Rais Samia anatumia mbinu zilizomuangusha Joyce Banda Malawi, na yeye anaweza kuanguka 2025

 

Attachments

  • IMG_0779.MP4
    1.4 MB
Naogopa sana watanganyika mnaenda kuipoteza nchi yenu

Mnajua kitu kimoja waarabu ni watu wa fujo na kusababisha machafuko kwenye nchi za watu

Wataharibu nchi yenu walete wapiganaji ili wamiliki ardhi yenu watangaze kuwa jamuhuri ya kiarabu
Waarabu hawafai
 
Naogopa sana watanganyika mnaenda kuipoteza nchi yenu

Mnajua kitu kimoja waarabu ni watu wa fujo na kusababisha machafuko kwenye nchi za watu

Wataharibu nchi yenu walete wapiganaji ili wamiliki ardhi yenu watangaze kuwa jamuhuri ya kiarabu
Duuu Kuna watu Wana akili ndogo ilo wewe umepitiliza na kwaukosoji huu Itaoneka wote tunaokosoa uuzwaji wa bandari zetu hatuna hoja
 
Munaendelea kufukua makaburi 😅 !
Halafu Watanzania wanaendelea kuwa wasahaulifu wazuri kuliko wasahaulifu wote waliopo Duniani !! 2025 panapo uzima sio mbali !

Tusubiri tuone. !
 
Sema mdude huu ndo ukosaji unaohitajika
 
Nimeanza kuamini kifo cha rais Magufuli ni mchezo uliokuwa umepangwa, akifa mume mke anaanza kuuza mali tuwe makini wakuu na hawa wazanzibari nilishawemaga huku hawa watu ni lowlife alafu ni wabinafsi sana
 
Kama mkataba huu wa DP World haujafafanuliwa vizuri, hakuna uchaguzi 2024/2025.
Atakayejifanya kimbelembele kwenda kupiga kura, atakiona cha mtema Kuni.
 
Hizi mambo mmeanza kuzipeleka kwenye udini, hakyanani anaewacontrol atawavuna sana.
 
Uarabu umefanya nini? Hoja kubwa ni kwanini mkataba Hauna ukomo
2. Kwanini ametoa bandari zote za bara tu
3. Kwanini usaijiwe na watu watatu tu kutoka visiwani
4. Kwanini hauonyeshe tutapata faida gani
5. Mikataba 17 aliyoisaini huko Dubai ni mali zipi zinatolewa
6. DP world walipatikana kwa njia zipi
7
 
Unatuletea habari za Joyce Tanzania..?
Yaani nyie chadema akili zen7 kweli za nyumbu... Thinking capacity zenu zinawaza maanguko tu, na hakuna siku mmefanikiwa....
Nyie endeleeni kupoteza muda ktk mitandao, Mbowe kashauza chama hataki kushirik uchaguz akiwadanganya ni njia sahihi ya kudai haki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…