Rais Samia anaupiga mwingi Sana katika suala la ajira na Mambo mengine

Rais Samia anaupiga mwingi Sana katika suala la ajira na Mambo mengine

Ahmed Saidi

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2019
Posts
1,588
Reaction score
3,487
Jamani kama mtu anafanya vizuri kwanini tusimpongeze?
Binafsi bado sijapata ajira ya serikali lakini nina matumaini makubwa kuwa Mambo yatarudi kama zamani.
Sasa hivi ajira zinatangazwa utumishi, halmashauri mbalimbali n.k. hii itasaidia kupunguza ugumu wa maisha kwani mzunguko wa pesa utakuwa mkubwa.
Ni suala la muda tu kile kipindi kigumu tulichopitia kitakuwa historia kwa uwezo wake muumba.
Screenshot_20220603-115151.png
Screenshot_20220603-115138.png
 
muda umefika tu kuongeza ajira hata angekuwepo nani angeongeza tu kwa kadri ya mahitaji lakini tuwe na hasa kwa kipindi hiki ambacho watu wanahitaji majibu rahisi kwa maswali magumu.
tukiongeza mfumuko wa bei kutokana na kodi zitakazotozwa ili kutafuta mishahara ya kuwagharamikia wafanyakazi wapya tusilaumu au tukawapa raslimali zetu wahuni ili watukopeshe mishahara tusilaumu au ikitokea tukawa wapole kwa wafanyabiashara wakubwa katika ulipaji kodi tusishituke na pia tukiongeza partinership kwa miradi ambayo serikali imewekeza hela za wananchi asilimia 100 ikiwemo madeni ya nje kwa kisingizio hatuwezi kuiendesha tukubali na mengine mengi yanayoendana na hayo!
namba hazijawahi kudanganya ni 0 mpaka tisa tutajua tu.
sipingi kuajiliwa kwa watu tunahijaji vijana waajiriwe tena wengi zaidi na tija ionekane kwa taifa zima.

Nenda uko,mnataka watoto wa kitanzania waishi kama mashetani Samia hayupo hivyo
 
muda umefika tu kuongeza ajira hata angekuwepo nani angeongeza tu kwa kadri ya mahitaji lakini tuwe na hasa kwa kipindi hiki ambacho watu wanahitaji majibu rahisi kwa maswali magumu.
tukiongeza mfumuko wa bei kutokana na kodi zitakazotozwa ili kutafuta mishahara ya kuwagharamikia wafanyakazi wapya tusilaumu au tukawapa raslimali zetu wahuni ili watukopeshe mishahara tusilaumu au ikitokea tukawa wapole kwa wafanyabiashara wakubwa katika ulipaji kodi tusishituke na pia tukiongeza partinership kwa miradi ambayo serikali imewekeza hela za wananchi asilimia 100 ikiwemo madeni ya nje kwa kisingizio hatuwezi kuiendesha tukubali na mengine mengi yanayoendana na hayo!
namba hazijawahi kudanganya ni 0 mpaka tisa tutajua tu.
sipingi kuajiliwa kwa watu tunahijaji vijana waajiriwe tena wengi zaidi na tija ionekane kwa taifa zima.
Naona jamaa unateseka kinyama.....Kuna kiongozi alikuwa anatoa ajira kama kikwete??na mambo yalikuwa yanaenda plus watumishi hewa.
 
muda umefika tu kuongeza ajira hata angekuwepo nani angeongeza tu kwa kadri ya mahitaji lakini tuwe na hasa kwa kipindi hiki ambacho watu wanahitaji majibu rahisi kwa maswali magumu.
tukiongeza mfumuko wa bei kutokana na kodi zitakazotozwa ili kutafuta mishahara ya kuwagharamikia wafanyakazi wapya tusilaumu au tukawapa raslimali zetu wahuni ili watukopeshe mishahara tusilaumu au ikitokea tukawa wapole kwa wafanyabiashara wakubwa katika ulipaji kodi tusishituke na pia tukiongeza partinership kwa miradi ambayo serikali imewekeza hela za wananchi asilimia 100 ikiwemo madeni ya nje kwa kisingizio hatuwezi kuiendesha tukubali na mengine mengi yanayoendana na hayo!
namba hazijawahi kudanganya ni 0 mpaka tisa tutajua tu.
sipingi kuajiliwa kwa watu tunahijaji vijana waajiriwe tena wengi zaidi na tija ionekane kwa taifa zima.
Hamna ulichoongea ndugu hapa
 
muda umefika tu kuongeza ajira hata angekuwepo nani angeongeza tu kwa kadri ya mahitaji lakini tuwe na hasa kwa kipindi hiki ambacho watu wanahitaji majibu rahisi kwa maswali magumu.
tukiongeza mfumuko wa bei kutokana na kodi zitakazotozwa ili kutafuta mishahara ya kuwagharamikia wafanyakazi wapya tusilaumu au tukawapa raslimali zetu wahuni ili watukopeshe mishahara tusilaumu au ikitokea tukawa wapole kwa wafanyabiashara wakubwa katika ulipaji kodi tusishituke na pia tukiongeza partinership kwa miradi ambayo serikali imewekeza hela za wananchi asilimia 100 ikiwemo madeni ya nje kwa kisingizio hatuwezi kuiendesha tukubali na mengine mengi yanayoendana na hayo!
namba hazijawahi kudanganya ni 0 mpaka tisa tutajua tu.
sipingi kuajiliwa kwa watu tunahijaji vijana waajiriwe tena wengi zaidi na tija ionekane kwa taifa zima.
Roho mbaya kama za yule mshamba alietaka hadi kuajiri wafungwa
 
Naona jamaa unateseka kinyama.....Kuna kiongozi alikuwa anatoa ajira kama kikwete??na mambo yalikuwa yanaenda plus watumishi hewa.
Yaani Kuna kipindi watu wameishi Kama mizimu, kila unachofanya ni majanga alaf mtu anasema Nini Nini, hawa watu sijui wanaroho gani.
Dah, wangeleta hii ningefanya makosa ili nifungwe then nipate ajira
 
Endele kuomba sehemu mbalimbali na uwe na subra
 
Kweli tumezoea mediocrity....., Hizo Ajira kwa mamilioni ya watu ndio kujitahidi ? Hio ni percent ngapi ?

Uliza mababu zako kuna kipindi walikuwa wakitoka shule tu kuna ajira za kumwaga ni mwendo wa kuchagua nichukue ipi niache ipi..., lakini kwa sasa hawa wanasiasa wameshajivua hio kazi na kumwachia mwananchi mwenyewe apambane na hali yake wao kazi yao ni kuvuna wasikopanda....
 
Kweli tumezoea mediocrity....., Hizo Ajira kwa mamilioni ya watu ndio kujitahidi ? Hio ni percent ngapi ?

Uliza mababu zako kuna kipindi walikuwa wakitoka shule tu kuna ajira za kumwaga ni mwendo wa kuchagua nichukue ipi niache ipi..., lakini kwa sasa hawa wanasiasa wameshajivua hio kazi na kumwachia mwananchi mwenyewe apambane na hali yake wao kazi yao ni kuvuna wasikopanda....
Maisha yanabadilika, kulingana na hali ilivyokua Mh. Samia anajitahidi sana
 
Back
Top Bottom