Rais Samia anashabikia timu gani?

Marais wote katika safu ya JMT wanajulikana timu zao za mpira. Binafsi sijawahi kusikia rais Samia ni shabiki wa timu ipi, klabu au timu ya taifa?

Au ni shabiki wa timu ya taifa ya mpira wa pete? Tutani hapo!
Tozo fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…