Sasa wao badala ya kujibu hoja wanakimbilia kwenye udini na jinsia2. Kwanini ametoa bandari zote za bara tu
3. Kwanini usaijiwe na watu watatu tu kutoka visiwani
4. Kwanini hauonyeshe tutapata faida gani
5. Mikataba 17 aliyoisaini huko Dubai ni mali zipi zinatolewa
6. DP world walipatikana kwa njia zipi
7
Udini na ukabila uko visiwani kuliko vitu vingineSasa wao badala ya kujibu hoja wanakimbilia kwenye udini na jinsia
Kweli uvccm Wana vijana wahovyo na wajinga sanaUnatuletea habari za Joyce Tanzania..?
Yaani nyie chadema akili zen7 kweli za nyumbu... Thinking capacity zenu zinawaza maanguko tu, na hakuna siku mmefanikiwa....
Nyie endeleeni kupoteza muda ktk mitandao, Mbowe kashauza chama hataki kushirik uchaguz akiwadanganya ni njia sahihi ya kudai haki...
Kwa Watanzania yote yanawezekanaSamia mpaka 2030 hutaki hamia zambia
Sijui Kwa Nini waluguru wote ni malofa,mafala??Oya, mbona mnakomaa sana na hiyo, kama ufaidiki kama Mimi kelele za nini kila siku. Hayo ni maamuzi ya Mh. Samia, wewe subiri ushike madaraka uamue ya kwako, au kama una hasira 2025 kajipigie au mpigie kura mwingine. Tumewachoka, Bandari, Bandari. Karamagi kala sana, waache wengine nao wachukue. Njoo tulime mihogo Moro.
Uishi miaka mingi.mamako alisukumiziwa lipumbavu likazaliwa ndio wewe.
Kila mtu na maoni yake ! Freedom of expression !!Sijui Kwa Nini waluguru wote ni malofa,mafala??
Ni swala la muda tu.
Ni hoja murua iliyojaa umakini.Mwaka 2009 Joyce Hilda Banda alijikuta kwenye mshangao wa bahati baada ya kupendekezwa na Rais Bingu wa Mutharika kuwa makamu wa Rais nchini Malawi. Surprise ya namna hii pia ilimkuta Bi. Samia Suluhu Hassan baada ya kupendekezwa na chama chake CCM kuwa mgombea mwenza wa John Pombe Magufuli katika uchaguzi mkuu 2015.
Wote Joyce Hilda Banda na Samia Suluhu Hassan hawajawahi kuwa na ndoto za kuwa makamu wa uRais achilia mbali kuota Urais ambao ulikuja kuwaangukia baadaye kwa nyakati tofauti. Kwa hiyo nafasi hizi za umakamu wa Urais na Urais zimekuja kuwaangukia by surprise bila wao wenyewe kuwa na matarajio hayo.
Tukianza Joyce Hilda Banda mwaka 2012 alijikuta akishika madaraka makubwa ya kuwa Rais wa Malawi baada ya kifo cha ghafla cha Rais Bingu wa Mutharika. Hii tukio halina utofauti na tukio lililomfanya Bi. Samia Suluhu kushika madaraka 2021 baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli. Joyce Banda alishika madaraka hayo ikiwa imebakia miaka miwili Malawi kuingia katika uchaguzi mkuu huku Bi. Samia akishika madaraka hayo ikibakia miaka minne nchi iingie katika uchaguzi mkuu.
Hivyo basi Joyce Banda alikuwa na nafasi kubwa ya kujijenga zaidi kisiasa na kijamii kwa kuwa mstari wa mbele kutatua shida na kero za wananchi. Kwa bahati mbaya Joyce alishindwa kutumia nafasi hiyo. Kashfa nzito zikaanza kumwandama mwanamama huyo, kashfa nyingi zikihusisha ufisadi wa mali na pesa za umma pamoja na kuiingiza Malawi katika mikataba mibovu. Wapinzani waliposimama na hoja za ufisadi, silaha pekee ambayo Bi. Joyce Banda aliona inafaa ni jinsia yake. Yeye na wafuasi wake wakasimama na kuwajibu wapinzani kwamba wanamshambulia Joyce na hoja za ufisadi kwa sababu yeye ni mwanamke.
Rais Joyce Banda aligeuza jinsia yake kama ngao na kinga yake dhidi ya tuhuma za ufisadi zilizokuwa zimemwandama. Aliwalipa viongozi wa dini na kimila wamtetee na hoja hiyo ya jinsia. Aliwalipia press conference wafuasi wake watetee jinsia yake badala ya kashfa za ufisadi zilizokuwa zinamwandama, akiamini zitamsaidia uchaguzi mkuu uliokuwa unafuata 2014. Wamalawi hawakuwa wajinga uchaguzi mkuu ulipofika waliamua kumpiga chini na kuchagua upinzani.
Joyce akatumia mamlaka yake ya Urais kufuta matokeo ya uchaguzi kwa sababu hakushinda. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi alikataa na kumtangaza aliyeshinda kutoka chama cha upinzani. Waziri wa Joyce ambaye alikuwa kiherehere na tabia mbovu kama alivyo Nape alijiuwa kwa kujinyonga akihofia maisha yake baada Joyce Banda kuanguka.
Miaka 10 baada ya anguko la Joyce Banda anatokea Samia Suluhu Hassan ambaye anatumia njia zilezile zilizomwangusha Rais Joyce Banda za kujibu kashfa zake za uuzaji wa bandari kwa DP World kwa mkataba wa milele. Tangu sakata la kuuza/kukodisha bandari lianze kupamba moto kwa wiki mbili sasa, Rais Samia ameshindwa kujibu hoja za wanaopinga mkataba huo na badala yake anatumia silaha ya Bi. Joyce Banda, ijapo yeye kaiboresha kwa kuongeza udini na Uzanzibari.
Watu mbalimbali wanasiasa na wasiokuwa wanasiasa wanahoji maswali haya matatu kwamba:
1- Kwanini mkataba huo wa kukodisha bandari hauna kikomo cha muda yani ni wa milele?
2- Kwanini mkataba huo hauwezi kuvunjika hata kama wawekezaji hao wana performance ndogo?
3- Kwanini bandari za Zanzibar hazijajumuishwa kwenye mkataba huo na badala yake ni bandari za Tanzania Bara pekee pamoja na kwamba bandari ni sehemu ya mambo yaliyopo kwenye muungano kwa katiba na sheria za nchi?
Huwezi kuamini kwamba pamoja na washauri wa kisiasa alionao Samia, wataalamu na watu wengine wote waliomzunguka, wameshindwa kujibu hoja hizi. Njia pekee aliyoona inafaa ni kujificha kwenye kichaka jinsia, udini na Uzanzibari ili kutafuta uhalali wa kuuza ama kukodisha bandari zetu kwa mikataba mibovu.
Yani unakodisha/kuuza bandari kwa mkataba wa hovyo , watu wanahoji unajibu kwa sababu mimi ni mwanamke ama muislamu au kwa sababu mimi ni Mzanzibar? Kwani ukiwa mwanamke ama Mzanzibar au mwislamu ndio una uhalali wa kuuza nchi kwa kusaini mikataba mibovu? Aliyekuambia dini au jinsia ni kichaka cha kuficha maovu ni nani?
Ukweli ni kwamba njia hii haitamsaidia Samia na badala yake anaenda kuanguka. Miezi 10 sasa Samia anapoteza ushawishi. Mfumuko wa bei, tozo pamoja na kashfa za ufisadi katika serikali yake ni moja ya vitu vinavyompunguzia mvuto kwa wananchi.
Suala la kuuza bandari kwa mkataba wa milele na milele ndio limemchinja mazima Samia. Mkutano alioufanya Mwanza majuzi ulikuwa na watu wachache licha ya kusomba watu kwa malori lakini ni kama alikuwa anahutubia viongozi wa ccm na watumishi wa umma aliotoka nao Dodoma, halmashauri na jiji. Ile ilikuwa ni message kwamba kwa sasa Samia hatakiwi tena. Njia pekee ambayo itamnyanyua Samia kutoka matopeni alikokwama ni kutupilia mbali mkataba huo wa kuuza bandari pamoja na kuwachukulia hatua mafisadi wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG. Tofauti na hapo hawezi kupata kibali tena 2025 hata angetumia majeshi. Ushauri huu ni chungu kama sumu ya nyigu lakini ukifuatwa ni mtamu kama asali.
Mdude Nyagali 7 x 70.View attachment 2661162
Kauli ya kijinga, usiyo na weledi wowote wa kihoja. JF ni jukwaa la hoja, siyo vibwagjzo kama ulivyofanya.Samia mpaka 2030 hutaki hamia zambia
Malawi haina Waswahili na watu wajinga, Tanzania asilimia 80 ya raia wakw ni Mzezeta wa kutupwaMwaka 2009 Joyce Hilda Banda alijikuta kwenye mshangao wa bahati baada ya kupendekezwa na Rais Bingu wa Mutharika kuwa makamu wa Rais nchini Malawi. Surprise ya namna hii pia ilimkuta Bi. Samia Suluhu Hassan baada ya kupendekezwa na chama chake CCM kuwa mgombea mwenza wa John Pombe Magufuli katika uchaguzi mkuu 2015.
Wote Joyce Hilda Banda na Samia Suluhu Hassan hawajawahi kuwa na ndoto za kuwa makamu wa uRais achilia mbali kuota Urais ambao ulikuja kuwaangukia baadaye kwa nyakati tofauti. Kwa hiyo nafasi hizi za umakamu wa Urais na Urais zimekuja kuwaangukia by surprise bila wao wenyewe kuwa na matarajio hayo.
Tukianza Joyce Hilda Banda mwaka 2012 alijikuta akishika madaraka makubwa ya kuwa Rais wa Malawi baada ya kifo cha ghafla cha Rais Bingu wa Mutharika. Hii tukio halina utofauti na tukio lililomfanya Bi. Samia Suluhu kushika madaraka 2021 baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli. Joyce Banda alishika madaraka hayo ikiwa imebakia miaka miwili Malawi kuingia katika uchaguzi mkuu huku Bi. Samia akishika madaraka hayo ikibakia miaka minne nchi iingie katika uchaguzi mkuu.
Hivyo basi Joyce Banda alikuwa na nafasi kubwa ya kujijenga zaidi kisiasa na kijamii kwa kuwa mstari wa mbele kutatua shida na kero za wananchi. Kwa bahati mbaya Joyce alishindwa kutumia nafasi hiyo. Kashfa nzito zikaanza kumwandama mwanamama huyo, kashfa nyingi zikihusisha ufisadi wa mali na pesa za umma pamoja na kuiingiza Malawi katika mikataba mibovu. Wapinzani waliposimama na hoja za ufisadi, silaha pekee ambayo Bi. Joyce Banda aliona inafaa ni jinsia yake. Yeye na wafuasi wake wakasimama na kuwajibu wapinzani kwamba wanamshambulia Joyce na hoja za ufisadi kwa sababu yeye ni mwanamke.
Rais Joyce Banda aligeuza jinsia yake kama ngao na kinga yake dhidi ya tuhuma za ufisadi zilizokuwa zimemwandama. Aliwalipa viongozi wa dini na kimila wamtetee na hoja hiyo ya jinsia. Aliwalipia press conference wafuasi wake watetee jinsia yake badala ya kashfa za ufisadi zilizokuwa zinamwandama, akiamini zitamsaidia uchaguzi mkuu uliokuwa unafuata 2014. Wamalawi hawakuwa wajinga uchaguzi mkuu ulipofika waliamua kumpiga chini na kuchagua upinzani.
Joyce akatumia mamlaka yake ya Urais kufuta matokeo ya uchaguzi kwa sababu hakushinda. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi alikataa na kumtangaza aliyeshinda kutoka chama cha upinzani. Waziri wa Joyce ambaye alikuwa kiherehere na tabia mbovu kama alivyo Nape alijiuwa kwa kujinyonga akihofia maisha yake baada Joyce Banda kuanguka.
Miaka 10 baada ya anguko la Joyce Banda anatokea Samia Suluhu Hassan ambaye anatumia njia zilezile zilizomwangusha Rais Joyce Banda za kujibu kashfa zake za uuzaji wa bandari kwa DP World kwa mkataba wa milele. Tangu sakata la kuuza/kukodisha bandari lianze kupamba moto kwa wiki mbili sasa, Rais Samia ameshindwa kujibu hoja za wanaopinga mkataba huo na badala yake anatumia silaha ya Bi. Joyce Banda, ijapo yeye kaiboresha kwa kuongeza udini na Uzanzibari.
Watu mbalimbali wanasiasa na wasiokuwa wanasiasa wanahoji maswali haya matatu kwamba:
1- Kwanini mkataba huo wa kukodisha bandari hauna kikomo cha muda yani ni wa milele?
2- Kwanini mkataba huo hauwezi kuvunjika hata kama wawekezaji hao wana performance ndogo?
3- Kwanini bandari za Zanzibar hazijajumuishwa kwenye mkataba huo na badala yake ni bandari za Tanzania Bara pekee pamoja na kwamba bandari ni sehemu ya mambo yaliyopo kwenye muungano kwa katiba na sheria za nchi?
Huwezi kuamini kwamba pamoja na washauri wa kisiasa alionao Samia, wataalamu na watu wengine wote waliomzunguka, wameshindwa kujibu hoja hizi. Njia pekee aliyoona inafaa ni kujificha kwenye kichaka jinsia, udini na Uzanzibari ili kutafuta uhalali wa kuuza ama kukodisha bandari zetu kwa mikataba mibovu.
Yani unakodisha/kuuza bandari kwa mkataba wa hovyo , watu wanahoji unajibu kwa sababu mimi ni mwanamke ama muislamu au kwa sababu mimi ni Mzanzibar? Kwani ukiwa mwanamke ama Mzanzibar au mwislamu ndio una uhalali wa kuuza nchi kwa kusaini mikataba mibovu? Aliyekuambia dini au jinsia ni kichaka cha kuficha maovu ni nani?
Ukweli ni kwamba njia hii haitamsaidia Samia na badala yake anaenda kuanguka. Miezi 10 sasa Samia anapoteza ushawishi. Mfumuko wa bei, tozo pamoja na kashfa za ufisadi katika serikali yake ni moja ya vitu vinavyompunguzia mvuto kwa wananchi.
Suala la kuuza bandari kwa mkataba wa milele na milele ndio limemchinja mazima Samia. Mkutano alioufanya Mwanza majuzi ulikuwa na watu wachache licha ya kusomba watu kwa malori lakini ni kama alikuwa anahutubia viongozi wa ccm na watumishi wa umma aliotoka nao Dodoma, halmashauri na jiji. Ile ilikuwa ni message kwamba kwa sasa Samia hatakiwi tena. Njia pekee ambayo itamnyanyua Samia kutoka matopeni alikokwama ni kutupilia mbali mkataba huo wa kuuza bandari pamoja na kuwachukulia hatua mafisadi wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG. Tofauti na hapo hawezi kupata kibali tena 2025 hata angetumia majeshi. Ushauri huu ni chungu kama sumu ya nyigu lakini ukifuatwa ni mtamu kama asali.
Mdude Nyagali 7 x 70.View attachment 2661162
Hili la bandari limemshusha sana mpaka level ya unyayo.huyu mama watz hawamtaki ni vile anaforce
Sahihi.ccm bila ya msaada wa polisi inaweza kushinda hata kiti cha ubalozi kweli? Usisahau hata JK kipindi hicho, alishawahi kuonya juu ya jambo hili.
Acha porojo za kipuuzi wewe,usifananishe Samia na failures..Mwaka 2009 Joyce Hilda Banda alijikuta kwenye mshangao wa bahati baada ya kupendekezwa na Rais Bingu wa Mutharika kuwa makamu wa Rais nchini Malawi. Surprise ya namna hii pia ilimkuta Bi. Samia Suluhu Hassan baada ya kupendekezwa na chama chake CCM kuwa mgombea mwenza wa John Pombe Magufuli katika uchaguzi mkuu 2015.
Wote Joyce Hilda Banda na Samia Suluhu Hassan hawajawahi kuwa na ndoto za kuwa makamu wa uRais achilia mbali kuota Urais ambao ulikuja kuwaangukia baadaye kwa nyakati tofauti. Kwa hiyo nafasi hizi za umakamu wa Urais na Urais zimekuja kuwaangukia by surprise bila wao wenyewe kuwa na matarajio hayo.
Tukianza Joyce Hilda Banda mwaka 2012 alijikuta akishika madaraka makubwa ya kuwa Rais wa Malawi baada ya kifo cha ghafla cha Rais Bingu wa Mutharika. Hii tukio halina utofauti na tukio lililomfanya Bi. Samia Suluhu kushika madaraka 2021 baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli. Joyce Banda alishika madaraka hayo ikiwa imebakia miaka miwili Malawi kuingia katika uchaguzi mkuu huku Bi. Samia akishika madaraka hayo ikibakia miaka minne nchi iingie katika uchaguzi mkuu.
Hivyo basi Joyce Banda alikuwa na nafasi kubwa ya kujijenga zaidi kisiasa na kijamii kwa kuwa mstari wa mbele kutatua shida na kero za wananchi. Kwa bahati mbaya Joyce alishindwa kutumia nafasi hiyo. Kashfa nzito zikaanza kumwandama mwanamama huyo, kashfa nyingi zikihusisha ufisadi wa mali na pesa za umma pamoja na kuiingiza Malawi katika mikataba mibovu. Wapinzani waliposimama na hoja za ufisadi, silaha pekee ambayo Bi. Joyce Banda aliona inafaa ni jinsia yake. Yeye na wafuasi wake wakasimama na kuwajibu wapinzani kwamba wanamshambulia Joyce na hoja za ufisadi kwa sababu yeye ni mwanamke.
Rais Joyce Banda aligeuza jinsia yake kama ngao na kinga yake dhidi ya tuhuma za ufisadi zilizokuwa zimemwandama. Aliwalipa viongozi wa dini na kimila wamtetee na hoja hiyo ya jinsia. Aliwalipia press conference wafuasi wake watetee jinsia yake badala ya kashfa za ufisadi zilizokuwa zinamwandama, akiamini zitamsaidia uchaguzi mkuu uliokuwa unafuata 2014. Wamalawi hawakuwa wajinga uchaguzi mkuu ulipofika waliamua kumpiga chini na kuchagua upinzani.
Joyce akatumia mamlaka yake ya Urais kufuta matokeo ya uchaguzi kwa sababu hakushinda. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi alikataa na kumtangaza aliyeshinda kutoka chama cha upinzani. Waziri wa Joyce ambaye alikuwa kiherehere na tabia mbovu kama alivyo Nape alijiuwa kwa kujinyonga akihofia maisha yake baada Joyce Banda kuanguka.
Miaka 10 baada ya anguko la Joyce Banda anatokea Samia Suluhu Hassan ambaye anatumia njia zilezile zilizomwangusha Rais Joyce Banda za kujibu kashfa zake za uuzaji wa bandari kwa DP World kwa mkataba wa milele. Tangu sakata la kuuza/kukodisha bandari lianze kupamba moto kwa wiki mbili sasa, Rais Samia ameshindwa kujibu hoja za wanaopinga mkataba huo na badala yake anatumia silaha ya Bi. Joyce Banda, ijapo yeye kaiboresha kwa kuongeza udini na Uzanzibari.
Watu mbalimbali wanasiasa na wasiokuwa wanasiasa wanahoji maswali haya matatu kwamba:
1- Kwanini mkataba huo wa kukodisha bandari hauna kikomo cha muda yani ni wa milele?
2- Kwanini mkataba huo hauwezi kuvunjika hata kama wawekezaji hao wana performance ndogo?
3- Kwanini bandari za Zanzibar hazijajumuishwa kwenye mkataba huo na badala yake ni bandari za Tanzania Bara pekee pamoja na kwamba bandari ni sehemu ya mambo yaliyopo kwenye muungano kwa katiba na sheria za nchi?
Huwezi kuamini kwamba pamoja na washauri wa kisiasa alionao Samia, wataalamu na watu wengine wote waliomzunguka, wameshindwa kujibu hoja hizi. Njia pekee aliyoona inafaa ni kujificha kwenye kichaka jinsia, udini na Uzanzibari ili kutafuta uhalali wa kuuza ama kukodisha bandari zetu kwa mikataba mibovu.
Yani unakodisha/kuuza bandari kwa mkataba wa hovyo , watu wanahoji unajibu kwa sababu mimi ni mwanamke ama muislamu au kwa sababu mimi ni Mzanzibar? Kwani ukiwa mwanamke ama Mzanzibar au mwislamu ndio una uhalali wa kuuza nchi kwa kusaini mikataba mibovu? Aliyekuambia dini au jinsia ni kichaka cha kuficha maovu ni nani?
Ukweli ni kwamba njia hii haitamsaidia Samia na badala yake anaenda kuanguka. Miezi 10 sasa Samia anapoteza ushawishi. Mfumuko wa bei, tozo pamoja na kashfa za ufisadi katika serikali yake ni moja ya vitu vinavyompunguzia mvuto kwa wananchi.
Suala la kuuza bandari kwa mkataba wa milele na milele ndio limemchinja mazima Samia. Mkutano alioufanya Mwanza majuzi ulikuwa na watu wachache licha ya kusomba watu kwa malori lakini ni kama alikuwa anahutubia viongozi wa ccm na watumishi wa umma aliotoka nao Dodoma, halmashauri na jiji. Ile ilikuwa ni message kwamba kwa sasa Samia hatakiwi tena. Njia pekee ambayo itamnyanyua Samia kutoka matopeni alikokwama ni kutupilia mbali mkataba huo wa kuuza bandari pamoja na kuwachukulia hatua mafisadi wote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG. Tofauti na hapo hawezi kupata kibali tena 2025 hata angetumia majeshi. Ushauri huu ni chungu kama sumu ya nyigu lakini ukifuatwa ni mtamu kama asali.
Mdude Nyagali 7 x 70.View attachment 2661162
Wajinga hao nyumbu achana nao ,umewahi ona Wana kipi kichwani mwako zaidi ya ulalamishi?tatizo la cdm hasa wewe Mdude_Nyagali hamna adabu hua mnaamini kua smart maana yake kuongea matusi, kejeli na ujinga ujinga. Mfano hapo ukisema MHESHIMIWA DKT SAMIA SULUHU umeona utapungukiwa kamasi au?