Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

Nimekiangalia kipande anachokizungumzia Lissu.

Huenda Samia hakujua maana ya neno ‘contract’ as in ‘he contracted COVID’.

🤣.
 
Nimekiangalia kipande anachokizungumzia Lissu.

Huenda Samia hakujua maana ya neno ‘contract’ as in ‘he contracted COVID’.

🤣.
Dakika ya ngapi?

Watanzania wengi wakiwa na wazungu, wazungu wakiwa wanaongea Kiingereza, Watanzania wasiojua Kiingereza vizuri wanakosa kujiamini na wanaishia kukubali tu.

Kuna mchizi mmoja alikuwa anasema mademu wa kibongo ukiwatongoza Kiingereza wanakubali kirahisi sana.

Labda na huyu kapigwa kimombo, kakubali mpaka asiyoyaelewa.
 
It's confusing....

..Rais wa Marekani, Waziri Mkuu, na Malkia wa Uingereza wote aliambukizwa Covid.

..Hivi kuna ajabu gani kuwa Jpm naye aliambukizwa Covid?

..Na kama Ssh hakumaanisha hicho alichosema basi Ikulu ilitakiwa ikanushe.

..Hii filamu imerushwa New York, Los Angeles, na Arusha, kwa hiyo muda wa kurekebisha kauli hiyo ulikuwepo.

..Kwamba hawajakanusha ina maana gani?
 
Watanzania wengi wakiwa na wazungu, wazungu wakiwa wanaongea Kiingereza, Watanzania wasiojua Kiingereza vizuri wanakosa kujiamini na wanaishia kukubali tu.

Kuna mchizi mmoja alikuwa anasema mademu wa kibongo ukiwatongoza Kiingereza wanakubali kirahisi sana.

Labda na huyu kapigwa kimombo, kakubali mpaka asiyoyaelewa.
Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli aliambukizwa Corona na yeye kujibu ndiyo.

Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.

NANUKUU:

Peter: In all honest your predecessor (Magufuli) was not a big friend of Vaccines and of the Science.

Samia: No he's a scientist.

Peter: Even worst!

Samia: He is a chemist… he was a chemist.

Peter: He was a chemist?

Samia: Yes

Peter: Who contracted COVID?

Samia: YEAH!

View attachment 2203911
Hiyo hapo!

Msikilize….
 
... mdogo mdogo MATAGA & Co; wataelewa tu. Ubishi mwingi akili punje ya haradali. Kauli rasmi kutoka kwa Rais na Amri Jeshi Mkuu vyombo vya ulinzi na usalama ambaye taarifa zote za taifa hili ziko mikononi mwake! Nani anapinga kauli ya Amiri Jeshi Mkuu?
Ni ujinga tu wa mataga na sukumagangs... Dalili zilikuwa wazi kabisa
 
..Rais wa Marekani, Waziri Mkuu, na Malkia wa Uingereza wote aliambukizwa Covid.

..Hivi kuna ajabu gani kuwa Jpm naye aliambukizwa Covid?

..Na kama Ssh hakumaanisha hicho alichosema basi Ikulu ilitakiwa ikanushe.

..Hii filamu imerushwa New York, Los Angeles, na Arusha, kwa hiyo muda wa kurekebisha kauli hiyo ulikuwepo.

..Kwamba hawajakanusha ina maana gani?
Msitafute wafu miongoni mwa wazima...
 
Hiyo hapo!

Msikilize….
Wakati mzungu yupo katika "who contracted Covid", Rais Samia alikuwa bado anatafsiri maneno yaliyopita kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili, kwa hivyo anajibu "Yeah" kwenye habari ya "He was a Chemist" bado.

Ndiyo yale yale niliyoandika hapo juu kwamba saikolojia ya Watanzania wengi ukiwaongelea Kiingereza, hususan ukiwa mzungu, inakwenda kwenye kukubali mambo by default.

Haya mambo mengine Rais inabidi akae na wataalam wamfundishe kwamba maswali mengine inabidi kuchukua sekunde kadhaa kwanza kufikiri kabla ya kujibu.

Yani, ni bora uonekane uko slow kujibu kama Obama, halafu unajibu kitu chenye kueleweka, kuliko kujifanya unawez akujibu haraka haraka, halafu unajibu kituko.

Rais Samia anahitaji team ya wataalam wa mawasiliano wamfundishe mambo mengi sana.

Sifikiri kwamba alitaka kujibu Magufuli kafa kwa Covid. Ni ushamba tu wa mawasiliano, hususan katika Kiingereza.
 
Hiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli aliambukizwa Corona na yeye kujibu ndiyo.

Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.

NANUKUU:

Peter: In all honest your predecessor (Magufuli) was not a big friend of Vaccines and of the Science.

Samia: No he's a scientist.

Peter: Even worst!

Samia: He is a chemist… he was a chemist.

Peter: He was a chemist?

Samia: Yes

Peter: Who contracted COVID?

Samia: YEAH!

View attachment 2203911
Usikute hakuelewa alichokuwa anaulizwa, aliitikia tu ila kwa kuwa ni kiongozi wa CCM sitashangaa kwa yeye kuwa kigeugeu. Mwanzoni mwaka jana alinikuliwa kwa kusema Magufuli alikufa kutokana na hitilafu ya umeme moyoni, sasa anaitikia kuwa alikufa kwa Covid. Hivi kwanini hatuna viongozi wanaojitambua, tutafika kweli huko tuendako jamani?
 
Kiingereza kinampiga chenga mleta mada

Hajui tofauti kati ya contacted COVID na died of covid
Sasa wewe nafuu yako ipo wapi kuanza kumcheka mwenzio?

Hiyo "contacted" inaeleza kitu gani hapo? Na najua utabisha, kwa sababu huoni kosa ni lipi hapo.
 
Dakika ya ngapi?

Watanzania wengi wakiwa na wazungu, wazungu wakiwa wanaongea Kiingereza, Watanzania wasiojua Kiingereza vizuri wanakosa kujiamini na wanaishia kukubali tu.

Kuna mchizi mmoja alikuwa anasema mademu wa kibongo ukiwatongoza Kiingereza wanakubali kirahisi sana.

Labda na huyu kapigwa kimombo, kakubali mpaka asiyoyaelewa.
Kwahiyo wanakubalikirahisi sana mpaka unampeleka chumbani unamvua bado kingereza tu kinamchanganya?🤣🤣
 
Usikute hakuelewa alichokuwa anaulizwa, aliitikia tu ila kwa kuwa ni kiongozi wa CCM sitashangaa kwa yeye kuwa kigeugeu. Mwanzoni mwaka jana alinikuliwa kwa kusema Magufuli alikufa kutokana na hitilafu ya umeme moyoni, sasa anaitikia kuwa alikufa kwa Covid. Hivi kwanini hatuna viongozi wanaojitambua, tutafika kweli huko tuendako jamani?
Madaktari wanasema mtu akiwa namaradhi sugu kama moyo au kisukari ni rahisi sana kupata compications. So Alichotagaza Rais kinaweza kuwa sawa 100%

Mtu mwenye covid-19 anaweza kufa kwa kisukari auHeart Attack au vyote viwili.
 
Wakati mzungu yupo katika "who contracted Covid", Rais Samia alikuwa bado anatafsiri maneno yaliyopita kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili, kwa hivyo anajibu "Yeah" kwenye habari ya "He was a Chemist" bado.

Ndiyo yale yale niliyoandika hapo juu kwamba saikolojia ya Watanzania wengi ukiwaongelea Kiingereza, hususan ukiwa mzungu, inakwenda kwenye kukubali mambo by default.

Haya mambo mengine Rais inabidi akae na wataalam wamfundishe kwamba maswali mengine inabidi kuchukua sekunde kadhaa kwanza kufikiri kabla ya kujibu.

Yani, ni bora uonekane uko slow kujibu kama Obama, halafu unajibu kitu chenye kueleweka, kuliko kujifanya unawez akujibu haraka haraka, halafu unajibu kituko.

Rais Samia anahitaji team ya wataalam wa mawasiliano wamfundishe mambo mengi sana.

Sifikiri kwamba alitaka kujibu Magufuli kafa kwa Covid. Ni ushamba tu wa mawasiliano, hususan katika Kiingereza.
Sasa kwa nini hawakulishughulikia hilo wakati wa editing na/ au previewing?

Kauli za Rais zina uzito usio sawa na kauli za viongozi wengine katika nchi.

Au hawakuwa [team Samia] na say so yoyote ile kwenye hiyo documentary?

Najua utakuwa unajua kuwa huku [US] kiongozi akiwa kwenye mahojiano na chombo cha habari, handlers wake wanakuwa hawapo mbali na mara nyingine huingilia kati kama wakiona mtu wao kaulizwa swali lisilo au katoa jibu lisilo.

Na mara nyingine hutoa hata statement ya ufafanuzi.

Ila sitashangaa endapo handlers wa Samia ni watu wa aina yake [kiuwezo], hivyo hata wao huenda hawakuona tatizo lolote lile katika jibu alilotoa mtu wao.

Kwa kawaida, mtu makini huchagua watu makini wa kumsaidia.

Wasaidizi wa Samia wanaakisi tu vile na yeye alivyo….
 
Sasa kwa nini hawakulishughulikia hilo wakati wa editing na/ au previewing?

Kauli za Rais zina uzito usio sawa na kauli za viongozi wengine katika nchi.

Au hawakuwa [team Samia] na say so yoyote ile kwenye hiyo documentary?

Najua utakuwa unajua kuwa huku [US] kiongozi akiwa kwenye mahojiano na chombo cha habari, handlers wake wanakuwa hawapo mbali na mara nyingine huingilia kati kama wakiona mtu wao kaulizwa swali lisilo au katoa jibu lisilo.

Na mara nyingine hutoa hata statement ya ufafanuzi.

Ila sitashangaa endapo handlers wa Samia ni watu wa aina yake [kiuwezo], hivyo hata wao huenda hawakuona tatizo lolote lile katika jibu alilotoa mtu wao.

Kwa kawaida, mtu makini huchagua watu makini wa kumsaidia.

Wasaidizi wa Samia wanaakisi tu vile na yeye alivyo….
Kuna yule Mama aliyemtoa BBC, Zuhura Yunus.

Wote ni wale wale tu the blind leading the blind.
 
Kuna yule Mama aliyemtoa BBC, Zuhura Yunus.

Wote ni wale wale tu the blind leading the blind.
Kwa hiyo ukweli ufichwe

Huwezi kuficha ukweli, Uwongo una muda wake na hupotea kwa muda sana lakini ukweli huchelewa lakini unadumu

Issue ya Korona kuhusu Mzee ilisemwa sana na kukanushwa na Mamlaka lakini karma inafanya kazi Mama automatic kaongea na watu wameelewa


Nchi hii usanii na uwongo ni mwingi sana, Hata mambo ya jamii yanafanywa Siri, Rais ni public figure, Raia wanapaswa kuambiwa hali ya kiongozi wao

Mbona Uingereza hakuna siri ya viongozi, Wanasema live Malikia amelazwa hali sio nzuri, Waziri mkuu anaumwa hali ni tete, Ni kawaida tu uingereza
 
Kwa hiyo ukweli ufichwe

Huwezi kuficha ukweli, Uwongo una muda wake na hupotea kwa muda sana lakini ukweli huchelewa lakini unadumu

Issue ya Korona kuhusu Mzee ilisemwa sana na kukanushwa na Mamlaka lakini karma inafanya kazi Mama automatic kaongea na watu wameelewa


Nchi hii usanii na uwongo ni mwingi sana, Hata mambo ya jamii yanafanywa Siri, Rais ni public figure, Raia wanapaswa kuambiwa hali ya kiongozi wao

Mbona Uingereza hakuna siri ya viongozi, Wanasema live Malikia amelazwa hali sio nzuri, Waziri mkuu anaumwa hali ni tete, Ni kawaida tu uingereza

Sijasema popote ukweli ufichwe, nimesema Rais afundishwe jinsi ya kuongea, asije kukoseakosea kwenye mambo mengi mengine tu kwa kimbelembele cha kujibu harakaharaka.

Jua kusoma kwa ufahamu.
 
Sasa kwa nini hawakulishughulikia hilo wakati wa editing na/ au previewing?

Kauli za Rais zina uzito usio sawa na kauli za viongozi wengine katika nchi.

Au hawakuwa [team Samia] na say so yoyote ile kwenye hiyo documentary?

Najua utakuwa unajua kuwa huku [US] kiongozi akiwa kwenye mahojiano na chombo cha habari, handlers wake wanakuwa hawapo mbali na mara nyingine huingilia kati kama wakiona mtu wao kaulizwa swali lisilo au katoa jibu lisilo.

Na mara nyingine hutoa hata statement ya ufafanuzi.

Ila sitashangaa endapo handlers wa Samia ni watu wa aina yake [kiuwezo], hivyo hata wao huenda hawakuona tatizo lolote lile katika jibu alilotoa mtu wao.

Kwa kawaida, mtu makini huchagua watu makini wa kumsaidia.

Wasaidizi wa Samia wanaakisi tu vile na yeye alivyo….
Acha wivu
 
Sasa kwa nini hawakulishughulikia hilo wakati wa editing na/ au previewing?

Kauli za Rais zina uzito usio sawa na kauli za viongozi wengine katika nchi.

Au hawakuwa [team Samia] na say so yoyote ile kwenye hiyo documentary?

Najua utakuwa unajua kuwa huku [US] kiongozi akiwa kwenye mahojiano na chombo cha habari, handlers wake wanakuwa hawapo mbali na mara nyingine huingilia kati kama wakiona mtu wao kaulizwa swali lisilo au katoa jibu lisilo.

Na mara nyingine hutoa hata statement ya ufafanuzi.

Ila sitashangaa endapo handlers wa Samia ni watu wa aina yake [kiuwezo], hivyo hata wao huenda hawakuona tatizo lolote lile katika jibu alilotoa mtu wao.

Kwa kawaida, mtu makini huchagua watu makini wa kumsaidia.

Wasaidizi wa Samia wanaakisi tu vile na yeye alivyo….
Kwahiyo Rais alipatia kingereza chote walichoongea ila unataka kuaminisha watu kwamba eneo la covid-19 tu ndio hakuelewa kingereza?

🤣🤣🤣wacha nicheke tu
 
Back
Top Bottom