Rais Samia anatengenezewa shida/ugumu ili asigombee 2025?

Rais Samia anatengenezewa shida/ugumu ili asigombee 2025?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kuna haya masuala 2 yanamuweka rais Samia njia panda ktk nia yake ya kusaka kipindi cha pili cha urais.

1. Kubinafsisha bandari.
2. Kupiga marufuku uuzaji wa mazao nje ya nchi.

Ikumbukwe kauli ya rais mstaafu Kikwete aliwahi kusema "2025 mgombea wetu (ccm) wa urais atakuwa mhe. Samia, labda kutokea shida sana".

Ndugu wanaJF hamuoni kuwa rais Samia ashaingia kwenye shida?? Tanganyika Kuna fitina za kisiasa za kutisha.

Yangu macho.!
 
Kuna haya masuala 2 yanamuweka rais Samia njia panda ktk nia yake ya kusaka kipindi cha pili cha urais.

1. Kubinafsisha bandari.
2. Kupiga marufuku uuzaji wa mazao nje ya nchi.

Ikumbukwe kauli ya rais mstaafu Kikwete aliwahi kusema "2025 mgombea wetu (ccm) wa urais atakuwa mhe. Samia, labda kutokea shida sana".

Ndugu wanaJF hamuoni kuwa rais Samia ashaingia kwenye shida?? Tanganyika Kuna fitina za kisiasa za kutisha.

Yangu macho.!
Kupiga marufuku mazao namuunga mkono...

La Bandari wanaompinga wote wanajua kabisa ukweli bandari hazijauzwa ...anabadilishwa muendeshaji kutoka Ticts aliekaa miaka 25 kuja huyo Dpworld...

Kilichopo ni fitina Tu za kisiasa..
Kampeni ya kumchafua asigombee 2025...
Polycarp Pengo +Dr Slaa na Mgombea wao wanaemtaka 2025...ndo wako behind ya hizi fitina..
Kumbuka anything happening Kwa Samia..anae rithi ni Philip Mpango...
Mkatoliki aliesomea seminary...
We are watching.....
 
Kupiga marufuku mazao namuunga mkono...

La Bandari wanaompinga wote wanajua kabisa ukweli bandari hazijauzwa ...anabadilishwa muendeshaji kutoka Ticts aliekaa miaka 25 kuja huyo Dpworld...

Kilichopo ni fitina Tu za kisiasa..
Kampeni ya kumchafua asigombee 2025...
Polycarp Pengo +Dr Slaa na Mgombea wao wanaemtaka 2025...ndo wako behind ya hizi fitina..
Kumbuka anything happening Kwa Samia..anae rithi ni Philip Mpango...
Mkatoliki aliesomea seminary...
We are watching.....
Uliowataja hapo ndiyo wanaopinga bandari peke yao mkuu?

Muda mwingne ujuaji unazaa ujinga!
 
Kupiga marufuku mazao namuunga mkono...

La Bandari wanaompinga wote wanajua kabisa ukweli bandari hazijauzwa ...anabadilishwa muendeshaji kutoka Ticts aliekaa miaka 25 kuja huyo Dpworld...

Kilichopo ni fitina Tu za kisiasa..
Kampeni ya kumchafua asigombee 2025...
Polycarp Pengo +Dr Slaa na Mgombea wao wanaemtaka 2025...ndo wako behind ya hizi fitina..
Kumbuka anything happening Kwa Samia..anae rithi ni Philip Mpango...
Mkatoliki aliesomea seminary...
We are watching.....
Hahaaaaaa....heheeeeee😁😁😁😁
 
Kupiga marufuku mazao namuunga mkono...

La Bandari wanaompinga wote wanajua kabisa ukweli bandari hazijauzwa ...anabadilishwa muendeshaji kutoka Ticts aliekaa miaka 25 kuja huyo Dpworld...

Kilichopo ni fitina Tu za kisiasa..
Kampeni ya kumchafua asigombee 2025...
Polycarp Pengo +Dr Slaa na Mgombea wao wanaemtaka 2025...ndo wako behind ya hizi fitina..
Kumbuka anything happening Kwa Samia..anae rithi ni Philip Mpango...
Mkatoliki aliesomea seminary...
We are watching.....
Nilikuwa nahisi haukuwa smart kihivyo tangu siku nyingi. Ulichoandika hapo kinathibitisha
 
Kupiga marufuku mazao namuunga mkono...

La Bandari wanaompinga wote wanajua kabisa ukweli bandari hazijauzwa ...anabadilishwa muendeshaji kutoka Ticts aliekaa miaka 25 kuja huyo Dpworld...

Kilichopo ni fitina Tu za kisiasa..
Kampeni ya kumchafua asigombee 2025...
Polycarp Pengo +Dr Slaa na Mgombea wao wanaemtaka 2025...ndo wako behind ya hizi fitina..
Kumbuka anything happening Kwa Samia..anae rithi ni Philip Mpango...
Mkatoliki aliesomea seminary...
We are watching.....
Wakatoliki wana run the world.
 
Kuna haya masuala 2 yanamuweka rais Samia njia panda ktk nia yake ya kusaka kipindi cha pili cha urais.

1. Kubinafsisha bandari.
2. Kupiga marufuku uuzaji wa mazao nje ya nchi.

Ikumbukwe kauli ya rais mstaafu Kikwete aliwahi kusema "2025 mgombea wetu (ccm) wa urais atakuwa mhe. Samia, labda kutokea shida sana".

Ndugu wanaJF hamuoni kuwa rais Samia ashaingia kwenye shida?? Tanganyika Kuna fitina za kisiasa za kutisha.

Yangu macho.!
Matatizo anayataka mwenyewe, katika uchaguzi huru na haki inawezekana akaongoza lakini kwa haya anayoyafanya Mungu amemnyima Kibali , taifa la watu mL 60 unakosaje washauri wa mambo mazito kama aya

Tatizo bi mkubwa hutaka kujifanya msiri kumbe nchi ina watu makini wanamchora,
 
Kuna haya masuala 2 yanamuweka rais Samia njia panda ktk nia yake ya kusaka kipindi cha pili cha urais.

1. Kubinafsisha bandari.
2. Kupiga marufuku uuzaji wa mazao nje ya nchi.

Ikumbukwe kauli ya rais mstaafu Kikwete aliwahi kusema "2025 mgombea wetu (ccm) wa urais atakuwa mhe. Samia, labda kutokea shida sana".

Ndugu wanaJF hamuoni kuwa rais Samia ashaingia kwenye shida?? Tanganyika Kuna fitina za kisiasa za kutisha.

Yangu macho.!
Hata wafanyeje hawatafanikiwa

Tanzania iko makini sana siku hizi hasa katika kulinda interest zake kama Taifa

Kenya wanawatumia Maria Sarungi na Chadema kwa kuwa hawataki Bandari za Tanzania ziwe efficient zaidi kuliko za kwao.

Kwa huyo Pengo anajulikana wala hatusumbui tunayemjua. Hao wengine nia zao zinafahamika Rais anapokuwa wa dini isiyo yao.
 
Kuna haya masuala 2 yanamuweka rais Samia njia panda ktk nia yake ya kusaka kipindi cha pili cha urais.

1. Kubinafsisha bandari.
2. Kupiga marufuku uuzaji wa mazao nje ya nchi.

Ikumbukwe kauli ya rais mstaafu Kikwete aliwahi kusema "2025 mgombea wetu (ccm) wa urais atakuwa mhe. Samia, labda kutokea shida sana".

Ndugu wanaJF hamuoni kuwa rais Samia ashaingia kwenye shida?? Tanganyika Kuna fitina za kisiasa za kutisha.

Yangu macho.!
Samia ameshapitishwa na chama chake kugombea 2025, sijui we unaongelea Samia yupi. Hayo ni mawazo yako, hakuna shida yoyoye na haitatokea, Mama ndiyo rais wetu kwa kipindi cha 2025-2030.
 
Kuna haya masuala 2 yanamuweka rais Samia njia panda ktk nia yake ya kusaka kipindi cha pili cha urais.

1. Kubinafsisha bandari.
2. Kupiga marufuku uuzaji wa mazao nje ya nchi.

Ikumbukwe kauli ya rais mstaafu Kikwete aliwahi kusema "2025 mgombea wetu (ccm) wa urais atakuwa mhe. Samia, labda kutokea shida sana".

Ndugu wanaJF hamuoni kuwa rais Samia ashaingia kwenye shida?? Tanganyika Kuna fitina za kisiasa za kutisha.

Yangu macho.!
Wanaompinga kwa suala la bandari Wana hoja za msingi zenye mashiko, tuache unafiki na ukada wa vyama kwenye suala hili.
Hoja hujibiwa kwa hoja, na utafiti hupingwa kwa utafiti
 
Hata wafanyeje hawatafanikiwa

Tanzania iko makini sana siku hizi hasa katika kulinda interest zake kama Taifa

Kenya wanawatumia Maria Sarungi na Chadema kwa kuwa hawataki Bandari za Tanzania ziwe efficient zaidi kuliko za kwao.

Kwa huyo Pengo anajulikana wala hatusumbui tunayemjua. Hao wengine nia zao zinafahamika Rais anapokuwa wa dini isiyo yao.
Nyie majamaa mnatumika kuifanya hii nchi iwe maskini.

Kungekuwa na mauaji ya watu wa hovyo hadharani, machawa wa Samia wote mlipaswa kuuawa hadharani.

Katika maadui wakuu wa taifa letu, machawa mpo kwenye orodha.
 
Kupiga marufuku mazao namuunga mkono...

La Bandari wanaompinga wote wanajua kabisa ukweli bandari hazijauzwa ...anabadilishwa muendeshaji kutoka Ticts aliekaa miaka 25 kuja huyo Dpworld...

Kilichopo ni fitina Tu za kisiasa..
Kampeni ya kumchafua asigombee 2025...
Polycarp Pengo +Dr Slaa na Mgombea wao wanaemtaka 2025...ndo wako behind ya hizi fitina..
Kumbuka anything happening Kwa Samia..anae rithi ni Philip Mpango...
Mkatoliki aliesomea seminary...
We are watching.....
Huenda kuna mpango wakumaliza kabisa na hao foes wake? Sidhani kama huo mpango ikiendelea hi nchi itabaki na amani. Jamani acheni Raisi aratibu kazi zake bila kimwekea fitna.
 
Back
Top Bottom