Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Nguvu ya Buku
muda umefika tu kuongeza ajira hata angekuwepo nani angeongeza tu kwa kadri ya mahitaji lakini tuwe na hasa kwa kipindi hiki ambacho watu wanahitaji majibu rahisi kwa maswali magumu.
tukiongeza mfumuko wa bei kutokana na kodi zitakazotozwa ili kutafuta mishahara ya kuwagharamikia wafanyakazi wapya tusilaumu au tukawapa raslimali zetu wahuni ili watukopeshe mishahara tusilaumu au ikitokea tukawa wapole kwa wafanyabiashara wakubwa katika ulipaji kodi tusishituke na pia tukiongeza partinership kwa miradi ambayo serikali imewekeza hela za wananchi asilimia 100 ikiwemo madeni ya nje kwa kisingizio hatuwezi kuiendesha tukubali na mengine mengi yanayoendana na hayo!
namba hazijawahi kudanganya ni 0 mpaka tisa tutajua tu.
sipingi kuajiliwa kwa watu tunahijaji vijana waajiriwe tena wengi zaidi na tija ionekane kwa taifa zima.
Naona jamaa unateseka kinyama.....Kuna kiongozi alikuwa anatoa ajira kama kikwete??na mambo yalikuwa yanaenda plus watumishi hewa.muda umefika tu kuongeza ajira hata angekuwepo nani angeongeza tu kwa kadri ya mahitaji lakini tuwe na hasa kwa kipindi hiki ambacho watu wanahitaji majibu rahisi kwa maswali magumu.
tukiongeza mfumuko wa bei kutokana na kodi zitakazotozwa ili kutafuta mishahara ya kuwagharamikia wafanyakazi wapya tusilaumu au tukawapa raslimali zetu wahuni ili watukopeshe mishahara tusilaumu au ikitokea tukawa wapole kwa wafanyabiashara wakubwa katika ulipaji kodi tusishituke na pia tukiongeza partinership kwa miradi ambayo serikali imewekeza hela za wananchi asilimia 100 ikiwemo madeni ya nje kwa kisingizio hatuwezi kuiendesha tukubali na mengine mengi yanayoendana na hayo!
namba hazijawahi kudanganya ni 0 mpaka tisa tutajua tu.
sipingi kuajiliwa kwa watu tunahijaji vijana waajiriwe tena wengi zaidi na tija ionekane kwa taifa zima.
Hamna ulichoongea ndugu hapamuda umefika tu kuongeza ajira hata angekuwepo nani angeongeza tu kwa kadri ya mahitaji lakini tuwe na hasa kwa kipindi hiki ambacho watu wanahitaji majibu rahisi kwa maswali magumu.
tukiongeza mfumuko wa bei kutokana na kodi zitakazotozwa ili kutafuta mishahara ya kuwagharamikia wafanyakazi wapya tusilaumu au tukawapa raslimali zetu wahuni ili watukopeshe mishahara tusilaumu au ikitokea tukawa wapole kwa wafanyabiashara wakubwa katika ulipaji kodi tusishituke na pia tukiongeza partinership kwa miradi ambayo serikali imewekeza hela za wananchi asilimia 100 ikiwemo madeni ya nje kwa kisingizio hatuwezi kuiendesha tukubali na mengine mengi yanayoendana na hayo!
namba hazijawahi kudanganya ni 0 mpaka tisa tutajua tu.
sipingi kuajiliwa kwa watu tunahijaji vijana waajiriwe tena wengi zaidi na tija ionekane kwa taifa zima.
Roho mbaya kama za yule mshamba alietaka hadi kuajiri wafungwamuda umefika tu kuongeza ajira hata angekuwepo nani angeongeza tu kwa kadri ya mahitaji lakini tuwe na hasa kwa kipindi hiki ambacho watu wanahitaji majibu rahisi kwa maswali magumu.
tukiongeza mfumuko wa bei kutokana na kodi zitakazotozwa ili kutafuta mishahara ya kuwagharamikia wafanyakazi wapya tusilaumu au tukawapa raslimali zetu wahuni ili watukopeshe mishahara tusilaumu au ikitokea tukawa wapole kwa wafanyabiashara wakubwa katika ulipaji kodi tusishituke na pia tukiongeza partinership kwa miradi ambayo serikali imewekeza hela za wananchi asilimia 100 ikiwemo madeni ya nje kwa kisingizio hatuwezi kuiendesha tukubali na mengine mengi yanayoendana na hayo!
namba hazijawahi kudanganya ni 0 mpaka tisa tutajua tu.
sipingi kuajiliwa kwa watu tunahijaji vijana waajiriwe tena wengi zaidi na tija ionekane kwa taifa zima.
Yaani Kuna kipindi watu wameishi Kama mizimu, kila unachofanya ni majanga alaf mtu anasema Nini Nini, hawa watu sijui wanaroho gani.Naona jamaa unateseka kinyama.....Kuna kiongozi alikuwa anatoa ajira kama kikwete??na mambo yalikuwa yanaenda plus watumishi hewa.
Dah, wangeleta hii ningefanya makosa ili nifungwe then nipate ajira
Wanafki tu hawa achana naoCha ajabu mimi sijapata hizo Nafasi naona siasa tu mkuu
Maisha yanabadilika, kulingana na hali ilivyokua Mh. Samia anajitahidi sanaKweli tumezoea mediocrity....., Hizo Ajira kwa mamilioni ya watu ndio kujitahidi ? Hio ni percent ngapi ?
Uliza mababu zako kuna kipindi walikuwa wakitoka shule tu kuna ajira za kumwaga ni mwendo wa kuchagua nichukue ipi niache ipi..., lakini kwa sasa hawa wanasiasa wameshajivua hio kazi na kumwachia mwananchi mwenyewe apambane na hali yake wao kazi yao ni kuvuna wasikopanda....
Towards positive au negative ?Maisha yanabadilika