SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Duh!
" President John Magufuli who denied COVID-19 existed"
huu mstari mmoja umetumiwa na vianzo vikubwa vya habari duniani.
Binafsi sijaona lini au wapi amesema ' hakuna COVID-19'. Kwa uelewa wangu COVID-19 ni kirusi.
Niliyowahi kusikia, ni pale aliposema "...kinaweza kufa na joto..." Najiuliza, imekuwaje waandishi wa habari hawakuona au kusikia hayo?
Kwanini walitumia maneno hayo wakijuwa kwamba siyo kweli alikataa uwepo wa Kirusi?
Huyo muuliza maswali aidha kwa makusudi au la, Je aliamini yaliyoenea mitandaoni na baadae kwenye vyombo vikubwa vya habari ni ya kweli?
Sina majibu, ila ninachojua na alichokataa ni uwepo wa "Pandemic" na sio uwepo wa kirusi. Nina uhakika hatukuwa na vigezo vya kutamka kuwa Tanzania tuna Pandemic.
....mategemeo yangu yalikuwa Mh Raisi angeweza kutatua kinzani hiyo lakini nilichopata ni "yeah"
I am disappointed.
" President John Magufuli who denied COVID-19 existed"
huu mstari mmoja umetumiwa na vianzo vikubwa vya habari duniani.
Binafsi sijaona lini au wapi amesema ' hakuna COVID-19'. Kwa uelewa wangu COVID-19 ni kirusi.
Niliyowahi kusikia, ni pale aliposema "...kinaweza kufa na joto..." Najiuliza, imekuwaje waandishi wa habari hawakuona au kusikia hayo?
Kwanini walitumia maneno hayo wakijuwa kwamba siyo kweli alikataa uwepo wa Kirusi?
Huyo muuliza maswali aidha kwa makusudi au la, Je aliamini yaliyoenea mitandaoni na baadae kwenye vyombo vikubwa vya habari ni ya kweli?
Sina majibu, ila ninachojua na alichokataa ni uwepo wa "Pandemic" na sio uwepo wa kirusi. Nina uhakika hatukuwa na vigezo vya kutamka kuwa Tanzania tuna Pandemic.
....mategemeo yangu yalikuwa Mh Raisi angeweza kutatua kinzani hiyo lakini nilichopata ni "yeah"
I am disappointed.