Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

Ndio maana JPM alikuwa naogopa kuongea na waandishi wa habari hata wa Kiswahili... Kwa Kiingereza ndio basi tena.
Mimi binafsi nimetazama kile kipande nachelea kusema ni wazi na pengine Samia hakuelewa anaulizwa nini maana ukisikiliza na kutazama mwanzo mwisho kwenye hilo la mazungumzo ya corona unajua kabisa hakuwa anaelewa anaulizwa nini?
 
Mimi binafsi nimetazama kile kipande nachelea kusema ni wazi na pengine Samia hakuelewa anaulizwa nini maana ukisikiliza na kutazama mwanzo mwisho kwenye hilo la mazungumzo ya corona unajua kabisa hakuwa anaelewa anaulizwa nini?
Hata mimi nimelifikiria hilo.

Maana hata alipokuwa US alipokuwa anaulizwa maswali, unaona kabisa alikuwa haelewi elewi anachoulizwa.

Sasa inawezekana yeye Hangaya alisema tu ‘yeah’ bila kuelewa alichokuwa anakisema huyo ‘Piraa’

🤣🤣
 
Sumu tuliifuata Urusi ili kuokoa kijana wetu aliyekamatwa na madawa ya kulevya China tukabadilisha na gase ya Mtwara.

Tulimuua mengine ni danganya toto.

Ila tulianza na yuleeeeeeee! Halafu Kwandi
 
Mimi binafsi nimetazama kile kipande nachelea kusema ni wazi na pengine Samia hakuelewa anaulizwa nini maana ukisikiliza na kutazama mwanzo mwisho kwenye hilo la mazungumzo ya corona unajua kabisa hakuwa anaelewa anaulizwa nini?
Kujitetea au wewe ndo BiM
 
Tundu Lissu kasema kuwa, Rais Samia katika filamu ya Royal Tour, akubali kuwa Rais Magufuli alikufa kwa UVIKO-19.

Lissu kayasema hayo akiwa katika mazungumzo na Maria Sarungi.

Yasikilizeni mazungumzo hayo. Ni marefu kidogo. Ila nawarahisishia. Pale ambapo anamzungumzia Samia kukiri kilichomuua Magufuli, ni kuanzia dakika ya 35 hadi 39.



Kwa manufaa ya uwazi, mimi binafsi sijaiangalia hiyo filamu.

Hapa naleta tu kile alichokidai Lissu, ambaye kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kaiangalia hiyo filamu.

Lakini pia, ikumbukwe, ni Lissu huyu huyu aliwahi kudai kuwa yule mlinzi wa Magufuli; huyu hapa chini kwenye picha, kwamba naye alikufa kwa UVIKO-19, ilhali wakati Lissu anadai hivyo, jamaa alikuwa bado yu hai na ni matumaini yangu kuwa bado yu hai.

Ni huyo aliye kulia kwa Magufuli na kavaa kiraia.

View attachment 2204968

Hivyo, maneno ya Lissu ni muhimu kuyasikiliza kwa umakini na si kuyabeba yote kama yalivyo bila kuushirikisha ubongo wako.

Na kama ni kweli Samia kakubali kuwa Magufuli alikufa kwa ugonjwa huo, basi hili nalo linazua masuala mengi sana.

Je, kukiri kwake huko ni Freudian Slip?

Je, wahariri wa Kitanzania wa hiyo filamu, kama wapo, waliona na kusikia alichokikubali Samia na wakakiacha kiwepo kwa makusudi au hata hawakukiona na kukisikia?

Kama ni kweli Samia kakiri, kwa nini sasa alitudanganya kuwa Magufuli kafa kutokana na ugonjwa wa moyo?

Ni nani atakuja kumuuliza kuhusu mkanganyiko huu?

Maana hata huyo Tundu Lissu mwenyewe mpaka leo hii bado hajaulizwa kuhusu huo uzushi wake wa kifo cha mlinzi wa Magufuli ambaye wote tulimwona akishiriki kwenye mazishi ya mlindwa wake.

Kwa ambao mmeiangalia hiyo filamu, hebu tujuzeni.

Ni kweli Samia alikubaliana na huyo Peter aliposema kuwa Magufuli alikufa kwa UVIKO-19?
Lissu Yuko sahihi Kwa vyote

Ushahidi mwingine wa hasara alizosababisha yule mshamba hizi hapo chini
Screenshot_20220429-174827.jpg
 
Hata mimi nimelifikiria hilo.

Maana hata alipokuwa US alipokuwa anaulizwa maswali, unaona kabisa alikuwa haelewi elewi anachoulizwa.

Sasa inawezekana yeye Hangaya alisema tu ‘yeah’ bila kuelewa alichokuwa anakisema huyo ‘Piraa’

[emoji1787][emoji1787]

Ukitazama kile kipande ni ya wazi hakuzamiria kumaanisha kuwa Magufuli alikufa kwa Corona maana jamaa kama alimpandishia maswali wakati yuko kwenye mood ya swali lililopita na yeye akajikuta anasema “yaaah”

Rais hakuelewa anaulizwa nini hakuiwa dhamira yake kukubali kuwa Magufuli alikufa kwa Corona
 
Nilichoelewa ni kwamba Hayati Magufuli aliambukizwa COVID-19 lakini huenda hakufariki kwasababu ya COVID-19.
 
Ukitazama kile kipande ni ya wazi hakuzamiria kumaanisha kuwa Magufuli alikufa kwa Corona maana jamaa kama alimpandishia maswali wakati yuko kwenye mood ya swali lililopita na yeye akajikuta anasema “yaaah”

Rais hakuelewa anaulizwa nini hakuiwa dhamira yake kukubali kuwa Magufuli alikufa kwa Corona
Lakin alikua ana uwezo wa kuzuia hiyo sehem isiwekwe kwenye hiyo filam
 
... mdogo mdogo MATAGA & Co; wataelewa tu. Ubishi mwingi akili punje ya haradali. Kauli rasmi kutoka kwa Rais na Amri Jeshi Mkuu vyombo vya ulinzi na usalama ambaye taarifa zote za taifa hili ziko mikononi mwake! Nani anapinga kauli ya Amiri Jeshi Mkuu?
Hahaah inabidi nicheke tu.
 
Uzuri ni kwamba maradhi yaliacha kuua viongozi wakubwa wa serikali baadae ya Magufuli kufariki
 
Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli aliambukizwa Corona na yeye kujibu ndiyo.

Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.

NANUKUU:

Peter: In all honest your predecessor (Magufuli) was not a big friend of Vaccines and of the Science.

Samia: No he's a scientist.

Peter: Even worst!

Samia: He is a chemist… he was a chemist.

Peter: He was a chemist?

Samia: Yes

Peter: Who contracted COVID?

Samia: YEAH!

View attachment 2203911
Unataka kusema tuna Rais muongo siyo ??maana alisema JPM amekufa kwa heart attack ikiyosababishwa na chronic attrial fibrillation!! Acheni ujinga aisee.korona haiuwi ndani ya wiki moja!! Mungu ni mwema .iko siku tutajua yote.
 
Kifo cha JPM kitakuja kule mambo mengi sana huko mbeleni. Maswali badala ya kupungua yanaongezeka.
 
Tundu Lissu kasema kuwa, Rais Samia katika filamu ya Royal Tour, akubali kuwa Rais Magufuli alikufa kwa UVIKO-19.

Lissu kayasema hayo akiwa katika mazungumzo na Maria Sarungi.

Yasikilizeni mazungumzo hayo. Ni marefu kidogo. Ila nawarahisishia. Pale ambapo anamzungumzia Samia kukiri kilichomuua Magufuli, ni kuanzia dakika ya 35 hadi 39.



Kwa manufaa ya uwazi, mimi binafsi sijaiangalia hiyo filamu.

Hapa naleta tu kile alichokidai Lissu, ambaye kwa mujibu wake yeye mwenyewe, kaiangalia hiyo filamu.

Lakini pia, ikumbukwe, ni Lissu huyu huyu aliwahi kudai kuwa yule mlinzi wa Magufuli; huyu hapa chini kwenye picha, kwamba naye alikufa kwa UVIKO-19, ilhali wakati Lissu anadai hivyo, jamaa alikuwa bado yu hai na ni matumaini yangu kuwa bado yu hai.

Ni huyo aliye kulia kwa Magufuli na kavaa kiraia.

View attachment 2204968

Hivyo, maneno ya Lissu ni muhimu kuyasikiliza kwa umakini na si kuyabeba yote kama yalivyo bila kuushirikisha ubongo wako.

Na kama ni kweli Samia kakubali kuwa Magufuli alikufa kwa ugonjwa huo, basi hili nalo linazua masuala mengi sana.

Je, kukiri kwake huko ni Freudian Slip?

Je, wahariri wa Kitanzania wa hiyo filamu, kama wapo, waliona na kusikia alichokikubali Samia na wakakiacha kiwepo kwa makusudi au hata hawakukiona na kukisikia?

Kama ni kweli Samia kakiri, kwa nini sasa alitudanganya kuwa Magufuli kafa kutokana na ugonjwa wa moyo?

Ni nani atakuja kumuuliza kuhusu mkanganyiko huu?

Maana hata huyo Tundu Lissu mwenyewe mpaka leo hii bado hajaulizwa kuhusu huo uzushi wake wa kifo cha mlinzi wa Magufuli ambaye wote tulimwona akishiriki kwenye mazishi ya mlindwa wake.

Kwa ambao mmeiangalia hiyo filamu, hebu tujuzeni.

Ni kweli Samia alikubaliana na huyo Peter aliposema kuwa Magufuli alikufa kwa UVIKO-19?

👆
.. Contradiction...

Pascal Mayalla lwaitama1
Kiranga FaizaFoxy
Nguruvi3 zitto junior
Bulesi Wick
Lusungo Mag3
britanicca Chige
FisadiKuu Drifter
Rebeca 83 Sophist
 
Back
Top Bottom