Rais Samia anakuja "kufunika" tena Nanenane Mbeya

Rais Samia anakuja "kufunika" tena Nanenane Mbeya

George Michael Uledi.
August 4,2023.

Kwa lugha rahisi unaweza kusema haijawahi kutokea tangu Uhuru kwa Nchi ya Tanzania kuandaa Jukwaa na Maonyesho Makubwa ya Sikukuu ya Wakulima Nchini yaani NaneNane kwa kushirikisha Nchi jirani tena safari hii yakifanyika katika Jiji la Mbeya,Tanzania.

Uwekezaji huu katika Sekta ya Kilimo ambao haujawahi kufanyika Nchini tangu Uhuru ni muendelezo wa Mapinduzi Makubwa ya Uwekezaji ndani ya Serikali ya CCM ya awamu ya Sita ambayo "imeseti"Bajeti ya Kilimo ya Bilioni 900+ Tsh kwa Mwaka 2023/2024 hivyo kuziacha mbali Nchi za Kusini mwa Ukanda wa SADC.

Serikali ya awamu ya Sita ya CCM imeendelea kuteka Majukwaa Makubwa ya Uwekezaji duniani kwani inatarajia "Kuhost"Mkutano Mkubwa wa Jukwaa la Chakula Duniani utakaofanyika Jijini Dar es salaam September 5-8 Mwaka 2023.

Uwekezaji ndani ya Bandari ya Dar es Salaam unatajwa kama Mkakati wa Maandalizi ya Nchi kuweza "kuexport" Mazao ya Kilimo na Mifugo hasa kwenye Nchi za UAE ambazo mahitaji yake ya Mazao ya Mifugo ni fursa kubwa ya kuweza kuzilisha Nchi hizo za Saudia, Dubai, Qutal na nyinginezo.

Bandari ya Somalialand na Djibouti zinatengeneza fedha nyingi za kigeni kupitia uuzaji wa bidhaa za mifugo kwenye Nchi za soko la UAE.

Ni suala la muda tu kwani Uwekezaji ndani ya Bandari ya Dar hasa sehemu za kutunzia chakula unaweza ukaifanya Tanzania kuwa Best Exporter wa Mazao ya Mifugo ukizingatia Nchi ya Tanzania kitakwimu ni Nchi ya Pili yenye mifugo mingi barani Afrika kwa sasa.

Kuna watu watakimbia Nchi hii kwa AIBU ya kuutukana Uwekezaji wa DP World Dubai ndani ya Tanzania sio mbali,probably Mwaka 2027 hapo.

Nipo pale. Tusubilie tu.
Tukusanye wanaccm Tanzania Nyanda za juu kusini lakini msala wa bandari sisi wanaccm unataka kutugharimu
 
Tukusanye wanaccm Tanzania Nyanda za juu kusini lakini msala wa bandari sisi wanaccm unataka kutugharimu
Nafikiri kwa upinzani kwa huo mradi wa Bandari CCM kisha badili gia angani na imewasikiliza wananchi.
 
IMG_4024.jpg
 
Hilo limama lenu, nasikia ni lijizi kama zee la msoga,
Lenyewe na familia yake linatumia pesa ya, nchi kwa matumizi, binafsi vibaya Sana, watoto wake na marafiki zao, huwa wanasafiri kwa gharsma za nchi kwenda kula bata
 
George Michael Uledi.
August 4,2023.

Kwa lugha rahisi unaweza kusema haijawahi kutokea tangu Uhuru kwa Nchi ya Tanzania kuandaa Jukwaa na Maonyesho Makubwa ya Sikukuu ya Wakulima Nchini yaani NaneNane kwa kushirikisha Nchi jirani tena safari hii yakifanyika katika Jiji la Mbeya,Tanzania.

Uwekezaji huu katika Sekta ya Kilimo ambao haujawahi kufanyika Nchini tangu Uhuru ni muendelezo wa Mapinduzi Makubwa ya Uwekezaji ndani ya Serikali ya CCM ya awamu ya Sita ambayo "imeseti"Bajeti ya Kilimo ya Bilioni 900+ Tsh kwa Mwaka 2023/2024 hivyo kuziacha mbali Nchi za Kusini mwa Ukanda wa SADC.

Serikali ya awamu ya Sita ya CCM imeendelea kuteka Majukwaa Makubwa ya Uwekezaji duniani kwani inatarajia "Kuhost"Mkutano Mkubwa wa Jukwaa la Chakula Duniani utakaofanyika Jijini Dar es salaam September 5-8 Mwaka 2023.

Uwekezaji ndani ya Bandari ya Dar es Salaam unatajwa kama Mkakati wa Maandalizi ya Nchi kuweza "kuexport" Mazao ya Kilimo na Mifugo hasa kwenye Nchi za UAE ambazo mahitaji yake ya Mazao ya Mifugo ni fursa kubwa ya kuweza kuzilisha Nchi hizo za Saudia, Dubai, Qutal na nyinginezo.

Bandari ya Somalialand na Djibouti zinatengeneza fedha nyingi za kigeni kupitia uuzaji wa bidhaa za mifugo kwenye Nchi za soko la UAE.

Ni suala la muda tu kwani Uwekezaji ndani ya Bandari ya Dar hasa sehemu za kutunzia chakula unaweza ukaifanya Tanzania kuwa Best Exporter wa Mazao ya Mifugo ukizingatia Nchi ya Tanzania kitakwimu ni Nchi ya Pili yenye mifugo mingi barani Afrika kwa sasa.

Kuna watu watakimbia Nchi hii kwa AIBU ya kuutukana Uwekezaji wa DP World Dubai ndani ya Tanzania sio mbali,probably Mwaka 2027 hapo.

Nipo pale. Tusubilie tu.
Kwani wewe ndo wale vichaa waliosemwa na Magufuli?
 
Unashangilia ku-host mikutano na kupanga hiki na kile au kufanya hiki (yaani show-off) wakati ukweli wa haya mambo unapimwa ground...

Mkulima kupata value kwa kazi yake na mlaji kupata value for money (jambo ambalo kitaa watu wanalalamika gharama za chakula na mkulima anachanganywa mara auze nje mara asiuze mara atafute vibali mara atunze chakula) yaani in short ni kizungumkuti...
 
Tukusanye wanaccm Tanzania Nyanda za juu kusini lakini msala wa bandari sisi wanaccm unataka kutugharimu
Inakugharimu kivipi?

Makubaliano tayari na sasa tunasubiri uwekezaji uanze tuanze kufaidika. Hakuna kuchelewa
 
Back
Top Bottom