Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

Aliekuwa anamhoji Samia baada ya kuuliza kama Magufuli alikuwa contracted na covid na kujibiwa ndiyo alimalizia kuwa:......"na wewe ndiyo ukaupata urais".Unaelewa maana ya hii sentensi?!
Sikiliza sekunde ya 19-20
It is when you became president
Sio then you became president

Em nikalale mie
Umetushughulisha buree
 
Na hiyo ilikuwa mbinu ya deep state jengo jeupe mithiri ya meli ambalo ukijichanganya ukaenda ijumaa unaweza toka Jumatatu,,, pale wanaitana chief hawatajani majina … unapoenda pale aga Kabisa nyumbani maana na simu wanakabidhi mapokezi

Cc Pascal Mayalla
Dah!...hii nchi ina mengi sana sirini.
 
Sikiliza tena mara tatu utaelewa swali na jibu lake, take it easy don't rush! Halafu uwe a dictionary karibu, au Google - kila neno utafute maana yake, utaelewa! Hasa neno contracted! Compare that word na haya - died of, sucurm to!
Na ile timu yake je, wote walikuwa na pacemaker ?!
Kwamba sabb halisi ni C19 wala haihitaji maelezo marefu wala mijadala!
 
Kaingia Wenge tu chezea mombo wewe
Hata mimi naona kajibu kwa wenge, chezea yai wewe unaweza tamka 'yes' hata kama umeambiwa tunataka kukuchinja saa hizi........yai weka mbali na watoto....
 
alikuwa na hofu maana kiingereza sio lugha yetu, alijichanganya tu
 
Chezea beberu weye hapo kashampima maza kuwa akichomeka anaingia king . Huyu green wapi alitangaziwa kuwa alipata covid
 
Tatizo lugha, huyo journalist alichomeka bila mama kujua naye kaitikia yes yes kibongo kibongo. Lakini ingekuwa kiswahili asingejibu hivyo.
Maana Mama anajua JPM alikufa kwa sababu ya pacemaker ya moyo na siyo Corona ndo maana wenza wao hawakupa hata mafua, japo ni umafya wa hali ya juu ulitumika kuwaondoa hao watu, katibu mkuu wake, kaimu katibu mkuu wake, barozi maiga, etc. Ingekuwa ni Corona Samia naye angepata, mke wake etc.

Mama hakuwa anajua anacho jibu hapo alijibu tuuu..kimsingi hakuelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimegundua wengi hamujui kizungu.

HE CONTRACTED COVID, sio sawa na HE DIED OF COVID.
 
Hakuna sehemu kwenye clip yako amesema amekufa kwa covid ila kakubali kuwa alipata covid.
Kwa hiyo Mafuguli alipata kwanza Covid ndio akafa au alikufa kwanza ndio akapata covid?

Kama Covid ilimcharaza kwanza, possible iliharakisha kifo chake.
 
Lile wimbi la Kwanza nakumbuka Magufuli aliwahi kukiri kupata covid na akapona
 
Tundu Lissu kasema kuwa, Rais Samia katika filamu ya Royal Tour, akubali kuwa Rais Magufuli alikufa kwa UVIKO-19.

Lissu kayasema hayo akiwa katika mazungumzo na Maria Sarungi.

Yasikilizeni mazungumzo hayo. Ni marefu kidogo. Ila nawarahisishia. Pale ambapo anamzungumzia Samia kukiri kilichomuua Magufuli, ni kuanzia dakika ya 35 hadi 39.



Kwa manufaa ya uwazi, mimi binafsi sijaiangalia hiyo filamu.

Hapa naleta tu kile alichokidai Lissu, ambaye kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kaiangalia hiyo filamu.

Lakini pia, ikumbukwe, ni Lissu huyu huyu aliwahi kudai kuwa yule mlinzi wa Magufuli; huyu hapa chini kwenye picha, kwamba naye alikufa kwa UVIKO-19, ilhali wakati Lissu anadai hivyo, jamaa alikuwa bado yu hai na ni matumaini yangu kuwa bado yu hai.

Ni huyo aliye kulia kwa Magufuli na kavaa kiraia.

908D9006-4F11-4B6F-A41D-AEDFAE05A116.jpeg


Hivyo, maneno ya Lissu ni muhimu kuyasikiliza kwa umakini na si kuyabeba yote kama yalivyo bila kuushirikisha ubongo wako.

Na kama ni kweli Samia kakubali kuwa Magufuli alikufa kwa ugonjwa huo, basi hili nalo linazua masuala mengi sana.

Je, kukiri kwake huko ni Freudian Slip?

Je, wahariri wa Kitanzania wa hiyo filamu, kama wapo, waliona na kusikia alichokikubali Samia na wakakiacha kiwepo kwa makusudi au hata hawakukiona na kukisikia?

Kama ni kweli Samia kakiri, kwa nini sasa alitudanganya kuwa Magufuli kafa kutokana na ugonjwa wa moyo?

Ni nani atakuja kumuuliza kuhusu mkanganyiko huu?

Maana hata huyo Tundu Lissu mwenyewe mpaka leo hii bado hajaulizwa kuhusu huo uzushi wake wa kifo cha mlinzi wa Magufuli ambaye wote tulimwona akishiriki kwenye mazishi ya mlindwa wake.

Kwa ambao mmeiangalia hiyo filamu, hebu tujuzeni.

Ni kweli Samia alikubaliana na huyo Peter aliposema kuwa Magufuli alikufa kwa UVIKO-19?
 
Mimi binafsi nimetazama kile kipande nachelea kusema ni wazi na pengine Samia hakuelewa anaulizwa nini maana ukisikiliza na kutazama mwanzo mwisho kwenye hilo la mazungumzo ya corona unajua kabisa hakuwa anaelewa anaulizwa nini?
 
Tundu Lissu kasema kuwa, Rais Samia katika filamu ya Royal Tour, akubali kuwa Rais Magufuli alikufa kwa UVIKO-19.

Lissu kayasema hayo akiwa katika mazungumzo na Maria Sarungi.

Yasikilizeni mazungumzo hayo. Ni marefu kidogo. Ila nawarahisishia. Pale ambapo anamzungumzia Samia kukiri kilichomuua Magufuli, ni kuanzia dakika ya 35 hadi 39.



Kwa manufaa ya uwazi, mimi binafsi sijaiangalia hiyo filamu.

Hapa naleta tu kile alichokidai Lissu, ambaye kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kaiangalia hiyo filamu.

Lakini pia, ikumbukwe, ni Lissu huyu huyu aliwahi kudai kuwa yule mlinzi wa Magufuli; huyu hapa chini kwenye picha, kwamba naye alikufa kwa UVIKO-19, ilhali wakati Lissu anadai hivyo, jamaa alikuwa bado yu hai na ni matumaini yangu kuwa bado yu hai.

Ni huyo aliye kulia kwa Magufuli na kavaa kiraia.

View attachment 2204968

Hivyo, maneno ya Lissu ni muhimu kuyasikiliza kwa umakini na si kuyabeba yote kama yalivyo bila kuushirikisha ubongo wako.

Na kama ni kweli Samia kakubali kuwa Magufuli alikufa kwa ugonjwa huo, basi hili nalo linazua masuala mengi sana.

Je, kukiri kwake huko ni Freudian Slip?

Je, wahariri wa Kitanzania wa hiyo filamu, kama wapo, waliona na kusikia alichokikubali Samia na wakakiacha kiwepo kwa makusudi au hata hawakukiona na kukisikia?

Kama ni kweli Samia kakiri, kwa nini sasa alitudanganya kuwa Magufuli kafa kutokana na ugonjwa wa moyo?

Ni nani atakuja kumuuliza kuhusu mkanganyiko huu?

Maana hata huyo Tundu Lissu mwenyewe mpaka leo hii bado hajaulizwa kuhusu huo uzushi wake wa kifo cha mlinzi wa Magufuli ambaye wote tulimwona akishiriki kwenye mazishi ya mlindwa wake.

Kwa ambao mmeiangalia hiyo filamu, hebu tujuzeni.

Ni kweli Samia alikubaliana na huyo Peter aliposema kuwa Magufuli alikufa kwa UVIKO-19?

Unadhani Kijazi na wale marehemu wengine wawili waliokuwa wakikaa karibu sana na Magufuli hasa wakati wa kuapisha nao walikufa kwa tatizo la umeme wa moyo?
 
Back
Top Bottom