ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wanaanza moja, viwanda awamu iliyopita vilikuwa na siasa nyingi sanaje sasa ikojee mkuu
Kwa Sasa ni viwanda kweli kweli sio stori π₯π₯ Aulice to build a factory in Tanzania - TyrepressWanaanza moja, viwanda awamu iliyopita vilikuwa na siasa nyingi sana
Hiki kitu ni kikubwa na Mungu asaidie waanze kuzalisha mapema. Tatizo letu watanzania tutaanza kuwawekea urasimu kwenye utekelezaji wa shughuli za uzalishaji na kuwakatisha tamaa. 238 milioni dollar project ni uzalishaji mkubwa sana.Sasa iko hivi π