwa kuhusianisha swala la utalii na chanjo ya korona maana hakuna uhusiano wa kutangaza utalii wetu na kuhamasisha chanjo ya korona.

5. Taratiibu wafanyabiashara walioifadhili Royal Tour pamoja na malengo yao yanakuwa wazi.
 
Lini waliwahi kukiri kuwa aliugua covid?
Kutokukiri kwao kabla kunabatilisha kilichosikika kwenye clip?
Unless kuna makosa katika kutafsiri ila ulichokisikia ndicho kilichotamkwa, kama hakijawahi kuzungumzwa kimezungumzwa sasa na umekisikia.
 
.....who contracted COVID?.....
.......Ambaye alipata COVID?....

It doesn't mean kwamba alikufa kwa COVID! hata kama aliugua.
Nadhani inatakiwa kupata maana ya neno 'contract' kwenye masuala ya magonjwa. Ina maanisha nini?
Kama ni kusambaza, au kupunguza!

Kwasababu majibu ya mama (kama sio editing) basi yanahitaji ufafanuzi.
 
I listened to this clip more than once.
This is what i heard :
"Your predecessor was a complete different person than you are. You know, honestly he is not a big fan of vaccine, he is not a big fan of the science..."
Then mama SH replied.. "No, he is a scientist, remember...he is a chemist...he was a chemist"
Him "...who contracted covid!"
Mama SH: Yeah...

Therefore, if the word 'contract' means decrease in number or range, then it means that covid was decreased and not incresead in number. He wasn't contacted covid but he contracted.

Tusaidiane jamani, lugha hizi zinachanganya. Kama nimeelewwa tofauti mnisahihishe.
Kucontract = kushikwa au kuambukizwa.
Iko wazi kwamba mzungu anamtaka/anamtega mama aadmit kwamba JPM alipata corona. Naye mama anamjibu "yeah" kwa haraka aidha bila kuelewa kilichosemwa au alielewa swali na hiyo ndiyo admission yake kuwa bosi wake aliambukizwa corona.

But who cares? Msimamo wa JPM kuhusu corona ulikuwa sahihi. Kwamba watu wengi walikufa na yeye alikufa is no big deal. Kinachobaki kuwa big deal ni kwamba mzee aliipambania nchi hata kama ni kwa gharama ya uhai. Hakukiogopa kifo, askari mpambanaji, shujaa halisi. Watu kama JPM, japo hawataishi milele, ni tunu, ni zawadi ya Mungu kwa taifa.
 
Back
Top Bottom