Rais Samia anatakiwa kuwa makini afanyapo teuzi

Rais Samia anatakiwa kuwa makini afanyapo teuzi

Ninachojua HAKUNA familiya mpya itakyoingia kwenye utawala wa nchi hii.mama yupo making lakini abaponzwa na watu wa tamisemi.Tamisemi waliwahi kuajiri Mwalim Mara 196.Tamisemi inaajiru watu kwa vimemo.
Mkiambiwa mwisho wa haya ni katiba mpya, hamtaki, hakuna wa umakini wala nini msiwe mnawapa lawama wengine , kama ni makosa ya wasaidizi wake , ni hatua gani huwa anawachukulia?yaani kiongozi anateua tu mtu anayemtaka yeye na haulizwi!!!
 
Ninachojua HAKUNA familiya mpya itakyoingia kwenye utawala wa nchi hii.mama yupo making lakini abaponzwa na watu wa tamisemi.Tamisemi waliwahi kuajiri Mwalim Mara 196.Tamisemi inaajiru watu kwa vimemo.
Mkuu haya majina hayajatolewa na tamisemi, yametoka direct ikulu.
Ingekuwa yametolewa na tamisemi wala nisingeshangaa sana, Ila Ikulu lazima tushangae.
Pia mama inaonekana nae hana muda wa kusoma wateuliwa wake, kwa maana ilipaswa nae apitie kuona je aliowateua ndio wako published
 
Mkiambiwa mwisho wa haya ni katiba mpya, hamtaki, hakuna wa umakini wala nini msiwe mnawapa lawama wengine , kama ni makosa ya wasaidizi wake , ni hatua gani huwa anawachukulia?yaani kiongozi anateua tu mtu anayemtaka yeye na haulizwi!!!
Tutafika tu, wanahisi katiba ipo kwa ajili ya mbowe tu. Wanashindwa kuelewa mbowe ataondoka ataiacha katiba.
Vijana wa CCM ni watu wa hovyo sana
 
Mtu ambaye ni mweupe kichwani hawezi kuwa makini katika kufanya maamuzi mkuu. Tukubali tu kwamba huyu Rais TUMEPIGWAAAA kipigo cha dog koko
Mama awe makini. Kuna watu wanataka kumkwamisha. Hii dublicate haiwezi kutetewa. Kwa mfano Mh Dollar ameteuliwa DED wa mji wa Kasulu na Njombe! Lutengano George Mwaiba naye kateuliwa DED wa Bukombe na Misungwi! Wa kulaumiwa hapa ni Katibu Mkuu Kiongozi. Mkuu usimwangushe Mama tafadhali. Mwisho wa siku yeye ndo anaonekana mzembe kumbe mzembe ni wewe.
Mkiambiwa mwisho wa haya ni katiba mpya, hamtaki, hakuna wa umakini wala nini msiwe mnawapa lawama wengine , kama ni makosa ya wasaidizi wake , ni hatua gani huwa anawachukulia?yaani kiongozi anateua tu mtu anayemtaka yeye na haulizwi!!!
 
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara.

Taarifa yoyote inayotoka Ikulu inapaswa kuhakikiwa sana kabla ya kwenda kwenye public.

Au niseme ni kawaida yetu sisi ngozi nyeusi kukosa umakini sehemu ambayo tulipaswa kuwa makini.

Na bahati mbaya sana haya makosa hayaishii hapo tu huwa yanakwenda hadi kwenye masuala ambayo huligharimu taifa zima.

Chukulia mfano mikataba inayosainiwa, unabaki kujiuliza hawa viongozi wetu kabla ya kusaini waliisoma kweli?

Mama Samia ulipokosea Mara ya kwanza tuliona ni kawaida, Mara ya pili tukaona aah pengine umepitiwa tu, Mara ya tatu, Mara ya nne?

Shida ni nini huko mbona sisi tunaopenda hii nchi yetu tunapatwa na wasiwasi sana ikiwa jambo Kama hili mnakosa umakini? Au haituhusu?
Makosa kwenye uteuzi yalianza hivi
  • Ulipoteua wakuu wa mikoa
  • Ulipoteua wakurugenzi wa mashirika
  • Ulipoteua makatibu tawala mikoa na
  • Sasa kwenye uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri
Kwa lugha nyepesi raisi anapaswa kuteua tena wakurugenzi wawili, ili kuziba nafasi kwenye halmashauri mbili ambazo hazitakuwa na wakurugenzi

Bado sijajua Ikulu wanatumia programu gani ambayo inashindwa kuona duplicate kwenye majina.

Pia ni inaonesha wazi kuwa hakuna uhakiki unaofanyika kwenye taarifa inayoenda public.

Mimi nimetumia haki yangu Kikatiba kukosoa, hivyo Imani yangu umakini utakuwepo kwenye mambo yajayo ILA...
Mkuu, huyu sio smart kabisa..
Anashindwaje kupitia kitu muhimu kama teuzi ambazo tunaamini amezifanya yeye mwenyewe ambazo hazizidi hata page 3 tu na kuona makosa??
A default President..hana uwezo kabisa..
Anazungusha jicho tu.
 
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara.

Taarifa yoyote inayotoka Ikulu inapaswa kuhakikiwa sana kabla ya kwenda kwenye public.

Au niseme ni kawaida yetu sisi ngozi nyeusi kukosa umakini sehemu ambayo tulipaswa kuwa makini.

Na bahati mbaya sana haya makosa hayaishii hapo tu huwa yanakwenda hadi kwenye masuala ambayo huligharimu taifa zima.

Chukulia mfano mikataba inayosainiwa, unabaki kujiuliza hawa viongozi wetu kabla ya kusaini waliisoma kweli?

Mama Samia ulipokosea Mara ya kwanza tuliona ni kawaida, Mara ya pili tukaona aah pengine umepitiwa tu, Mara ya tatu, Mara ya nne?

Shida ni nini huko mbona sisi tunaopenda hii nchi yetu tunapatwa na wasiwasi sana ikiwa jambo Kama hili mnakosa umakini? Au haituhusu?
Makosa kwenye uteuzi yalianza hivi
  • Ulipoteua wakuu wa mikoa
  • Ulipoteua wakurugenzi wa mashirika
  • Ulipoteua makatibu tawala mikoa na
  • Sasa kwenye uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri
Kwa lugha nyepesi raisi anapaswa kuteua tena wakurugenzi wawili, ili kuziba nafasi kwenye halmashauri mbili ambazo hazitakuwa na wakurugenzi

Bado sijajua Ikulu wanatumia programu gani ambayo inashindwa kuona duplicate kwenye majina.

Pia ni inaonesha wazi kuwa hakuna uhakiki unaofanyika kwenye taarifa inayoenda public.

Mimi nimetumia haki yangu Kikatiba kukosoa, hivyo Imani yangu umakini utakuwepo kwenye mambo yajayo ILA...
Hana haja ya kuwa na umakini wowote kwani Katiba iliyopo inampa madaraka na kinga ya kufanya chochote katika nchi hii bila kuhojiwa na yoyote. Piga kazi Mama hata ukiamua wapinzani tukatwe vichwa wewe tu, hakugusi mtu yoyote katika nchi hii.
 
Kuna Mmoja namjua Kahonga sana na Karoga mno ila Uteuzi bado umempitia tu Kando ( Kaukosa ) je, huyu Mtu tumsaidiaje Mkuu? Na je, huku Kukosa kote kote kwa Kuhonga na Kuroga 'Kitaalamu' kunaitwaje?
Kitaalam inaitwa fungu la kukosa au wengine wanaita kisicho rizki hakiliki
 
Hana haja ya kuwa na umakini wowote kwani Katiba iliyopo inampa madaraka na kinga ya kufanya chochote katika nchi hii bila kuhojiwa na yoyote. Piga kazi Mama hata ukiamua wapinzani tukatwe vichwa wewe tu, hakugusi mtu yoyote katika nchi hii.
Mimi nilitaka hata gesi apandishe iwe laki moja, daladala iwe elf 10, sukari elf 30,tozo haitoshi
 
Succession plan ndiyo tatizo.
Huwezi kuchukua watu kwa sababu ya ukada badala ya kuwaandaa wapate uzoefu, waelewe watachosimamia.
Kwa utamaduni wetu, umri nao ni heshima.
Vijana wana mihemko na ujinga mwingi, hata haya makosa ni kwa sababu hizo hizo.
 
Kuna Mmoja namjua Kahonga sana na Karoga mno ila Uteuzi bado umempitia tu Kando ( Kaukosa ) je, huyu Mtu tumsaidiaje Mkuu? Na je, huku Kukosa kote kote kwa Kuhonga na Kuroga 'Kitaalamu' kunaitwaje?
Kunaitwa KUKUKU(Kukosa kwa kuhonga)
 
Mama awe makini. Kuna watu wanataka kumkwamisha. Hii dublicate haiwezi kutetewa. Kwa mfano Mh Dollar ameteuliwa DED wa mji wa Kasulu na Njombe! Lutengano George Mwaiba naye kateuliwa DED wa Bukombe na Misungwi! Wa kulaumiwa hapa ni Katibu Mkuu Kiongozi. Mkuu usimwangushe Mama tafadhali. Mwisho wa siku yeye ndo anaonekana mzembe kumbe mzembe ni wewe.
Kwa hiyo Madame President akipokea document yeye ana assent bila kusoma!! This is a SMOKING GUN.....
 
Mama awe makini. Kuna watu wanataka kumkwamisha. Hii dublicate haiwezi kutetewa. Kwa mfano Mh Dollar ameteuliwa DED wa mji wa Kasulu na Njombe! Lutengano George Mwaiba naye kateuliwa DED wa Bukombe na Misungwi! Wa kulaumiwa hapa ni Katibu Mkuu Kiongozi. Mkuu usimwangushe Mama tafadhali. Mwisho wa siku yeye ndo anaonekana mzembe kumbe mzembe ni wewe.
Kwani yeye hasomi? tunajua kuna check points za documentation lakini mpaka mtu asahini ina maana kasoma.
 
Bado nashindwa kuelewa ni either hajauzoea urais au ni kwamba hayupo tu makini.

Moja ya vitu ambavyo ni maajabu sani ni pale unapoona taarifa ya uteuzi kutoka Ikulu ikiwa na makosa kila Mara.

Taarifa yoyote inayotoka Ikulu inapaswa kuhakikiwa sana kabla ya kwenda kwenye public.

Au niseme ni kawaida yetu sisi ngozi nyeusi kukosa umakini sehemu ambayo tulipaswa kuwa makini.

Na bahati mbaya sana haya makosa hayaishii hapo tu huwa yanakwenda hadi kwenye masuala ambayo huligharimu taifa zima.

Chukulia mfano mikataba inayosainiwa, unabaki kujiuliza hawa viongozi wetu kabla ya kusaini waliisoma kweli?

Mama Samia ulipokosea Mara ya kwanza tuliona ni kawaida, Mara ya pili tukaona aah pengine umepitiwa tu, Mara ya tatu, Mara ya nne?

Shida ni nini huko mbona sisi tunaopenda hii nchi yetu tunapatwa na wasiwasi sana ikiwa jambo Kama hili mnakosa umakini? Au haituhusu?
Makosa kwenye uteuzi yalianza hivi
  • Ulipoteua wakuu wa mikoa
  • Ulipoteua wakurugenzi wa mashirika
  • Ulipoteua makatibu tawala mikoa na
  • Sasa kwenye uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri
Kwa lugha nyepesi raisi anapaswa kuteua tena wakurugenzi wawili, ili kuziba nafasi kwenye halmashauri mbili ambazo hazitakuwa na wakurugenzi

Bado sijajua Ikulu wanatumia programu gani ambayo inashindwa kuona duplicate kwenye majina.

Pia ni inaonesha wazi kuwa hakuna uhakiki unaofanyika kwenye taarifa inayoenda public.

Mimi nimetumia haki yangu Kikatiba kukosoa, hivyo Imani yangu umakini utakuwepo kwenye mambo yajayo ILA...
Hizi teuzi hizi!
Hizo nafasi watu wanapaswa kuomba na kisha kufanyiwa usaili.
Wanaofaa waajiriwe kwa mkataba wa miaka 2.
Miezi 6 ikiwa ya majaribio.
Tusichezee kodi zetu!
 
Mama awe makini. Kuna watu wanataka kumkwamisha. Hii dublicate haiwezi kutetewa. Kwa mfano Mh Dollar ameteuliwa DED wa mji wa Kasulu na Njombe! Lutengano George Mwaiba naye kateuliwa DED wa Bukombe na Misungwi! Wa kulaumiwa hapa ni Katibu Mkuu Kiongozi. Mkuu usimwangushe Mama tafadhali. Mwisho wa siku yeye ndo anaonekana mzembe kumbe mzembe ni wewe.
Hakuna anayemkwamisha Ila yeye tu hana uwezo
 
Back
Top Bottom