Rais Samia anapaswa kuchukua mazuri yote katika hotuba ya Mbowe ya Mwanza

Nimekupa mfano wa Mara, huku Dsm nilipo vituo karibia vyote ikiwemo nilichopigia kura mawakala wa upinzani waliruhusiwa kuingia vituoni saa 6 mchana, ukitaka kubisha ok, but huo ndio ukweli.

Wengi wao walidanganywa watapewa barua za utambuzi siku ya kupiga kura mapema asubuhi kabla vituo havijafunguliwa, lakini ilipofika hiyo siku hapakuwepo na watendaji wa kutoa hizo barua, matokeo yake vituoni walikuwepo wasimamizi wa kura na wajumbe na wenyeviti wa serikali za mtaa ambao wote ni CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…