Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Marais wote katika safu ya JMT wanajulikana timu zao za mpira. Binafsi sijawahi kusikia rais Samia ni shabiki wa timu ipi, klabu au timu ya taifa?
Au ni shabiki wa timu ya taifa ya mpira wa pete? Tutani hapo!
Au ni shabiki wa timu ya taifa ya mpira wa pete? Tutani hapo!