econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Bibi Hangaya a.k.a Rambo ni mnafiki namba moja, mara JPM kafa na Cardiac Fibrolliosis mara CORONA, so which is which?
Alipata maambukizi sio kumuua. Sikiliza video vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bibi Hangaya a.k.a Rambo ni mnafiki namba moja, mara JPM kafa na Cardiac Fibrolliosis mara CORONA, so which is which?
Sawa..sawa.
..alipata Covid akafariki kwa tatizo la moyo alilokuwa nalo kwa miaka kadhaa.
Duh! Mbona hoja hii ilishapitwa na wakati tokea Magufuli akiwa hai.Ni wazi tu phase ya kwanza mwaka 2020 alikimbia kijijini kwao.
Ya pili alijitahidi akabidi arudi mjini.
Tukatae au tukubali negligence yake kuhusu huu ugonjwa ilicost watu sana .
Yeye anawambia watu wachape kazi huku yeye akakimbilia kijinini mwezi March hadi May 2020
Ndio Mimi mkuuHiyo avatar yako...jamaa kiboko sana!
Kwa hiyo hiyo Corona alipata lini...!!?Kiingereza kinampiga chenga mleta mada
Hajui tofauti kati ya contacted COVID na died of covid
Kwenye nchi ambazo hawakukimbilia kijijini vipi hali zao zilikuwaje?Ni wazi tu phase ya kwanza mwaka 2020 alikimbia kijijini kwao.
Ya pili alijitahidi akabidi arudi mjini.
Tukatae au tukubali negligence yake kuhusu huu ugonjwa ilicost watu sana .
Yeye anawambia watu wachape kazi huku yeye akakimbilia kijinini mwezi March hadi May 2020
Mkuu hawa bavicha ni wapumbavu mnoI listened to this clip more than once.
This is what i heard :
"Your predecessor was a complete different person than you are. You know, honestly he is not a big fan of vaccine, he is not a big fan of the science..."
Then mama SH replied.. "No, he is a scientist, remember...he is a chemist...he was a chemist"
Him "...who contracted covid!"
Mama SH: Yeah...
Therefore, if the word 'contract' means decrease in number or range, then it means that covid was decreased and not incresead in number. He wasn't contacted covid but he contracted.
Tusaidiane jamani, lugha hizi zinachanganya. Kama nimeelewwa tofauti mnisahihishe.
Kwani kuna ushahidi wenye kuthibitisha maneno ya Lissu au bado kuna maneno tu?
Mleta mada ni tahira! Hivyo asingeweza kusikia hayo uliyosikia weweNimesikia neno Contrasted means aliyepingana/pinga corona. Mkemia/mwanasayansi aliyepingana na corona.
Mleta mada ni tahira! Hivyo asingeweza kusikia hayo uliyosikia wewe
Sawa
Tokea iingie corona maradhi mengine yame stop kusababisha kifo.
Hiyo clip mbona imeunganishwa hiyo!? Acheni upotoshajiMovie lazima uwe na weledi na ubunifu ili ivutie na kutazamwa na wengi
kuna wengi watataka kuitazama waone sehemu hiyo
Ndio nasema hayo maradhi mengine yamestopisha kusababisha vifo, kwa maana kama una kisukari au maradhi ya moyo na ukawa na corona basi ukifa itahesabika ni kifo cha corona tu na si vinginevyo...corona ni kama booster ya hayo maradhi mengine.
Yes, kama kuuza gazeti, bila chachandu hauuziMovie lazima uwe na weledi na ubunifu ili ivutie na kutazamwa na wengi
kuna wengi watataka kuitazama waone sehemu hiyo
Na kuongelea Afya ya Kiongozi aliyepita kinatangaza utalii how ?
Si hizo sekunde wangetumia kuongelea Sokwe au Simba wanaopanda miti
Nimeuliza kuna ushahidi kama kwenye royal tour kuna ushahidi sawa ila kama hakuna sioni sababu ya kwenda kuangalia movie...kaangalie Royal Tour.
Daa nielekezeni namna ya kufungua attachment please!Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli alikufa kwa Corona na yeye kujibu ndiyo.Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
View attachment 2203911