BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
Na Bwanku M Bwanku.
Kwenye Gazeti la Tanzania Leo nimefanya uchambuzi wangu kuhusu mradi mkubwa wa magari yaendayo haraka (DART) unavyokimbia kwenye awamu zingine Jijini Dar es Salaam. Wote tunajua namna Dar ilivyo na foleni kubwa, Sasa Serikali ya Rais Samia inaendelea kukimbiza mradi huu wa magari ya mwendokasi ili kuondoa foleni Dar na watu waharakishe shughuli zao.
Hakuna kilichosimama, chini ya Serikali ya Rais Samia inaendelea na awamu ya pili, ya tatu mpaka ya 6 kuelekea Mbagala, Gongolamboto na kuendelea ili kuondoa foleni Dar na kurahisisha kwa haraka shughuli za kila siku za wananchi. Soma Makala yangu hii uone chini ya Rais Samia mradi huu wa magari ya mwendokasi unavyokimbia na unavyoenda kulifungua zaidi Jiji la Dar kibiashara na kiuchumi. Nani kama Mama?
Kwenye Gazeti la Tanzania Leo nimefanya uchambuzi wangu kuhusu mradi mkubwa wa magari yaendayo haraka (DART) unavyokimbia kwenye awamu zingine Jijini Dar es Salaam. Wote tunajua namna Dar ilivyo na foleni kubwa, Sasa Serikali ya Rais Samia inaendelea kukimbiza mradi huu wa magari ya mwendokasi ili kuondoa foleni Dar na watu waharakishe shughuli zao.
Hakuna kilichosimama, chini ya Serikali ya Rais Samia inaendelea na awamu ya pili, ya tatu mpaka ya 6 kuelekea Mbagala, Gongolamboto na kuendelea ili kuondoa foleni Dar na kurahisisha kwa haraka shughuli za kila siku za wananchi. Soma Makala yangu hii uone chini ya Rais Samia mradi huu wa magari ya mwendokasi unavyokimbia na unavyoenda kulifungua zaidi Jiji la Dar kibiashara na kiuchumi. Nani kama Mama?